Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
1. DAR - ES - SALAAM Majiji Mengine .... 2. MWANZA - Ni jiji tangu enzi za Tanzania yenye majiji mawili 3. MBEYA - ni likijiji likubwa lakini kuna fursa nyingi, vyakula, unafuu wa huduma ya...
19 Reactions
156 Replies
7K Views
Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao. Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu...
43 Reactions
187 Replies
6K Views
Mashirika yanayotetea haki za binadamu Nchini takribani 50, wamekemea vitendo vya propaganda ikiwemo kuwaita wananchi wa Ngorongoro ni wakenya, wamedai kuwa vitendo hivyo vinazidi kuchochea hasira...
1 Reactions
7 Replies
410 Views
Wakuu habari za mda huu. Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu. Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa...
40 Reactions
354 Replies
5K Views
Wizara ya Maendeleo ya Jamii kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO) inaandaa Jukwaa la Mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali litakalofanyika tarehe 04 -...
4 Reactions
8 Replies
658 Views
Kesi ya jinai iliyofunguliwa na wakili Paul Kisabo dhidi ya afisa wa polisi ASP. Fatma Kigondo anayetajwa kama "afande Kesi ya jinai ilifunguliwa na Wakilin Paul Kisabo dhidi ya Afisa wa polisi...
1 Reactions
15 Replies
992 Views
Moja kwa moja swaaaaah kwenye mada Niko uwanja sahihi unashangaa baiskeli kuingia kituo chakujazia mafuta Au unashangaa kiwanja cha mpira wamiguu nimeingia na kama mchezaji wa gofu basiii ata...
1 Reactions
7 Replies
650 Views
CHAMWINO Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amesema jumla ya vijiji 63 kati ya vijiji 73 vilivyokuwa katika mpango kwenye wilaya ya Chamwino mkoa wa Dodoma...
0 Reactions
1 Replies
214 Views
Nimeshikwa na mshangao muhitimu wa chuo hajui Misri, Tunisia, Angola hizi nchi zipo bara gani na hajui Uingereza hipo bara gani na yeye anacho jua Wazungu wote wanajua kuongea kiingeraza na lugha...
28 Reactions
139 Replies
7K Views
Simu ni Kifaa muhimu cha mawasiliano kwa binadamu yeyote lakini haitakiwi kuwa sehemu ya mwili wako kiasi cha kukufanya uwe kama mtumwa kifaa hicho. Wataalaamu wa Saikolojia wanasema, ukitaka...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu embu tujuzeni ulipitiaje kipindi ukiwa huna hela maisha yamekupiga total knock out and huna kula kulala ya uhakika? Mie nimejaribu mishe za udalali ila hailipi kabisaa na ni majanga bin...
21 Reactions
179 Replies
9K Views
Baadhi ya Wananchi wameandamana na kuvamia Kituo cha Polisi cha Lamadi wakidai askari Polisi wa eneo hilo wameshindwa kuwajibika wakidai kuna muendelezo wa matukio ya Watoto kupotea Mkoani hapo...
7 Reactions
122 Replies
6K Views
https://www.instagram.com/reel/C-7ndt1NFq5/?igsh=MTB2MHdtZnF5N2p1cg==
0 Reactions
0 Replies
115 Views
DODOMA: Kesi iliyofunguliwa na Wakili Paul Kisabo dhidi ya Afisa wa Polisi ASP Fatma Kigondo anayetajwa kama 'Afande', inasubiri wito wa kupangiwa tarehe ya kusikilizwa ambapo tayari imepangwa...
3 Reactions
23 Replies
6K Views
RC CHALAMILA AKUTANA NA WATAALAM KUTOKA TIRA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Agosti 22, 2024 amekutana na timu ya wataalam kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
171 Views
Kutumia fursa ni elimu, kipaji au hulka ya mtu?. Wazungu wote sasa hivi wanapingana wenyewe kwa wenyewe hali inayopungaza uzalishaji na masoko yao kiuchumi. Lakini Ni ajabu kubwa kuona waafrika...
0 Reactions
8 Replies
246 Views
"Sisi waislamu wa Tanzania tunashukuru sana Allah kwa sababu sasa mufti tuliyenaye anakubalika sana. Taasisi za kitaifa na kimataifa na serikali za nchi mbalimbali duniani kote huko Mufti wetu...
2 Reactions
2 Replies
369 Views
Nimepiga hesabu za haraka haraka, na kugundua kwamba makampuni ya Bima hukusanya wastani wa Trilioni 3.5 kila mwaka kama malipo ya bima za aina mbali mbali, na pia malipo kwa ajili ya bima (hasa...
26 Reactions
208 Replies
15K Views
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeungana na wananchi wa kizimkazi Zanzibar kwenye siku ya utalii kusherehekea ufahari wa utamaduni wa Kitanzania, vivutio vya utalii, umoja na mshikamano katika...
1 Reactions
0 Replies
195 Views
Back
Top Bottom