Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Huwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara. Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika. Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula...
18 Reactions
108 Replies
3K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Kumekuwa na Video ya Binti mmoja inayozunguka mitandaoni ikionyesha namna anavyobakwa na kukawitiwa na Vijana kadhaa,Vijana hao ambao wamesikika...
12 Reactions
49 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kwa wanafanya malipo ya serikali watakubaliana nami kuwa, mfumo wa kulipia na kuhakiki malipo wa serikali " government e payment gateway" (GEPG), haufanyi kazi vizuri kwa takriban...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Naandika kwa masikitiko makubwa sana Leo ikiwa ni siku ya tatu maji hayatoki . Hakuna taarifa yoyote ya katazo la maji kwa wananchi wa kata ya Nyasubi Kahama. Tumejaribu kutoa taarifa tunajibiwa...
0 Reactions
2 Replies
310 Views
Habari za jioni wakuu. Kuna video inatrend huko kwa groups kuhusu watu wa Kigoma kutojua matumizi ya double road. Mimi kwa jinsi nilivyotembea niona hata Arusha hii njia ya Arusha - Moshi...
0 Reactions
7 Replies
431 Views
Habari za muda mrefu ndugu Wana familia wa jamii forums. lengo la kuanzisha huu Uzi ni kukutanisha watoto wa kishua na watu wenye uwezo kiuchumi " matajiri " kwa ajili ya kubadilishana mawazo...
9 Reactions
48 Replies
2K Views
Hii bank kuna walimu wanaipigia kelele kwamba wanakata deductions kabisa za makato ya mkopo ambao hawajautoa kabisa na wakipigiwa simu wanajibu kirahisi shida mfumo. Sasa kama shida ni mfumo mbona...
2 Reactions
13 Replies
727 Views
Leo nimeambiwa eti 'baada ya kumaliza chuo wahitimu wote wanapaswa ku-verify vyeti vyao kwa mwana sheria na vipigwe muhuri ndipo vitumike.' Binafsi, naona hili suala sijalielewa. Kwanini...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
Muonekano wa Daraja la Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133 katika barabara ya Mikumi- Kidatu - Ifakara sehemu ya Kidatu - Ifakara kilometa 66.9 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami Mkoani...
13 Reactions
70 Replies
3K Views
Tupo safarini tunatoka Mbeya tunakaribia kuingia Mikumi tumesimamishwa kwasababu Rais anatoka Ifakara na bado hajatoka huko Ifakara. Viongozi wa Afrika mnatesa watu wenu.
3 Reactions
14 Replies
613 Views
Kwa sasa treni inasafiri kati ya Dar na Moro. Ni vizuri wahusika wakafanyia kazi baadhi ya mambo kabla usafiri haujatanuka kufikia maeneo mengine. Baadhi ya changamoto ni hizi hapa. Kwenye...
3 Reactions
8 Replies
656 Views
Kutokana na ushabiki wa Mchezo wa Mpira kukua kwa kasi ni muhimu sana wakumbuke pia kufanya mikoani ili kuwapa raha mashabiki. Ningeshauri hata matamasha hayo yakafanyika kikanda na kuwa na...
0 Reactions
1 Replies
185 Views
Wasalaam Wakuu, Nimeona hiki kisa kilichoandikwa kwenye Agano la kale, Nimeamua kushare nanyi hapa ili mmpate kuelewa kwamba Chuki na Wivu vilikuwepo tangu zamani. Hapa katika kisa hiki tunaona...
0 Reactions
2 Replies
261 Views
Mnamo tarehe 2022-08-04 2022-08-17 ,WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI walitangaza nafasi hizo 17 kupitia PSRS Watanzania wenye sifa stahiki waombe ili mwisho wakifaulu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
1) MARUFUKU KUTAFUNA BABLISH/BIG-G UWAPO SINGAPORE Singapore ilipiga marufuku vitu vyote vinavyofanana na big-g mwaka 1992. Yeyote atakayeingiza bidhaa hii kutoka nje ya nchi, atakayeuza au...
4 Reactions
17 Replies
888 Views
Kwa mara ya kwanza nimekuja Kigoma baada ya miaka 25. Nimeshangaaa sana. Kigoma si mbaya kihivo kama ilivo jina lake, na kama binafsi nilivokuwa naichukulia iko tu kama mikoa mingine Kama...
39 Reactions
106 Replies
6K Views
Habari Wanajukwaa! Dunia ina watu takribani bilioni 7 huku wakiwa wamegawanyika kwenye mabara saba; Asia, Afrika, America ya Kaskazini, America ya Kusini, Antarctica, Ulaya, pamoja na Australia...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu Halima Mdee, Bi.Theresa Mdee amefariki dunia leo katika hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma Taarifa hiyo imetolewa na Mbunge Ester Bulaya ambaye amethibitisha...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
habari za ujenzi wa taifa? Hili swala la kuwachukulia Watoto wa miaka ya 2000 tofauti limekuwa likizidi kushamili siku Hadi siku sijajua labda social media kwa kipindi hiki ila hapo zamani kidogo...
5 Reactions
25 Replies
996 Views
Exactly mwaka 1997 nilikua naenda Arusha kwenye kusaidia kibarua nikitokea moshi hapo nilikua form 3..sasa Nikiwa Pale Soko Kuu akaingia Jamaa Mmoja Mrefu Mbavu kweli kweli..kafanana kabisa na...
1 Reactions
37 Replies
2K Views
Back
Top Bottom