Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

KUSITISHA UTOAJI HUDUMA YA UVUSHAJI KWA KIVUKO MV. KIGAMBONI Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unawataarifu watumiaji wa kivuko Magogoni Kigamboni na wananchi kwa ujumla kuwa, Kivuko MV...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Jana usku unafika kivukoni unapewa taarifa kuwa hamna huduma utumie njia mbadala! Una tumia 5K nauli kurud home tu! Hii ni kero mno kma wameshndwa wampe mtu anayejiweza #tumechoka PIA SOMA -...
2 Reactions
12 Replies
404 Views
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wameshukuru Serikali kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya miradi mbalimbal inayotekelezwa na TASAF nchini. Salimu Mshana, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF...
1 Reactions
5 Replies
136 Views
Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unawataarifu watumiaji wa kivuko MV. CHATO II HAPA KAZI TU kinachotoa huduma katika maeneo ya Chato, Mharamba, Izumacheli na visiwa vya jirani kuwa...
0 Reactions
5 Replies
419 Views
Kwa wakongwe, hebu njooni tukumbushane ukumbi maarufu wa kufanyika kwa matukio makubwa miaka. Ukumbi huo ni Diamond Jubilee, unakumbuka nini kuhusiana na ukumbi huo? Shea nasi
2 Reactions
6 Replies
159 Views
Tambi za Santa Lucia zimeadimika sana kitaa, nikajikuta nauliza kwa wadau wa dukani wakaniambia ni kama zimebadilishwa jina na sasa zinaitwa Olivoila. Yaani ni kama Tigo ilivyobadili jina na...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
MADA: ASTROLOGY MKUFUNZI: Dr. Rwakiunge Rugambwa (PhD) UTANGULIZI: Nyota ni nini? Mara nyingi tunasikia watu huko nje au kila mahali wanazungumzia Nyota, Nyota, Nyota; lakini wanakuwa...
0 Reactions
2 Replies
122 Views
Juzi tarehe 21st of February, kash Patel ameidhinishwa kuwa chief of FBI huko marekani. Sasa kama kwaida ya wabongo sisi , kwa mbwembwe tukaanza kusambaziana propaganda, mara oh... ni...
6 Reactions
23 Replies
490 Views
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeingia mkataba na mtoa huduma kampuni ya Manjis Logistics Limited ambaye atahudumia wilaya zilizopo ndani ya Mkoa wa Tanga kwa kuuza kwa bei ya ruzuku mitungi ya...
1 Reactions
6 Replies
205 Views
3 Reactions
8 Replies
422 Views
Wadau wa Jamiiforums, pole na pilika za maisha, na natumai kila mmoja yuko salama. Leo hii nawaletea jambo ambalo litawafungulia macho kuhusu mabadiliko makubwa yanayotokea katika soko la ajira...
11 Reactions
18 Replies
476 Views
Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imesema imepokea malalamiko kutoka kwa baadhi ya wateja kuhusu vikomo vya malipo na miamala kwa akaunti za M-Pesa. Kupitia taarifa yake kwa Umma...
6 Reactions
17 Replies
990 Views
Je ni sahihi mkristo kufunga ndoa mwezi huu wa ramadhani? Maana miongoni mwa watu waliomchangia pesa ya harusi ni waislamu na waislamu muda huu wapo kipindi cha mfungo na hata baadhi ya wakristo...
3 Reactions
27 Replies
376 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Zanzibar (ZICTIA), Shukuru Awadhi Suleiman (kushoto) na Mkurugenzi wa Mtandao wa Vodacom Tanzania Plc Andrew Lupembe, aliyemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji...
1 Reactions
2 Replies
87 Views
TBL naomba Ufafanuzi wa hizi bia mbili hapo kwenye picha Moja imejaa mpaka juu na nyingine haijajaaa Na hata Lebo na vizibo ni tofauti Swali ni je kuna fake na original Kati ya hizi bia?
2 Reactions
16 Replies
448 Views
Hawa watu wamekua kero sana.
4 Reactions
16 Replies
340 Views
Ubungo:Watumishi wa Dawasa wanawajibu wananchi hovyo ni baada ya wananchi kukaa miezi 3 bila maji Ubungo kibangu mtaa wa kajima watu wana miezi 3 bila maji, dawasa wamezuia maji kwa maksudi halaf...
1 Reactions
5 Replies
122 Views
Kuna wakati najiuliza maswali mengi nakosa majibu! Utofauti wa mwanamke na mwanaume upo na kila mtu anafahamu hilo, ila tunaamua kuchagua tu kuziba masikio na kusema kuwa tupo sawa. Hii picha...
5 Reactions
9 Replies
229 Views
Wakuu Wizara ya Afya imewekeza Sh5 bilioni katika ujenzi wa jengo jipya la tiba mionzi katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) pamoja na ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa. Hatua...
1 Reactions
8 Replies
178 Views
Back
Top Bottom