Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Nilifika mpakani mwa Tanzania na Rwanda - Rusumo, Jana Usiku! Baada ya kuzunguka kidogo kwa ajili ya kutafuta pa kulala, niliamua kumwuliza mtu mmoja anioneshe gesti iliyopo karibu...
4 Reactions
19 Replies
541 Views
Nilikuwa napitia Hukumu ya Afande Zombe katika ile Kesi ya Muuza Madini aliyeuawa Mabwepande Jaji alisema Zombe hana hatia Kwa Sababu Siyo yeye aliyefyatua risasi iliyomuuwa Muuza Madini Pia...
1 Reactions
3 Replies
365 Views
Habar wakuu nataka kusafiri na ndege kwa mara ya kwanza ktk maisha yangu ..safar yangu nikutoka dar-bukoba..nin kinatakiwa kuwa nacho na kipi hakitakiwi na pia nin chakuzingatia ili kufanikisha...
3 Reactions
3 Replies
223 Views
Anonymous (202e)
Habari JamiiForums, naleta kwenu malalamiko yangu labda wakiyaona kutokea hapa ni Mimi ni mpiga picha, nimejiajiri kwenye kizi hii na ndio inayoniingizia kipato. Sasa nilikuwa nimeweka camera...
3 Reactions
43 Replies
2K Views
WAJANJA WA KIDUNIA LEO AMBAO NDIYO WAKAZI WA MOTONI KESHO HUTUMIA UJINGA WA WATU WALIO WENGI KUJITENGENEZEA PEPO YA KIDUNIA Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2022 ibara 5(4) ndipo twende sasa...
0 Reactions
1 Replies
252 Views
SIASA; 1. Mfumo wa upigaji kura wa elektroniki, Kuwe na mfumo wa kupiga kura na kuzihesabu kwa njia ya kielektroniki badala ya kutegemea vituo na karatasi za kupigia kura, Wananchi wanaweza...
0 Reactions
2 Replies
367 Views
Serikali ya Mpito imemfutia Hati za Kidiplomasia za Kusafiria, Sheikh Hasina, Waziri Mkuu aliyeikimbia Nchi kutokana na Machafuko yaliyotokana na Maandamano ya kupinga Utawala wake >...
0 Reactions
2 Replies
461 Views
"Najua wadhamini au washika vilabu vile wanafanya jitihada kubwa sana, lakini pamoja nao nimeongea na wadau wawekezaji wetu wakubwa hapa, mmoja nimempa Yanga mmoja nimempa Simba awasaidie, kwahiyo...
4 Reactions
6 Replies
538 Views
Jopo la wachungaji na viongozi wa dini mbalimbali wamekutana na madereva bodaboda zaidi ya 200 wa kijiwe cha Kilimanjaro ndani ya Halmshauri ya Mji Tunduma kwa lengo la kufanya maombi na kuondoa...
2 Reactions
55 Replies
946 Views
GENTAMYCINE nikiwa Balozi wa Kujiteua wa Kipindi Kizuri cha Mazungumzo ya Familia cha Radio One cha kila Jumapili kwa alivyobadilika ghafla Mtangazaji Mwenza wa Kipindi hicho Haji Kibwana kwa...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni jambo ambalo nimelishuhudia na sijui kama watu wengine wanaliona, kwamba katika awamu hii ya utawala wa Raisi Samia kumekuwa na masuala mengi sana yanayohusu wanasheria hawa mawakili wetu...
1 Reactions
5 Replies
283 Views
Ni kuhusu swala la Polisi wetu kukamata watu kihuni. Mara nyingi tume shuhudia Polisi wakikamata watu kihuni, hapa sizumgumzii mambo ya utekaji nyala, isipokuwa ule ukamataji wa kawaida labda mtu...
3 Reactions
11 Replies
473 Views
Kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Comoro wa Sekta za Mifugo, Kilimo na Usafirishaji limefanyika kwa mafanikio katika mji wa Moroni. Katika kongamano hilo lililofunguliwa rasmi na Gavana...
0 Reactions
1 Replies
404 Views
Hii ni talent nyingine iliyopo Tanzania. Tuisupport kwa hali na mali. Huu ni mfano tu wa talents nyingi zinazopatikana katika nchi yetu. All the best. Nionyeshe Njia...
2 Reactions
4 Replies
477 Views
Inashangaza na kusikitisha jeshi la Polisi kuacha majukumu yake ya msingi na kuhangaika na Chadema wanaofanya kazi zao za kikatiba za kufanya siasa. Tunalitaka jeshi la Polisi hili siyo ombi wala...
35 Reactions
82 Replies
2K Views
Kwa experience yangu nimegundua kuwa kuna dhambi mtu akifanya tu kama hajatubu automatically anakuwa ameanza kufa ndani hivyo maisha yake yanapunguzwa au kukatwa kabisa. Siwezi kukuorodheshea aina...
1 Reactions
6 Replies
273 Views
Habari njema Matajiri Wawekezaji, Karibuni kwenye mfululizo wa masomo yetu ya programu ya NGUVU YA BUKU, ambapo tunajifunza na kufanya uwekezaji kwa hatua ndogo ndogo na kujenga utajiri kwa...
1 Reactions
1 Replies
415 Views
Watanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni . Mume baada ya tukio hilo amepotea...
13 Reactions
72 Replies
2K Views
Za sahizi binadamu wenzangu. Nipo Dar es Salaam Nilikuwa nauliza ni restaurant au hotel gani ninaweza kupata WIFI yenye kasi sana na ambayo ina GB nyingi nina ma file ninayotakiwa ku download...
11 Reactions
67 Replies
4K Views
Uzi uwe mfipi kabisa. Nimefuatilia miamala yangu 6 ya kununua umeme ya mwishoni mwezi huu nimeona kuna tozo ya kununua umeme kwa njia ya simu (airtel money) ila haitajwi ni salio linakatwa tu...
0 Reactions
2 Replies
518 Views
Back
Top Bottom