Kila siku katika maisha yako kama una computer au kazi au biashara kwa siku ukawa unaweka 10000,au 5000,au 500 kwa mwaka unapata hela chapu chapu.
Wekeza kwa utuli ila Benki tunatumia tu hela...
Kuna kipindi nilikuwa ninahisi maumivu kwenye jino la mwisho, nikaenda hospitalini kupiga xray ikaonekana nina jino chini ya fizi, inabidi litolewe.
Nikaweka appointment ili niende kesho yake...
Wasalaam,leo weekend nikawa na appoint ment na mwenyeji wangu kijiji xxxx. Nilipofika pale nikapaki boda pembeni nimjuze mwenyeji wangu nimefika.
Wakaja watu wakanizunguka wa hicho kijiji...
Watanzania tuko zaidi ya ml 60
Wa makabila,Imani na itikadi tofauti
Tunaunganishwa kwa pamoja na utaifa wetu unaotambulishwa katika katiba ya JMT.Kuna dhana ya wanasiasa kutaka kudhani kuwa wao...
Maandamano ni "false flag" tu.
Tawala zinaangushwa na HAYO maandamano ya KILIBERALI.
MISRI
Maandamano yakamwaga damu za wasio na hatia na KUUSIMIKA utawala "wautakao" leo wamerudi kulekule kwa...
Si tu "ordinary persons" hata profesa wa masuala mtambuka anaweza kunipinga [emoji1787]
Adam (A.S) binadamu wa kwanza alishushiwa Ngorongoro Crater....baadaye sana vizazi vyake vikasambaa na...
Wataalam nataka nijue matumizi ya jiko la umeme na gesi kipi kina bei nafuu!
Maana tumekalilishwa umeme una bei ghali ndio maana sijawazaga hata kununua jiko la umeme.
Sasa juzi nimetumia rice...
Shalom wanajf ,
Nina swali hapa yesu alipojibu hili swali la mafarisayo nilikuwa naomba ufafanuzi wa kina .
KWAMBA NI KIVIPI UFALME WA MUNGU UPO NDANI YETU?
LUKA 17, 20-21
"Na alipoulizwa na...
Jana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB...
Ili jambo lipo afrika na linaigizwa kwa mtindo wa kudanganywa kuwa kifaa chako sasa kina 4g au 5g.
Ghalama za kuendana na hiyo mifumo nikubadilisha vifaa vyote kwa wakati ili kumudu vifaa hivyo...
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetoa semina kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI kuhusu Mradi wa Kupanga, Kupima na Kumilikisha (KKK) unaotekelezwa katika halmashauri...
Anahitaji ushauri, soma kisa chake hapo 👇
My wife is pregnant with another man's baby and now she wants to leave me.
For some background, I got married years ago and my wife and I were happy...
Mungu akinijaalia afya njema mwakani na mimi nitashiriki ...niko hapa viwanja vya farasi naona watu wakiinjoy sana...,nitaanza kujifua rasmi nikimbie km42...nichukue zawadi ya 10mil..
Kujazana kiasi hiki kunaonyesha hawa wahindi ni masikini au ndo nini? Maana kwa kujazana huku, hiyo Train lazima iende mwendo wa kinyonga kwa usalama wa abiria! Sasa maana halisi ya kupanda chombo...
Salam ndugu zangu!
Haya ni maoni yangu binafsi ni ruksa kuwaza tofauti.
Food industry -Hakuna biashara kubwa duniani kama biashara ya chakula,chakula ikiwa Katika mawanda yote kwa maana ya...
Magwiji wa tiba radiolojia duniani ambao hutumia vifaa kama vile CT-Scan, MRI, Xray, Angiography system, Utrasound n.k kufanya uchunguzi na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia matundu madogo...
Usipende wapenzi nusu Usifurahishe marafiki nusu
Usiishi nusu ya maisha wala usife nusu kifo
Ukichagua ukimya, kaa kimya Unapozungumza, fanya hivyo hadi umalize
Usinyamaze kusema kitu Wala...
DODOMA: Bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewasilisha Bungeni Bajeti ya Tsh. Bilioni 171,372,508,000 kwaajili ya Matumizi yake kwa mwaka wa Fedha 2024/25 ambapo zaidi ya...
MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imetoa taarifa kwa Umma juu ya shughuli za utalii katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwamba zinaendelea vizuri pamoja na uwepo wa baadhi ya wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.