Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Sisi Watumishi wa SGR ambao tupo chini ya Mkandarasi Mkuu wa mradi huo, Yapi Merkezi tunasikitishwa na kitendo cha Muajiri wetu kupunguza Wafanyakazi kwa gia ya kuwapa likizo ya lazima. Uongozi...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Nashauri Kanisa Katoliki, wakiongozwa na Padri Kitima ambaye hujitanabaisha kutetea haki za aina mbali mbali, wajitokeze kutoa neno kuhusu jambo lililofanywa na waumini wao pamoja na mlinzi, tena...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Wameziba pote hadi mapitio ya asili yaliyounganisha watu wa pande zote kwa kuugawa mji katikati pasipo sababu za msingi bila kuwashirikisha wananchi husika. Imewaathiri hata wao kwenye mapato...
5 Reactions
11 Replies
667 Views
Habari za muda huu wakuu,nahitaji msaada wenu juu ya kampuni mpya ya uwekezaji inayojiita Foland 01, kampuni hii inamtaka mtu afungue akaunti na kuwekeza kiasi cha pesa kuanzia Tsh. 10,000 mpaka...
1 Reactions
35 Replies
1K Views
MADANGURO YALIYOBORESHWA; BIASHARA INAYOKUA KWA KASI Anaandika, Robert Heriel Wanasema mjini mipango, hesabu akilini jasho peleka shambani. Mjini kuna biashara nyingi Sana, biashara ya umalaya...
32 Reactions
44 Replies
12K Views
Ukaguzi wa magari (imported) Sasa unafanyika nchini tofauti na mwanzoni. Sasa Hawa ndugu zetu wameamua kucheza na beat ili kuvuna. Inspection tests (report) zinaandikwa"FAIL" ili ujiongeze...
16 Reactions
58 Replies
5K Views
Kwanza nianze kwa kusema kuwa ufreemason unaozungumzwa hapa si ule wa kwenye nguzo za umeme. Ni ule wa watu wenye fikra huru wanaokusanyika pamoja ili kuboresha maisha ya binadamu. Kwa nini...
15 Reactions
24 Replies
1K Views
1.Rugemarila - Anamaliza mwenyewe. 2.Byarugaba _ Yote kwa Mungu. 3.Tibaigana_ Watu hatulingani. 4.Tibaijuka_ Hawakumbuki. 5.Ruyemamu _ kujijari| 6.Mbatina_ kuogopa kufanya jambo/ Madhara...
23 Reactions
131 Replies
23K Views
Wakuu, tujuzane huko ulipo hali ikoje kwa picha na video, na kama kuna sehemu ina changamoto toa taarifa haraka kwa mamlaka husika kuepusha athari kubwa. Bila kusahau, tuchukue tahadhari kipindi...
17 Reactions
388 Replies
53K Views
Mnaona wana jamvi, Na team ya JamiiForum hebu angalieni hili swala la huyu bwana Toka 2010 amekuwa akiwapiga za uso baadhi ya Tanzania kwa kuwapiga na uhuni wa utaperi wa uwekezaji hali anaacha...
0 Reactions
5 Replies
313 Views
Huyu dogo sijui anafanya hvi kwa bahati mbaya au anafanya makusudi ili auchafue ukristo kwa maslahi ya waliomtuma. Bahati mbaya sana hata jina lake sijakishika vizuri, sijui imani yake. Lakini...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Salaam wakuu! Bango hili lipo sehemu nimekutana nalo ni njia panda (Samahani nimezoom simu yangu haijatoa clear). Naomba kuuliza swali, Je mmiliki wa hii sehemu pendwa kwa ukanda wa vingunguti...
0 Reactions
2 Replies
342 Views
Tangu zamani vitabu vya fasihi andishi vinavyotumika ni vilevile si kwenye somo la kiswahili wala English. Vitabu kama 'The black hermit' na vyakina Ngoswe na kilio chetu ni vya zamani sana...
4 Reactions
51 Replies
915 Views
Countries. Rank Country/Region IQ 1 Hong Kong * 106 2 Japan 106 3 Singapore 106 4 Taiwan * 106 5 China 104 6 South Korea 103 7 Netherlands 101 8 Finland...
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Wakati nasoma O level nimeshuhudia kwa maandishi kuwa kunabiashara inaitwa Triangular Trade ni biashara inayohusisha mabara 3,moja ya bidhaa muhimu ni Watumwa kutoka Afrika siwezi kushangaa Taifa...
0 Reactions
1 Replies
178 Views
Wakazi wa Vikunai kata ya Toangoma, wilayani Temeke usafiri wetu umekuwa ni wa kubahatisa na nauli zake hazieleweki. Kwa mfano kuna ruti za Vikunai - Stesheni via Kijichi na ruti ya Vikunai...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Jamani ukioiga Airtel kwenda matandao mwingien yeyote yaani hamuwezi kusilizana,sijui kwanini Airtel huduma zimaenza kuwa mbovu hivi?TCRA mmemchukua hatua zipi?
0 Reactions
2 Replies
150 Views
Nilikua nafanya muamala kutoa pesa kwenye account yangu CRDB kwenda M-PESA. Bahati mbaya hii App mpya ya CRDB sio user friendly kama ya mwanzo ikanichanganya badala ya kupeleka M-PESA nikapeleka...
6 Reactions
75 Replies
15K Views
Habari wanaJf! Mimi sio mwandishi mzuri lakini naamini tutaelewana tu. Kipindi cha kubalekhe kina dalili nyingi ambazo tunazisikia na zaidi zinafundishwa mashuleni, dalili kama vile kuota matiti...
8 Reactions
41 Replies
2K Views
Back
Top Bottom