Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Duniani kuna mamboz,wakazi wa kata ya Zuzu iliyopo Manispaa ya Dodoma wanakusudia kuandamana kumshinimiza waziri wa TAMISEMI abadiil jina la kata yao. Hii si mara ya kwanza kuomba kubadilishiwa...
0 Reactions
7 Replies
432 Views
Naombeni tu nijue nini kitatokea kwa mfano nimekopea nyumba ambayo wanakaa wapangaji halafu nikalipa kidogo tuseme nusu halafu nikajifanya nimekufa nikajizika na kujiwekea kaburi..kisha nikasafiri...
3 Reactions
4 Replies
406 Views
Ni muda sahihi wa kujongea vitandani mwetu, nyumbani chumbani ama ugenini kwa ndugu jamaa na marafiki ama nyumba za wageni. Usiku huu kama ilivyo siku nyingine zozote ama mchana wake kuna mambo...
75 Reactions
280 Replies
41K Views
wadau nimeona sehemu nyingi katika dunia hii tambalale wanakuwa ni watu wenye kufanya sala na ibada za kiasili/matambiko hususani asia,afrika na amerika ,je wenzetu wa reasoning/ulaya wanayo haya...
1 Reactions
6 Replies
375 Views
Ivi wakuu muislam akisema amebadilisha dini na kuwa mkristo anatakiwa afanye nini kutuaminisha!?
1 Reactions
13 Replies
299 Views
Na cha Kushangaza zaidi karibia 85% ya Bidhaa zao hizo za Electronics ni Original kabisa lakini bado wanaziuza / zinauzwa kwa Gharama nafuu sana wakati huko Tanzania ( Nyumbani ) bidhaa nyingi...
3 Reactions
4 Replies
322 Views
HATUWEZI KUHUBIRI HAKI NA USAWA HUKU TUKIWA WENYEWE HATUFANYI HAKI NA USAWA WENYEWE TUKILAZIMISHA MUONEKANO TUSIO NAO TUTAKUWA WANAFIKI Nilisikika katika Ulimwengu wa kiroho huko Ndotoni nikitoa...
1 Reactions
1 Replies
259 Views
Unaweza kuona kama nafasi hizo ni nafasi ndogo na hazina nafasi katika maamuzi ya mambo mengi ila amini usiamini makazini kwingi sekta za Umma na Sekta binafsi fitina na majungu chanzo chake ni...
0 Reactions
0 Replies
179 Views
Nimejikuta najiuliza tu swali hivi mbwa wa huko ushuani kama njiro,capripoint,osterbay nao wanabweka sana kama wa huku kwetu uswahilini maana huko ushuani nasikia wana majina eti mara german...
1 Reactions
3 Replies
207 Views
Huyu ni Raisi wa Rwanda
0 Reactions
0 Replies
104 Views
Amesimuliwa wife akiniomba ushauri nikaona nami nililete humu nipate msaada wa MAWAZO Kwan JF ni kisima cha maarifa HATUSHINDWII Wife anafanya Kaz kwenye taasisi moja inayoshughulika na watoto...
3 Reactions
31 Replies
924 Views
Wakuu, heshima kwenu! Moja kwa moja kwenye hoja yangu. Hivi karibuni 'Tume huru ya Taifa ya uchaguzi', ilitangaza kuanza kuandikisha/kuboresha/kurekebisha daftari la kudumu la wapiga kura, kwa...
0 Reactions
5 Replies
300 Views
Inakuaje wakubwa ...poleni na mihangaiko ya hapa na pale niende kwenye mada moja kwa moja Kuna aina fulani hivi za marafiki wao apo muda kidogo walikuwa ni marfiki zetu kindaki ndaki lakini baada...
6 Reactions
18 Replies
533 Views
Msinihukumu kwa uandishi mimi sio mwandishi mzuri azama 1kwa1 kwenye maada yangu..... azam tv mwaka huu mmejipanga vyema sana kwenye upande wa kuonyesha mpra ya nnje nawapongeza na nmekua...
4 Reactions
3 Replies
220 Views
Wakuu msaada kwa wale wanaofahamu shida hii afu Leo kuna mechi kali tafadhali jinsi ya utatuzi
0 Reactions
0 Replies
191 Views
Wakuu kuanzia mwaka jana jana nilikuwa na changamoto kubwa ya kipato, kufikia mwezi wa nne nilipata dili ambayo ilihitaji hela ndefu kidogo, ikabidi niuze gari yangu! Sasa toka hiyo April naona...
3 Reactions
16 Replies
496 Views
Walianza kuhamishwa wanyama wa mwituni kwenda jangwani.. Kisha ikafuatia likizo ya mchongo ya kimyakimya na coumaflage ya kifo.. Ili kutoa nafasi kutengeneza mambo vizuri mezani Kila kitu...
10 Reactions
24 Replies
1K Views
Salaam, shalom!! Zamani tuliaminishwa kuwa wajeda ni wazalendo, wenye Maadili, wapenda Nchi, Na haikuwa Rahisi mjeda kuhongwa Ili kupotoa HAKI. Sasa tukio la uswahilini hapo Nchi Jirani...
2 Reactions
14 Replies
494 Views
Wakati umefika mwaka 1999, Wanasayansi wakaibuka na kudai kwamba mwaka 2000 ungekuwa mwisho wa dunia. Baadhi ya wachungaji wakaungana na wanasayansi hao na kuendelea kusema kwamba mwaka huo Yesu...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Timu ya mpira wa miguu ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imechuana vikali na wenzao wa Ofisi ya Rais Ikulu ikiwa ni maandalizi ya michuano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na...
1 Reactions
4 Replies
187 Views
Back
Top Bottom