Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wadau, kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida? Mimi ni muumini wa X, threed, jamiiforums kwa...
14 Reactions
59 Replies
2K Views
Huwa tunaona Serikali ikitoa taarifa za makusanyo ya kodi kila mwisho wa mwezi na mwisho wa mwaka, hilo ni jambo zuri ila sio la muhimu sana kwa wananchi walio wengi. Ni wananchi wachache sana...
1 Reactions
1 Replies
500 Views
Mkurugenzi wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Jamila Mbarouk amezungumzia taarifa kuwa Treni inayofanya safari zake Dar es Salaam – Arusha ‘imekufa’ na haitaendelea kuwepo...
2 Reactions
4 Replies
889 Views
Wataalamu wa mambo ya sheria mtakubaliana na mimi kuwa mkataba wowote halali lazima uwe na kipengele cha kuvunja ambacho kinaeleza ni mambo gani yanaweza kupelekea mkataba husika kuvunjika. Kwa...
1 Reactions
4 Replies
364 Views
Mwenendo wa Ukusanyaji Kodi uliofanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa kipindi cha miaka 7 2018/19: Tsh. Trilioni 1.20 2019/20: Tsh. Trilioni 1.26 2020/21: Tsh. Trilioni 1.29 2021/22: Tsh...
3 Reactions
6 Replies
725 Views
Hii nchi inazidi kuoza tu hii imenisikitisha sana MJAMZITO AFARIKI KATIKA MAZINGIRA YA UTATA KITUO CHA AFYA MBEZI YA KIMARA, DAR ES SALAAM! Mpendwa Baba Askofu Mwamakula! Ndugu yetu Elizabeth...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Hili ni swali ambalo nimelileta kwenu wakuu , maana sarakasi zinazoendelea baada ya Mzee Mengi " kutwaliwa " zimeanza kunitafakarisha . Ningependa kujua sababu hasa za chama cha Wajane Tanzania...
24 Reactions
165 Replies
16K Views
Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabhila amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Mlandizi mkoani Pwani. Akizungumza na kwa njia ya simu na Mwananchi Digital Agosti 4, 2024...
12 Reactions
71 Replies
4K Views
JamiiForums watu wanazidi kuongezeka hasa vijana hivyo tunazidi kuongezeka Kwa idadi kubwa sana. Sehemu yenye watu wengi kama hivi ni lazima kuna kuwa na watu wenye tabia mbali mbali na michango...
18 Reactions
68 Replies
2K Views
wakuu wikiendi inaenda? Nakumbuka ilitoka list ya vitu unavyoruhusiwa kubeba na kuingia navyo ndani ya SGR, pamoja na vile ambavyo ukiingia unavikuta, yaani viburudisho. Sasa kwanini...
7 Reactions
46 Replies
2K Views
1:Namba za Magari Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Namba za magari yanayitumika kumbeba Rais au Makamu wa Rais na Waziri Mkuu haziandikwi namba wale herufi katika kibao chake, bali huwa na...
8 Reactions
57 Replies
11K Views
Maisha si bahati, maisha ni mikakati thabiti na mipango. Ingawa mara chache maisha huweza kuwa bahati. Binafsi nasema kuwa mtu yeyote anayeishi kwa kusubiri bahati imwangukie huyo ni tahira...
4 Reactions
22 Replies
455 Views
Taasisi yangu wanahitaji fundi mchomeleaji mwenye cheti cha long course ambayo ni miaka 2 na mimi kutokana na swala la ada kusomea kozi ya miaka 2 sina. Ila nahitaji kujua kuchomelea na ufundi...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Hususan Maeneo ya Vijijini na hata baadhi ya Familia Mjini Mwanamke akianza kutambua na kudai haki zake huonekana ana kiburi sana. Halafu cha kushangaza sasa unakuta wanawake ndio wa kwanza...
2 Reactions
24 Replies
596 Views
China imekamilisha jaribio la usafiri wa treni aina ya maglev yenye kasi ya juu (UHS), kuashiria hatua nyingine muhimu kwa aina hiyo ya usafiri inayoweza kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa...
51 Reactions
264 Replies
8K Views
Licha ya kuwepo kwa mwamko wa wananchi kujenga nyumba kupitia fedha zao za mfukoni, hali inaonyesha kuwa huwachukua wastani wa miaka kumi hadi miaka 15 kumaliza kujenga nyumba hizo. Hayo...
4 Reactions
22 Replies
880 Views
Habari wana jukwaa, tujadili kuhusu hili... kama una wazazi wawili, utakuwa na 4 grandparents, 8 great grandparents ect..... Katika generation 20, utakuwa na mababu na mabibi 1,000,000. Kila...
0 Reactions
0 Replies
175 Views
Kwa wale watumiaji wa mtandao wa Vodacom ambao bado hamjasanuka basi nawasanua unaweza kupunguza spidi ya intaneti yako ili kuzuia bado kuisha haraka. Kwa kawaida usipo-limit matumizi ya spidi...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Hivi nikweli mwanamke akiwa na mimba riziki kwa mwanaume unae kaa nae uwa ya kusua sua? Naombeni munijuze mwenye kuelewa
4 Reactions
6 Replies
423 Views
Wanajamvi kichwa cha habari kinatosha. Anayejua kuwa inatengenezwa kwa mazumuni yapi tu na matokeo yake yakoje na kwa muda gani. Comment 👇🏻
0 Reactions
1 Replies
191 Views
Back
Top Bottom