Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mimi ni mwanachama wa NSSF ninayehitaji kujiunga na NSSF APP tatizo namba zangu wanasema hazihusiani na kadi je nifanyaje? Kingine naweza fanya kazi nje ya nchi na kuweza kuendelea kuchangia?
1 Reactions
2 Replies
292 Views
Habari wakuu, Kama unatumia Twitter (X) au facebook basi lazima utakuwa umewahi kukutana na post za madaktari wakiuza dawa za mitishamba na lishe zinazotibu matatizo ya nguvu za kiume au vidonda...
3 Reactions
10 Replies
530 Views
Tatizo ni mahali nilipo mnara wa Airtel unasumbua au wa Voda au nini? Mitandao mingine tunasikilizana vizuri.. Msaada
1 Reactions
1 Replies
137 Views
Jana dakika zangu za wiki zilikuwa ndo zinaishia meseji ikaingia kwamba kifurushi kitajinunua chenyewe wakati sio makubaliano yetu tabia ya hovyo. nitawapeleka mahakamani
1 Reactions
7 Replies
285 Views
Kwema Wakuu! Nimetulia zangu na-enjoy zangu, Kwa Raha zangu naburudika na Mashindano ya Olimpiki Paris 2024 yanayofanyika huko Ufaransa. Nafurahi zangu lakini ghafla nagundua kuna Jambo halipo...
6 Reactions
33 Replies
889 Views
Anasema, Ardhi hii ilikuwa yetu na Milele Daima, itakuwa yetu !!. Salaam alaikum, Kichapo kitaendelea tu, hamna namna !!. Israel ni Uthibitisho na Kielelezo cha kuwa MUNGU YUPO NA NDIO...
28 Reactions
122 Replies
4K Views
Taarifa za uhakika ni kwamba Kakimbia nchini baada ya kuambiwa kuwa angeweza Kukamatwa hasa baada ya baadhi ya Waumini waliokuwa Wakisali pale Kwake kulalamika kuwa Wametapeliwa nae sana huku...
31 Reactions
123 Replies
6K Views
Kwanza hujazana kwa wingi Kituoni iwe Mwenge Tazara,Mwananchi Relini Tabata Baracuda,Segerea,Temeke,Mtoni Madafu Chanika,Mbande na kwingineko ambako ni rahisi kusimamisha daladala Na wanakuwa...
7 Reactions
16 Replies
881 Views
Mojawapo ya ajira ndani ya jiji lolote ni udereva... Udereva wa mashine mbalimbali, udereva wa magari makubwa na madogo na udereva wa mabosi Ukiachana na kigezo cha leseni vigezo vingine...
26 Reactions
89 Replies
14K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (MB) kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu cha 6(2)(a-g) cha Amri ya Uanzishwaji wa Bodi ya Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kufuatia Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kudaiwa kuviondoa kwenye orodha vituo vya kupigia kura vilivyokuwa kwenye Tarafa ya Ngorongoro na kupelekea hali ya sintofahamu kwa wakazi wa maeneo...
0 Reactions
4 Replies
468 Views
Nauliza tu hii taaluma nyeti ya Uchumi hainaga Chama Cha Wanataaluma wake au Bodi? Ni hilo tu 🐼
0 Reactions
0 Replies
131 Views
Habari.. Ninaomba msaada wa kupata Baruapepe (E-mail) binafsi ya Katibu Mkuu Utumishi, Bwana Juma Mkomi.. Asanteni
1 Reactions
8 Replies
778 Views
Kiboko ya Wachawi amesema alipewa saa 24 kuondoka nchini na kumwacha mkewe na Watoto wawili pamoja na maelfu ya Waumini wake Kiboko ya Wachawi amemuomba Mpendwa Wetu mh Rais Samia aingilie Kati...
10 Reactions
49 Replies
2K Views
Serikali inapenda kusikia sisi vijana tunawaza nini ili watusaidie! Siyo kila wakati ni wa kulaumu laumu tu! Wakati mwingine tupeleke maoni yetu kwenye mamlaka za serikali kama vijana! Ukipita...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Kuna jamaa aliandika uzi wake unaohusiana na migogoro/vita ulimwenguni na kusema kuwa yupo tayari kujibu maswali yote yanayohusiana na vita ulimwenguni. Lahaullah Walakuwata! Wakatokea vijana na...
5 Reactions
20 Replies
410 Views
Hii itakuongezea maarifa, ukiota ujue nini ulichokiota, na maana yake, na namna utakavyoingia kwenye maombi juu ya hiyo ndoto. 1.WANYAMA:Kuota unakimbizwa na wanyama wakali inaasshiria...
4 Reactions
15 Replies
24K Views
Nimelinganisha salary slip za watu wawili tofauti, mmoja ana basic salari sh 2100000 analipa Kodi sh 412000, na mwingine basic salary sh 1100000 analipa Kodi sh 101000. Je, Kodi hizi zina uwiano...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu. Kuna mambo Huwa nashindwa kuyaelewa. Watanzania tumekuwa na kasumba za ajabu, Umaskini wa baadhi umetufanya tuwe na roho mbaya, chuki, husda Kwa waliofanikiwa bila hata...
1 Reactions
10 Replies
527 Views
Huyu nadhani kwa dua hii zile bikra 72 ni zake. Haiwezan ma elfu haya yamuombee na asiende mbinguni
0 Reactions
16 Replies
476 Views
Back
Top Bottom