Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Wasiojua kusoma na kuandika zaidi ya vijana 700 ikiwemo watu wenye umri zaidi ya Miaka 17 wakiwa 85 wasiojua kusoma na kuandika katika kijiji cha Ipazya wameandikishwa katika mfumo rasmi na mfumo...
3 Reactions
5 Replies
123 Views
Wakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu. lakini katika...
11 Reactions
144 Replies
17K Views
HABARINI wapendwa Tuna mzee wetu aliamua kuwa msimamizi WA MIRATHI ya kaka yake Sasa KIKAO wakamua WAGAWANE mali zote sawa... Kilichofwata mzee akaandika yule WA Nje amepewa mali zaidi ya wenzie...
0 Reactions
0 Replies
113 Views
Jopo la Wanasheria wa Serikali kutoka Wizara ya Katiba na Sheria wakiongozwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Haki za Binadamu Bi. Beatrice Mpembo Februari 19, 2025 Jijini Mwanza wamefanikiwa kutatua...
1 Reactions
2 Replies
116 Views
Vikundi 60 vya wanawake vijana na wenye ulemavu katika Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza vinatarajia kunufaika na mkopo wa Shilingi bilioni 1.13. Akizungumza kwenye hafla ya utoaji mikopo ya...
2 Reactions
4 Replies
122 Views
Kwanza kabisa sio kwamba napinga PPPs, bali kwenye huduma ambazo hazina alternative ni vema likafanywa na UMMA kwa gharama ambayo itakuwa ni affordable, ukizingatia ni huduma, unapomuongezea raia...
1 Reactions
2 Replies
94 Views
Dkt. Noe Nnko Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imezitaka taasisi na mashirika kuwa makini katika matumizi ya taarifa za watu, kwani mtu yeyote ambaye taarifa zake zitatumika bila idhini...
1 Reactions
4 Replies
377 Views
Taasisi ya Joel Nanauka Foundation, chini ya Muasisi wake Dkt. Joel Arthur Nanauka, imeendesha zoezi la ugawaji wa kadi za Bima ya Afya kwa Wazee 204 katika Halmashauri ya Manispaa ya...
2 Reactions
18 Replies
238 Views
Rafiki yangu mpendwa, Kila mtu aliye hai, ambaye ana shughuli yoyote ya kumwingizia kipato, anao uwezo wa kujenga utajiri kwenye maisha yake. Ndiyo, nimesema kila mtu, hata wewe unayesoma hapa...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kutokana na kitongoji cha Dombwela kata ya Iwawa wilayani Makete mkoani Njombe kukubaliana kujenga ofisi mpya za kitongoji hicho, wananchi wamekubaliana kubadilisha sheria kwa watakaokuwa hawafiki...
1 Reactions
1 Replies
76 Views
Mungu fundi sana I salute you ma God. Yaani ukianua mtu awe na bday Mwaka huu anapata aliamua mwakan hupati hupati. Naulizia tu jamani Feb imeisha Jana vipi wale ndugu zetu wa Feb 29 waliozaliwa...
1 Reactions
4 Replies
84 Views
UTANGULIZI Madai ya NETO kuhusu serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwaajiri walimu wote wa 2015-2023, Kufuta usaili kwa kada ya elimu yanaonesha presha kubwa kutoka kwa wahitimu wa...
0 Reactions
2 Replies
320 Views
Wahitimu wa degree wanaopitia changamoto za kiuchumi hupata msongo wa mawazo kwa sababu jamii huwa na matarajio makubwa kwao. Jamii huamini wanapaswa kuwa wajanja zaidi kwenye fursa hata...
10 Reactions
37 Replies
915 Views
Huu mwaka umekua wa hovyo mapema mnoo aisee, Habari zenu kwanza wakuu Mwenzenu jana nimetapeliwa, na nikiri tu kuwaambia uchawi upo wakuu, Ilikua jana kuna hela nilipatiwa nikamlipie dogo Ada...
88 Reactions
479 Replies
12K Views
Nimeamua kulileta humu labda nitapata relief, ni hivi nilifanya maombi ya uhamisho wa kubadilishana ambapo kwa ngazi zote mpaka mkoani nilikamilisha japo kwa mbimbe nilitumia miezi mitano(ila...
7 Reactions
66 Replies
5K Views
Chama cha Mawakili wa Tanganyika(TLS) kimeripoti jumla ya wanasheria 65 kufariki kwa kipindi cha kuanzia Machi 2020 kutokana na janga la virusi vya Corona Mratibu wa TLS mkoani Njombe, Innocent...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Moja kwa moja. Nimeona nije na mada hii baada ya kuona huu uzi leo Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa! nikakuta za comments mbalimbali. Nije...
5 Reactions
40 Replies
2K Views
  • Redirect
𝗚𝗲𝗿𝗺𝗮𝗻𝘆 𝗶𝗺𝗲𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗸𝗮𝘇𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗴𝗮𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗺𝗶𝗶𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝘄𝗮𝘁𝘂 𝗸𝘄𝗮 𝗮𝗷𝗶𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗶𝗳𝘂𝗳𝘂𝗮 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 𝗶𝗷𝗮𝘆𝗼 Kuna siku niliwaambia kuhusu watu kutaka kugandisha miili ya watu iliyokufa na kutaka kuifufua miaka ijayo...
0 Reactions
Replies
Views
Ni muhimu kutambua kuwa sio kila mtu anayewashawishi watu kutoa sadaka ana nia njema. Biblia inasema nyakati za mwisho zitatokea roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani(1 Timotheo 4:1)...
4 Reactions
48 Replies
975 Views
Back
Top Bottom