Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wananchi wa Kijiji cha Ndaleta Wilayani Kiteto Mkoani Manyara wameilalamikia Halmashauri ya Wilaya hiyo wakidai imehusika kuhujumu Wananchi kwa kiwango kikubwa katika masuala ya mgogoro wa ardhi...
0 Reactions
0 Replies
433 Views
WATUMISHI WA MUNGU TUACHE UNAFIKI ACHENI SIFA ZAKIJINGA MTU AKIWA AMEKUFA "usiku wa leo nimejikuta kwenye dimbwi kubwa sana la mawazo nikiwaza sana kuhusu maisha yetu ya hapa duniani...
1 Reactions
1 Replies
471 Views
Habari za weekend Wakuu! Nipo Njiani nakaribia Zanzibar Kwa Lengo la kumwona Simba Tundu Lisu àmbaye Mhe. Rais Samia amempa jina Hilo. Nikifika nitakutana na Watu WA eneo Hilo wanipe...
1 Reactions
7 Replies
419 Views
Kwa uwekezaji na usajili walioufanya Azam fc halafu wanatolewa round ya kwanza kwenye klabu bingwa ya Africa, Dabo ameonyesha madhaifu makubwa kupigwa 2-0 na Apr ya Rwanda.
4 Reactions
15 Replies
651 Views
Habari zenu wadau, mimi nlikuwa nauliza hivi, kwani kazi ya kushughulikia makato(ile 20% ya mshahara kama sikosei) NSSF baina ya kampuni na mfanyakazi ni jukumu la nani? Na inawezekana vipi...
3 Reactions
1 Replies
201 Views
Eti mbona kimya modi msifute Uzi mnijihu hata inbox ndo mfute
0 Reactions
1 Replies
142 Views
Ujenzi ukiendelea Wiki mbili iliyopita niliandika kuhusu Shule ya Kamama iliyopo Kata ya Goweko, Kijiji cha Kamama, Wilayani Uyui kuwa ni hatarishi hasa Vyoo na madarasa, hatua zimeanza...
4 Reactions
19 Replies
932 Views
Koma sava wanajukwa, siku ya alhamisi wakati watuhumiwa wa kesi ya binti wa yombo wakitoka mahakamani vyombo mbalimbali vya habari vilionyesha namna watuhimiwa wanavyorudishwa mahabusu. Mtuhumiwa...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro, amelifunga Kanisa la ‘Church of God’ lililopo kijiji cha Mendo, Tarafa ya Itwangi, Wilaya ya Shinyanga ili kupisha uchunguzi maalum huku...
1 Reactions
5 Replies
328 Views
Anonymous (1768)
Mamlaka ya Jiji la Dar es Salaam hailipi mishahara kwa waajiriwa wake kwa wakati, kwa mfano mshahara wa mwezi May ulilipwa tar 06.0.6.24,Wa Mwezi June ulilipwa tar 02.08.24 mwezi July haujalipwa...
0 Reactions
5 Replies
303 Views
Nimefika kwa wakala kwa lengo la kutoa pesa kutoka mtandao wa simu, anasema hana salio la kutosha. Wakati huo naona watu wengine wanatoa na wanaondoka. Aliniuliza unatoa kiasi gani nikamwambia...
14 Reactions
73 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Buchosa Erick Shigongo amesema kwa kipindi cha miaka mitatu watu 36 wamepoteza maisha kwa kuliwa na mamba katika Ziwa Victoria ni idadi kubwa ya watu kuwapoteza. Aidha...
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Nina experience ya muda mrefu wa kutumia Infinix, Tecno na Itel Kuna kitu nimenotice baada ya kuachana na matumizi ya simu hizo kimsingi ukweli usemwe hizo simu ziletengenezwa kuminimize cost...
7 Reactions
71 Replies
2K Views
Inashangaza sana serikali ,viongozi wa dini na sisi watu wa kawaida kuendelea kuvumilia mambo ya huyu anayejiita Nabiu Titto. Nashangaa media kupost mambo ya huyu jamaa ,hata kama serikali haina...
1 Reactions
5 Replies
318 Views
Ndio hivyo, Ndio maana nikasema nchi hii bado hatujapata mtu serious mwenye uchungu wa maendeleo Kama kuna wafanyakazi nchi hii wameachwa nyuma basi ni Maticha.. Yaani kwenye huo mshahara wao...
7 Reactions
24 Replies
520 Views
Wakuu. Nimemkumbuka Sana huyu mwamba,,. Nina muda mrefu sijamuona jamvini .. Mwenye taarifa zake tafadhari.
23 Reactions
138 Replies
6K Views
Anonymous (aa28)
Hii barabara imeanza kujengwa zaidi ya miaka kumi iliyopita lakini hadi leo hata haijafikia asilimia 30. Tangu ianze ina kandarasi zaidi ya ya 4, ni nini hasa kinafanya hii barabara isimalizike...
0 Reactions
1 Replies
240 Views
KAMA KIPATO CHAKO NI CHINI YA MILIONI MBILI USITHUBUTU KUOA MWANAMKE ASIYE NA KAZI(MAMA WA NYUMBANI) Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kwa sisi Watibeli hata úwe tajiri Namba Moja Duniani lazima...
22 Reactions
187 Replies
6K Views
Nina shida ya haraka Kuna kitu nahitaji kuuliza kabla sijaja huko, please kama wapo nawahitaji either tuongee public au private yote Sawa tu Kama upo au umewahi kufika Mauritius please naomba...
2 Reactions
8 Replies
444 Views
Dah! kwakweli nlijawa na mawazo mengi sana hadi nikashndwa kumjbu kabsa nkabeba barua yangu nikasepa, yani mtu ufundshe mwezi mzma uspewe hata hela ya kununua kiwi, shati suruali na hata kiatu cha...
23 Reactions
83 Replies
2K Views
Back
Top Bottom