Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Anonymous (c168)
Mnamo tarehe 14/2/2024 wananchi wa mtaa wa Kalobe wanaotumia uwanja wa Kalobe walipeleka malalamiko kuhusiana na uwanja wao kuaribiwa na watu wanaotumia barabara ya Kalobe kuenda itende kupita...
0 Reactions
1 Replies
148 Views
Wakati Bajeti Kuu ya Serikali ikitarajiwa kuwasilishwa kesho, Menejimenti ya Tume ya Madini imetakiwa kufanya kazi kwa weledi, umoja na mshikamano ili kufikia lengo la Serikali la makusanyo ya...
0 Reactions
1 Replies
189 Views
Anonymous (47cd)
Waandikishaji daftari la wapiga Kura, Bukoba manispaa wametapeliwa pesa zao. Hawajalipwa kiasi cha pesa elfu sitini ambayo ni malipo ya siku moja.
0 Reactions
5 Replies
160 Views
Ndugu Hamis Kigwangala ni mmoja ya mawaziri ambao ukiwaona wakiwa katika mambo yao ndipo utaamini uchawi upo. Kuna mtu mmoja amekuwa akipinga sana humu JF kuwa hakuna uchawi. Mimi namwambia kwa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimeona mchakato toka reli inaanza kujengwa, Treni zenyewe kufika, na Tarehe ya uzinduzi. Hakuna mahali nimeona Tangazo la kazi mchakato wa kupata izi ajira kwenye treni pamoja na wahudumu? Je...
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Nabii BASHANDO atafanya Ibada ya kumwombea KIGWANGWALA arudi kwenye uwaziri wa maliasili na utalii. Maombi haya yatafanyika Kwa siku tatu kuanzia tar 5 July Hadi tar 9 mkoani TABORA. Mimi...
0 Reactions
40 Replies
1K Views
Anonymous (1600)
Ndugu DAWASA na Waziri wa maji, Ninaandika kueleza hasira yangu kuhusu tatizo linaloendelea la ukosefu wa maji katika baadhi ya maeneo ya Tabata Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa hatujawa na maji, na...
0 Reactions
1 Replies
153 Views
Anonymous (a691)
HATARI YA MAGONJWA YA MILIPUKO TEGETA CHASIMBA Wakazi wa Tegeta Chasimba wanaomba msaada wa kuondolewa takataka ili kuepukana na hatari ya magonjwa ya milipuko. Mkandarasi wa taka hajaonekana...
0 Reactions
1 Replies
152 Views
Mkutano wa 2024 wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC utafanyika Beijing kuanzia Septemba 4 hadi 6. Hii itakuwa ni mara ya nne kwa Baraza hilo kufanya mkutano wake kuwa wa kilele...
0 Reactions
0 Replies
211 Views
Naomba niingie kwenye Mada moja kwa moja. Kutokana na malalamiko ya wananchi kutendewa unyama na jeshi la polisi sehemu mbalimbali za nchi, kama vile raia kuuwawa vituo vya polisi, raia...
1 Reactions
4 Replies
445 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema ni hali iliyo Wazi kabisa kwamba Chaguzi za Ndani za Chadema zinatawaliwa na Rushwa Lisu amesema inashangaza kuona Matumizi makubwa...
0 Reactions
4 Replies
295 Views
Wanafunzi wengi akiwemo mdogo wangu wa mwisho aliye form 1, Iliboru wamevamiwa na kuporwa vitu vyao wakati wakielekea stend kupanda magari baada ya kufunga shule. Wengine wamevamiwa walipokuwa...
5 Reactions
15 Replies
770 Views
Habari zenu wanabodi. Kumekuwa na wivu mkubwa sana ktk jamii. Mfano mtu akikutana na mtu aliyesomanaye kamzidi kimaisha hujitenga naye. Hata mwanafunzi aliyefaulu kwenda sekondari enzi zile shule...
8 Reactions
58 Replies
6K Views
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko (katikati), akiwa ameongozana na Waziri wa Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro (watatu kulia), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila...
1 Reactions
1 Replies
177 Views
Wakuu, Kutokana na majibu ya uchunguzi wa kesi ya binti aliyelawitiwa na kubakwa kikatili kutolewa leo ni wazi kabsa kwamba hapa hakuna kesi wala hakuna atakaye fungwa kwa kesi hii Wanaweza...
4 Reactions
10 Replies
960 Views
Huwa nacheka sana baadhi ya watu wakipinga kwa nguvu zote kuwa hakuna uchawi. Hawa hawajatembea wakajionea kwa macho yao na kushuhudia live kabisa, SIO KUSIMULIWA. Last week kuna picha ilitrend...
51 Reactions
281 Replies
40K Views
Tumesikia tamko la kiongozi wa latra akipiga marufuku mahubiri kwenye mabasi lakini sisi wananchi nadhani tunayafahamu mengi ambayo ni kero lakini kutokana na kutendeka kwa muda mwingi tukaona...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu Wa Tanzania Tumepokea malalamiko ya watu wa rika mbali mbali toka mwaka jana juu ya mashirika ya ndege hapo Dar es salaam wanavyo wasumbua watanzania wanao taka kusafiri kwenda nchi za nje...
8 Reactions
45 Replies
4K Views
Utakuta mhasibu kutwa nzima anashika pesa ofisini, pesa za kampuni mshahara kwa mwezi laki tano(500,000/=) Hii inafanya wawe na tamaa ya kuiba fedha za kampuni,kwasiku unashika fedha milioni...
10 Reactions
41 Replies
1K Views
Hivi katika nchi yoyote Nani anamzudi mwenzake kwa kila kitu kulingana na nafasi zao Mkuu wa Majeshi na Gavana wa bank kuu. Vipi kuhusu maslahi unyeti na ulinzi wa hawa watu? Au la ukiambiwa...
1 Reactions
48 Replies
10K Views
Back
Top Bottom