Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
WAKULIMA nchini wameshauriwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na taasisi za kilimo pamoja na kibenki zinazolenga kuwawezesha kukuza mnyororo wa thamani katika sekta na hatimae kuchangia...
0 Reactions
0 Replies
177 Views
Anonymous (d7ce)
Kumekuwa na vituo vingi vyenye askari barabara ya Kigamboni-Mkuranga na kila kituo askari wanadai kupatiwa shilingi elfu mbili. Mpaka siku inaisha tunakua tumepoteza kiwango kikubwa tu cha pesa...
1 Reactions
9 Replies
270 Views
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeweka utaratibu wa kutoa "Death Grant" kwa warithi wa wastaafu waliofariki. Kulingana na sheria iliyopo, malipo haya yanatolewa kwa mke/mume wa marehemu...
1 Reactions
8 Replies
653 Views
Umaskini ni laana, umaskini ni aibu, umaskini ni kilio, umasikini ni manyanyasiko, hakuna furaha yoyote unayopata kwa kua maskini. Nimeshashuhudia maskini akikata roho kwenye korido za hospitali...
27 Reactions
151 Replies
15K Views
Nimefuatilia ziara ya Mh Rais Samia katika mkoa wa morogoro kwa umakini hii ziara imefana na hii ni kutokana na hulka ya rais samia kutokuwa mtu wa makeke na kuharas watumishi wa uma ambao kwa...
1 Reactions
8 Replies
348 Views
Habari ndugu zangu, Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote . Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
12 Reactions
100 Replies
5K Views
Wakuu, Nimetembelea stores kadhaa za Airtel ku acces huduma ya esim bila mafanikio yoyote yale, Inashangaza hata Matawi makubwa kama Mlimani City nako hakuna huduma ya esim kabisa Airtel Tanzania
1 Reactions
0 Replies
226 Views
WAKATI nakua na kupata fahamu za kujua kuwapo kwa Mungu, ipo siku wazazi wangu waliniamsha alfajiri na kunivisha nguo ambazo sikuwahi kuzivaa, zilikuwa mpya; shati na kaptura, tofauti na zamani...
2 Reactions
6 Replies
561 Views
Katika kuhakikisha ulinzi na Elimu vinatolewa Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha Wanamaji nchini kimeendelea kuyafikia makundi mbalimbali yawatumiaji wa vyombo vya majini ambapo leo kimetoa elimu...
0 Reactions
2 Replies
268 Views
Kila Ijumaa wazazi tunadaiwa shs 1,500 kama ada ya mtihani. Je walimu wanafanya haya kwa ruhusa ya Wizara kama examination policy? Mtoto asipoleta hela anapigwa. Tupelekane mahakamani na walimu...
10 Reactions
208 Replies
4K Views
Anaitwa Prosper Theonas Mnjari, anatafutwa alichukuliwa nyumbani kwake Chamazi Mbagala tarehe 2/8/2024 saa 5 asubuhi na watu waliojitambulisha Tanesco, toka walivyo mchukua simu ilizimwa...
4 Reactions
49 Replies
2K Views
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema Wizara ya Madini imekubaliana na Ofisi ya Rais TAMISEMI kukutana na kutatua changamoto ya tozo zinazowekwa na Halmashauri kwa wachimbaji wa madini nchini...
1 Reactions
0 Replies
176 Views
Wakuu habari za asubuhi, Naomba msaada kidogo, kuhusu presure pump sound. Je, kuna mtaalam anaweza kunisaidi akanipa ujanja wa kuondoa kelele za pressure pump? Dah hasa usiku hulali vizuri...
0 Reactions
6 Replies
381 Views
Ndugu wadau. JamiiForums ni sehemu nziri ya Kupata elimu- Tuangalie misuko suko waliopitia ndugu zetu wa dini ya kikiristo. Vita vya madhehebu ya Kikristo vinahusisha migogoro na mapambano kati...
3 Reactions
17 Replies
615 Views
Kero moja wapo inayo wakumba watu wenye ulemavu wa kutosikia yani viziwi katika ofisi za Umma au atawatu binafsi ni ubaguzi wa kutoelewana. Unakuta kiziwi anahitaji huduma ila wahudumu...
0 Reactions
0 Replies
270 Views
Kuna vitu vingi vidogo ambavyo tumekuwa tukiviona kwenye bidhaa ambazo tunazitumia kila siku na tunashindwa kuelewa umuhimu wa kuwepo kwa hivo vitu either kwa sababu tumekuwa tukivipuuza au...
0 Reactions
0 Replies
241 Views
Habari zenu wadau wenye akili nyingi. Hata msipoitikia me nazama kwenye swali moja kwa moja. Ni hivi kwann mkoa wa pwani wenye wilaya kadhaa kama Kisarawe, Mkuranga, Bagamoyo,kibaha na rufiji...
5 Reactions
38 Replies
4K Views
Wakazi wa Wilaya ya Kahama kata ya Majengo, ni wiki ya pili sasa kaya zaidi ya 400 hazina huduma ya maji kutokana na mgomo wa wafanyakazi, wakidai malimbikizo ya mishahara kwa mkandarasi...
1 Reactions
3 Replies
260 Views
Habari zenu wanajukwaa,nna mpango wa kwenda Mauritius kusaka life, naomba wenyeji wa huko mnipe habari mbali mbali zinazohusiana na nchi hiyo hasa katika masuala ya uchumi- ajira na biashara na...
6 Reactions
27 Replies
4K Views
Mambo vipi Wana jamii? Iko hivi kutokana na ubishani unaoendelea juu ya usalama wa raia na mali zake jeshi la polisi limeweza kuonesha uzaifu mkubwa sana wa kulinda raia na mali zao hivyo basi...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Back
Top Bottom