Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Inakuaje watumishi wa UMMA wanalazimishwa kudhulia mikutano ya SIASA
0 Reactions
0 Replies
229 Views
Habari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na...
8 Reactions
86 Replies
4K Views
Habari ndugu wana jamii forums, naombeni ushauri kwa wataalam wa mambo ya umeme. Nyumba yangu ni ya vyumba vitatu, natumia umeme kwenye taa, feni, tv, fridge na heater mara moja moja. Umeme...
1 Reactions
2 Replies
509 Views
Katika historia ya nchi yetu, kumejawa na watu mbali mbali waliotikisa vyombo vya habari Kwa kufanya mambo makubwa Kwa ajili ya nchi yetu katika nyanja mbalimbali ikiwemo wapigania uhuru...
3 Reactions
16 Replies
478 Views
Katika mitandao ya kijamii leo umesambaa waraka unaonekana kuwa ni wosia wa mwisho wa Mzee Regnald Mengi Katika wosia huo ameonekana kuacha mali zake zote kwa aliyekuwa mke wake wakati anafariki...
20 Reactions
721 Replies
165K Views
Watanzania naomba kuwataadharidha na hili kundi linajiita BLACKROCK-009 wameliza sana watu wakijinfanya kununua kifurushi na wewe kuwekewa pesa kutokana na kifurushi utakacho nunua. Ni kama DESI...
0 Reactions
2 Replies
275 Views
Isiwe ni maneno dhahiri kwako lakini ninavyochunguza na kupitia uzoefu kwa wengine ni kuwa kadri umri unavyozidi kuongezeka ndivyo wengi wetu tunakosa furaha. Hii huweza kuchangiwa na mambo...
20 Reactions
36 Replies
1K Views
Prof. Suleiman Daudi alikuwa genius sana. Aliweza kugundua vitu vya deep sana. Ukigundua alichokuwa anamaanisha Professor Solomon hapa utapunguza 50% -75% ya changamoto zako.
12 Reactions
14 Replies
645 Views
AMANI INAPIGANIWA UHURU HUPEWI BALI UNAPIGANIWA/AFRIKA WAMEJAA MATAPELI. ✓Julius MALEMA ANAKWAMBIA ya kwamba Mataifa ya Afrika magharibi wakiwa huru na kuachana na Mfaransa basi Mfaransa lazima...
0 Reactions
0 Replies
324 Views
Uislam ni dini ambayo inakwa kwa spidi sana ulaya, muungano ndio silaha yao kuu ukiachana na ukristo ambao kuna madhehebu mengi kama kama anglikana, Lutheran, roma, sabato, pentecost, mashahidi...
15 Reactions
202 Replies
13K Views
Wasalaam JF Nimejaribu kufuatilia vituo vingi vya habari na hata mazungumzo ya baadhi ya maeneo niliyopo na kushtushwa na kupotea kwa umaarufu ya sikukuu ya wakulima 8/8. Katika fuatiloa yangu...
4 Reactions
12 Replies
397 Views
Wakuu kwema, Kama Kuna Mtanzania yeyote anayeishi nchini Singapore pengine kikazi,kibiashara au kimasomo naomba anipe uzoefu wake maana nimepata partial scholarship ya master's hivyo nikahitaji...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Albogast Kajungu, amefanya ziara ya kushtukiza katika mashamba ya wakulima mbalimbali eneo la Mang’ola wilayani Karatu...
0 Reactions
0 Replies
224 Views
Katika jamii yetu kawaida ya watu wanashindwa kufikia malengo Yao kutokana na kile wanachoamini kuwa kipato hakitoshi. Kiuhalisia ukimuuliza matumizi yake ni shi ngapi kwa mwezi au kwa siku...
2 Reactions
0 Replies
184 Views
Wahubiri wa imani ya Kikristo, ni muhimu kutoa maelezo fasaha mnapozungumzia masuala ya ulimwengu wa roho. Mara nyingi, unamsikia mhubiri akisema, "Naona katika ulimwengu wa roho..." lakini ni...
1 Reactions
27 Replies
960 Views
Majina yamebeba maana! Majina yanaweza kumfinyanga mtu akafanania na jina lake. Kenneth ni jina la kiume. Lina maana gani hasa katika mtazamo wa kiroho?
1 Reactions
14 Replies
723 Views
Habari ya 8 8 viongozi, Njooni tupeane connection ya sehemu ambazo zina potential kwa sisi vijana kwenda kujipambania. Nitaanza kama ifuatavyo. 1. Dar es Salaam na viunga vyake Ebhana hii sehemu...
17 Reactions
69 Replies
3K Views
Moshi mbunge wa jimbo La Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro, Prof Patrick Ndakidemi amefanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa ofisi ya Tarafa ya Hai Mashariki iliyopo katika Kata ya Kimochi...
0 Reactions
2 Replies
199 Views
Vyanzo vingi vinaonesha nchi hizi ndio zinaongoza kwa kuwa na imbalanced work force, Yaani baadhi ya nchi kwenye hii orodha ni mwiko mwanamke kwenda chuoni, kazi zinabanwa ziwe kwa wanaume tu.
2 Reactions
8 Replies
308 Views
Huwa nashangaa mno haya mambo yanavyokuzwa, huenda ni zamani sana ilikuwa hivyo lakini kwa sasa mambo yamebadilika. Ukweli ni kwamba majeshini na hata kambi kibao za majeshi wakurya wapo lakini...
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Back
Top Bottom