Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
1.0 Kuanzia Mahakama za chini hadi Mahakama Kuu suala la Hakimu au Jaji kuharibu kesi kwa manufaa yake ni la kawaida tu. HAWAJALI. Wanajificha kwenye mstari wa mwisho wa hukumu zao unaosema...
1 Reactions
5 Replies
303 Views
Viongozi kadhaa wa Kitaifa wakishiriki kuhani Msiba wa Mama yake Halima Mdee, Tunaishukuri serikali kwa kujitokeza kushiriki kuwafariji Wafiwa. Gerson Msigwa Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko...
13 Reactions
74 Replies
5K Views
Simba na yanga Ccm na chadema . Mke wa MTU na mme wa MTU . Kupiga mtungo na kupiga mende Hayo mambo yameaua focus za watu hapa Tanzania.✊🏿
10 Reactions
26 Replies
861 Views
Wanandugu mliowahi kwenda KUSIKOJULIKANA kuanza moja tunaombeni mtujuze changamoto ILI tujue jinsi ya kuzikabili UKITOKA KWENDA sehemu kujitafuta
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wawekezaji uwepo wa umeme wa uhakika katika Wilaya za Kilombero, Malinyi na Ulanga na hivyo amewaalika kwenda...
0 Reactions
0 Replies
182 Views
Leo nimepata mgeni toka nchi ya urusi kaja kupumzika.ila alicho niambia watu wengi huko wanajua lugha kiswahili inatoka kenya. ili jambao bado nauliza sana kwa nini si watanzania tumelala...
0 Reactions
2 Replies
230 Views
Yaani kutoka Dom mpaka nakaribia Dar maTV yenu ni Mama mama mama mamaa!! Kwani hii treni ni ya familia yake?
14 Reactions
17 Replies
621 Views
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Serikali itahahakisha inasimamia Utekelezaji wa ujenzi wa miradi ya barabara na madaraja iliyopo katika Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020-2025...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Benki ya Tanzania (TCB) inayo furaha kumkaribisha Bi Lilian Mtali kuwa Mkurugenzi wa Biashara za wateja Wadogo na wa Kati. Bi. Mtali ana uzoefu wa miaka 26 katika sekta ya huduma ya kifedha...
0 Reactions
1 Replies
300 Views
Asema hana matumaini na kizazi cha sasa katika kujenga jamii mpya, ataka nguvu ziwekezwe kwa vizazi vijavyo. Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu (Mstaafu) wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hivi inawezekanaje muajiri amekwisha peleka mishango NSSF alafu ukienda kuangalia salio ukakuta kuna michango kadhaa imechomolewa wakati kabla ilikua inasoma. Hii kitu imewatokea wanachama kadhaa...
1 Reactions
2 Replies
481 Views
Tokea asubuhi hapa Ifakara, waziri Mchengerwa na mama Samia wamekaa meza moja kwa masaa kadhaa, hii sio sawa kimaadili ya kitanzania. Nini kifanyike? Waziri Mchengerwa aachie nafasi zote za...
11 Reactions
37 Replies
1K Views
Kijana anarudi nyumbani kahitimu chuo kwenye taaluma kama ufamasia, uhasibu, uhandisi, IT, sheria, Procurement, n.k. Kama tujuavyo mfumo wetu wa elimu, huwajenga wahitimu wengi kusubiria ajira...
7 Reactions
17 Replies
834 Views
Upendo Tv Kipindi cha Twende Yeriko waliwahi kutoa ushuhuda wa bwana mmoja aliyekuwa anampeleka Mtoto mdogo kwa Mganga Ili amtoe Kafara kwa ajili ya kuongeza mtaji Mama wa Mtoto aliachwa nyumbani...
9 Reactions
32 Replies
1K Views
Kwa miongo kadhaa ITV kimekuwa kituo pendwa kwenye habari hasa habari yao ya saa 2 usiku. Ijapokuwa siku hizi taarifa zao ni za uchawa sana, hatushangai hii ni moja ya legacy aliyoacha Magufuli...
16 Reactions
110 Replies
3K Views
Wengine zaidi ya 40 wakimbizwa hospital 20 imasemekana wamefariki dunia. Chanzo ITV.
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Umenisikia na huo ndio ukweli, kuna siku nikipata nafasi nitachambua the current paradigm shift ya focus ya elimu yetu kuanzia kindergarten to Universities madhara yake tunayayaona leo na...
7 Reactions
34 Replies
1K Views
Kampuni hii ilitangazwa kwa mbwembwe nyingi sana bungeni na kwenye media wa kwanza kuisfia kampuni hii alikuwa Musukuma, wakafuata Maulid Kitenge na wenzake pamoja na Prof. Makame Mbarawa Sasa...
0 Reactions
11 Replies
825 Views
Siikatai kuwa kuna Askari Polisi wasio waadilifu! Karibia kila taaluma kuna watu wasiozingatia maadili ya kazi/taaluma zao Kule nchini Marekani, Polisi mmoja alibaini kuwa leseni ya udereva wa...
11 Reactions
29 Replies
1K Views
Back
Top Bottom