Nimshukuru Mungu kwa kulinda leo 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Leo hii saa 4 usiku nipo siti ya mwisho kabisa kwenye daladala ya kutokaea Kongowe kwenda Mbagala Rangi 3 kwenye kilima kile baada ya mto kufika Rangi 3...
STORY FUPI
Kuna dogo langu moja amekuja home hapa kama wiki nipo naye leo akasema nifundishe kubeti nikamfundisha aka download Betwinner aka deposit akaandaa odds zake 30 direct win tupu humo...
Kuna Mwanazuoni mmoja anaitwa F.G.Riggs yeye aliefafanua maana ya Maendeleo(Development) kwa Dhana ya Development is Autonomous in which society are able to shape their Social,Economic and...
Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto
Sukari...
Siku moja baada ya taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Tanzania (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro kutoa ripoti inayoonyesha kuwepo kwa abiria wenye lengo la kuhujumu Shirika Hilo hatimaye Leo...
Kwenye maisha usifurahie kila msaada unaopewa na mtu kwa nini kwa sababu hakuna kitu cha bure, kila msaada nyuma yake huwa na kusudi maalumu kwa anaesaidiwa sasa usifurahi kisa umepata kazi...
Mfumo ni muundo unaotumika kutofautisha, kutekeleza au kuonesha majukumu ya kikazi au majukumu, mfumo ni Mchakato wa Mda mrefu ambao huendesha taasisi fulani ni kwamba bila ya Mfumo hakuna...
My Take
WaKenya wasipojilinganisha na Tanzania Huwa wanaona hawajashinda Bado.
Ila nimeelewa hapo chini kwamba kila Kila Nchi ijikite kwenye kile ambacho inafanya vizuri zaidi.
Kwa Tanzania ni...
Baraza la wafamasia wamekuwa wakitoa mtihani wa leseni kwa wahitimu wa vyuo vya kada ya ufamasia.
Hata hivyo mitihani hiyo imekuwa migumu na utoaji wa leseni kugubikwa na sintofahamu nyingi...
Kwa ajili ya shughuli zangu mbalimbali nimekuwa naweka 10,000/= na kupata kifurushi cha dakika 1,200 kwa mitandao yote na kwa mwezi mzima.
Leo nashangaa nilipokuwa nimejiandaa kujiunga kwa...
1. Duniani Kuna mambo. Nipo hapa Melbourne, Australia. Nimekutana na kitu cha ajabu kiasi.
2. Wenzetu hawa wamefikia kuwa na GENDER NEUTRAL TOILETS yaani humo anaingia yeyote tu bila kujali...
Habari JF, ni katika kukumbushana tu mambo ambayo unaweza fanya baada ya muda ukaja jilaumu sana .
Kufunga kizazi (Tubal ligation kwa kina mama au vasectomies kwa wanaume ) ambako mara nyingi...
Habari.
Naomba msaada kwa anayejua kwa Dar ni wapi naweza kupata CLINIQUE 3 STEPS SET isio fake.
Kuna niliyonunua somewhere,sitataja duka ila nahisi ni fake sbb nimepaka siku moja tu asubuhi...
Hospitali ya Massana ambayo ipo mitaa ya Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam ipo mbioni kufilisika au kufa kabisa kutokana na zoezi la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuchukua fedha kwenye Akaunti...
Aliyekuwa Waziri wa Afya ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Tanga, Ummy Mwalimu, amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, kwa kumuamini na kumpa heshima kubwa ya kuwa, Waziri wake kwa kipindi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.