Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Naam, kama kichwa cha habari kisemavyo kumetokea ongezeko la vitu feki bongo. Katika harakati kukimbia matumizi ya mkaa kuchemsha nyama nikasema nipite Sinza kuchukua multicooker kwa yule mdada...
14 Reactions
39 Replies
2K Views
Hii ni Post ya kuomba UELEWA. Kuna Mahali nilikua nimekaa na Wadau zikaanza story hapa na pale, Kuna jamaa akasema Polisi hasa wa rank ndogo na hawa akina kajamba nani HAWANA ajira za kudumu Hadi...
14 Reactions
68 Replies
8K Views
Prof.Janabi amesema umri huo wanawake wengi Huwa heshima inakata na kuacha kutoka Kwa sababu hormone ya testorine inakuwa imeisha hivyo huwapelekea kuwa na kisirani na wanaume pasikujua husema...
13 Reactions
83 Replies
4K Views
Hoja 3 zilizowekwa kwenye barua ya kufungwa kwa Huduma ya Kiboko ya Wachawi ni hoja mfu. Binafsi nachukia na kupata hasira ninapoona mtu anafanya kazi ya Kristo kwa kuwalipisha watu Senti...
4 Reactions
16 Replies
691 Views
Fredick Sumaye aliyekuwa waziri mkuu wa Mkapa aliwahi kusema. Ukitaka mambo yako yanyooke jiunge na CCM. Je, kiboko ya wachawi hakuzingatia huu ushauri? Pamoja na sababu zote zitakazosemwa ku...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameielekeza Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kuendelea kutoa kipaumbele kwa Wakandarasi Wazawa katika...
3 Reactions
6 Replies
566 Views
Wadau ni balaa sasa, Taa zinazofungwa kwa sasa kuanzia Barabara ya Gerezani, Sokoine Drive na Kilwa Road sio za kawaida. Ni nyingi kupita maelezo, nauliza tu aliyefanya Tathmini ya kuweka hizi...
19 Reactions
129 Replies
3K Views
Nilimchukia magu pia nilimpenda kwa mazuri yake pia, kwa sasa mkoa nilipo zaidi naona wakirekebisha zile mbovu tu Ila mpya zinazoanza kujengwa Hanna lakini kipindi cha nyuma ukikatiza kilometer...
4 Reactions
12 Replies
380 Views
Hii hali sio maramoja imekuwa ikinitokea Mara kadha ya kusahau vitu sasa leo nikaenda mgahawani kula baada ya kumaliza kula nikarudi zangu ofisini na mguu. Baada ya kufika ofisini ndo nagundua...
14 Reactions
35 Replies
664 Views
(....Usipite bila Kusoma......) 1: Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini. 2: kama ulifikiri msitu huu unapatikana Brazil pekee jibu ni hapana msitu huu...
19 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari za mida hii ndugu wananchi, kifupi mimi siyo mtaalamu wa wanyama ila ni mpenzi na mfuatiliaji wa masuala ya wanyama na makala zao kupitia TV na mitandao. Nimetembea mikoa karibu yote...
24 Reactions
208 Replies
11K Views
Ikiwa bado hata nusu mwaka wa kalenda 2024 hatujafika na Hata darasa la 7 hawajafanya mitihani. Tayari shule kadhaa binafsi zimeanza kukusanya Ada kwa ajili ya wanafunzi wa Kidato cha 1 mwakani...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Majority ya walimu kazi yao haina madili,no connections no gape ya upigaji pesa ni wao chaki, Na mshahara wao kiduchu. Maisha ya kuridhika na kidogo chao ndo furaha yao hawakat tamaa wanapiga...
0 Reactions
1 Replies
223 Views
Habari wakuu? Iko hivi kwa ufupi, Mimi sio muandishi mzuri Kuna saloon napenda kunyoa pande flani za Sakina Arusha(nimetaja jina Ili kama kuna Wana JF walioona wajazie nyama) Pale saloon tulikua...
10 Reactions
47 Replies
2K Views
Naomba tujadili UBABAISHAJI wa NSSF. Mtu umefanya kazi alafu unalazimishwa kuwekewa akiba. Siku mkataba wa azi ukiisha, tunaandika barua ya maombi ya pesa zako zilizopo kwenye mfuko wa NSSF. Hao...
5 Reactions
9 Replies
765 Views
YAH. KUIUA NA KUIFUTA KATIKA KAZI ZANGU KAMPUNI YANGU YA MUSICPRESS Nimefuta(edit) na kuondoa kabisa logo na jina MUSICPRESS katika Nyimbo zangu zote audio na video na pia nimefuta na kuondoa...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Huwa naona michezo ya mpira wa miguu ya timu za wanawake na ngumi inayohusisha wanawake kama haina mvuto mkubwa sana kwa watu wengi. Hili suala lisichukuliwe kama ni ubaguzi wa kijinsia kwa...
3 Reactions
20 Replies
571 Views
Wakuu, Dodoma huko mambo ni moto. Kura wamemaliza kupiga saa 8 lakini mpaka sasa matokeo hola. Kura zenyewe ziko elf 2 tu, nini kinawafanya wachukue muda mrefu hivyo? Unaambiwa mpaka polisi wa...
4 Reactions
39 Replies
2K Views
Wakili wa Kujitegemea Maria amefariki ghafla akiwa ukumbi wa mikutano huko Dodoma kwenye vikao vya mawakili. Inasemekana ni shambulio la moyo, heart attack lililoshahihishwa na presha ya kushuka...
16 Reactions
56 Replies
5K Views
Daah sijui kwanini vibaka wa stendi ya Magufuli wanapenda kunionea hivi yaani hii ni mara ya tatu kunifanyia hivi wakuu yaani pamoja na kuwa kwenye gari langu la IST na pamoja na kulock mlango wa...
8 Reactions
81 Replies
2K Views
Back
Top Bottom