Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
TAARIFA KWA UMMA ZOEZI LA UHAKIKI WA VYETI VYA VIZAZI NA VIFO VYA WANAFUNZI WANAOOMBΑ ΜΙΚΟΡΟ YA ELIMU Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umepokea jumla ya maombi uhakiki 143,157 ambapo...
0 Reactions
1 Replies
553 Views
Msanii wa vichekesho bwana Steve Nyerere amewataka wasanii wenzake waelewe kuwa ujanja hapa mjini ni nyumba itakayokusitiri mpaka uzeeni na siyo bia na wanawake watakao kutosa na kukukimbia kabisa...
6 Reactions
50 Replies
5K Views
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Tanga, imetoa uamuzi Mdogo Katika Shauri la Maombi ya Jinai katı ya Kombo Twaha Mbwana dhidi ya Kamisha wa Polisi Mkoa(RPC) Tanga, Inspekta Generali wa...
1 Reactions
1 Replies
219 Views
Nilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii: https://www.jamiiforums.com/threads/bonus-orodha-ya-full-funded-scholarship-za-kumalizia-mwaka.2170915/...
6 Reactions
15 Replies
502 Views
Hawa watu wa vivukoni ni bora wafurushwe wote kuanzia anaesafisha vyoo hadi wasimamizi!! Hii ni total failure, vivuko vyote vimeharibiwa kimebaki kimoja mara kwa mara kinazimika njiani...
10 Reactions
59 Replies
923 Views
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Daniel Sillo amesema Serikali iko mbioni kufunga mitambo ya camera za uchunguzi takribani 6500 kwa kuanzia na Majiji makuu manne ili kupunguza uhalifu na...
0 Reactions
0 Replies
228 Views
Huyu jamaa alikwenda kwa lulenge aakamsfia na makofi kibao kanisani Gafla kamkaqta naabii mwenzie anasema asiengeweza kuendelea na mahubiri kama yale ya kishenzii...
0 Reactions
2 Replies
243 Views
Katika biashara yapo mambo yanayofanywa na wafanyabiashara ili kuwavuta wateja ambayo ukisimuliwa unaweza kufikiri ni utani ama story za vijiweni. Miongoni mwa mambo hayo ni matumizi ya koromeo...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, natumai mko salama kabisa, siku za hivi nyuma kuna jambo nilikutana nalo mpaka nikajikuta naingiwa na huruma juu yule mtu pamoja na maisha yangu. Nilikutana na baba mmoja wa...
10 Reactions
22 Replies
859 Views
1.Urahisi wa Kutupa: Wavutaji wengi wa sigara hawana mahali maalum pa kutupa vipande hivyo baada ya kuvuta, hivyo wanavitupa ovyo ovyo. 2.Ukosefu wa Uhamasishaji: Watu wengi hawajui madhara ya...
0 Reactions
0 Replies
156 Views
MBUNGE CHRISTINA MNZAVA AGAWA VIFAA VYA MICHEZO KWA WANAFUNZI SHINYANGA VIJIJINI Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Dkt. Christina Christopher Mnzava amegawa vifaa vya michezo kwa...
1 Reactions
2 Replies
256 Views
S/N 1/3 Historia ya Somalia. Kuliangalia hili Somalia imepata uhuru mwaka 1960 Kenya imepata uhuru mwaka 1963 Djibuit imepata uhuru mwaka 1977 Ethiopia haikutawaliwa isipokua sehemu ya...
3 Reactions
26 Replies
808 Views
BURUNDI NA RWANDA Hizi ni nchi mbili tofauti ambazo zipo ukanda wa maziwa makuu.Pamoja na kua ni nchi mbili tofauti bado zimeundwa na makabila mamoja kwa kiasi kikubwa . Makabila matatu makuu...
2 Reactions
13 Replies
902 Views
Uongozi wa TRA pamoja na mamlaka zingine ziwe makini sana na baadhi ya wafanyabiashara/wasafirishaji wa mabasi na malori ya mizigo wanaweza kuhujumu usafiri mpya ulio zinduliwa wa treni ya kisasa...
1 Reactions
4 Replies
458 Views
Mimi kama kijana mdogo wa miaka 29 maana uzee uanza 45 years, napenda kupendeza sana na uhandsome wa mwanaume ni kunyoa. Story inaanza nimeamka Jumamosi flani mapema nikaenda jumuiya na nikafanya...
61 Reactions
209 Replies
42K Views
Anonymous (1ea2)
kumetokea vunja vunja barabarani kisiwani Zanzibar na kwa mujibu wa maelekezo ni kuwa manispaa walitakiwa waondoe vimeza vilivyopo nje tu ya maduka au katika maeneo ya umma. Lakini wao kwa...
0 Reactions
1 Replies
127 Views
Anonymous (ff39)
Nipo mkoa wa Rukwa wilaya ya Nkasi kijiji cha Korongwe. Leo asubuhi kumezuka taharuki kijijini hapa KORONGWE iliyotokana na kuwepo kwa watu wanaojitambulisha kuwa ni maafisa biashara kutoka...
0 Reactions
1 Replies
159 Views
Mbunge wa Moshi Vijijini Profesa Ndakidemi. Ni mbunge anaesakamwa na watu wasiomtakia mwema kuanzia kwenye chama chake mpaka kwa wapiga kura. Chuki hizo zinakolezwa na wasaka ubunge kwenye jimbo...
2 Reactions
2 Replies
379 Views
Ukikaa ukatafakari utaona watu mlio sawa nao umri wamefanikiwa na hata uliowazidi kiumri wamefanikiwa kimaisha kuliko hata wewe. Hapo sasa homa ya mafanikuo inapanda na kuanza kufanya vitu...
1 Reactions
0 Replies
112 Views
Back
Top Bottom