International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Rais wa Marekani, Donald Trump amehutubia Congress na amesema Rais wa Ukraine, Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy amemuandikia barua na kukubali kurudi kwenye meza ya mazungumzo kuhusu kusaini...
5 Reactions
16 Replies
715 Views
04 March 2025 Kigali, Rwanda Marekani yamfukuza mfungwa wa Mauaji ya Kimbari ya Rwanda Ahmed Napoleon Mbonyunkiza 2025-03-04 Mamlaka ya Kitaifa ya Mashtaka ya Umma (NPPA) nchini Rwanda mnamo...
2 Reactions
9 Replies
527 Views
Nilikuwa namsikiliza new German chancellor akizungumza baada ya kuchaguliwa alisema "It's high time european nations should get indepence from us" Najiuliza. Je, wataweza?
2 Reactions
9 Replies
316 Views
UTANGULIZI: Mwaka 2003 Marekani ilivamia Iraq kimabavu na kumuondoa raisi wa nchi hiyo. Mataifa mengi ya Ulaya yalimuunga mkono Marekani kwamba anapambana na serikali dhalimu inayohifadhi magaidi...
14 Reactions
41 Replies
1K Views
In the quiet village of Kibaya, within the sprawling plains of Kiteto District, a young girl named Asha Gitani Benard once sat in her school uniform, full of dreams and ambition. As a member of...
0 Reactions
0 Replies
64 Views
Baada yakusitisha kwa mwezi mmoja, Trump kasema Canada na Mexico hawajafanya lolote kuboresha hali ya mipakani. Basi ushuru wa 25 percent kwa bidhaa kutoka Canada na Mexico umeanza kufanya kazi...
3 Reactions
16 Replies
535 Views
Polisi wa Kiislamu katika jimbo la Kano, kaskazini mwa Nigeria wamewakamata Waislamu 20 waliokutwa wakila mchana hadharani wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambapo pia Watu watano wamekamatwa...
1 Reactions
21 Replies
567 Views
Kati wa watu wanaothamini sana uhai wa watu wao hapa duniani ni Israel. Ikitokea raia wa Israel au Mwanajeshi wa Israel amefariki kwenye mapigano au tukio lolote lile la Kigaidi haijalishi...
11 Reactions
44 Replies
1K Views
Rais Donald Trump ameagiza kusitishwa kwa usafirishaji wa msaada wa kijeshi wa Marekani kwa Ukraine baada ya mvutano mkali kati yake na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, wiki iliyopita katika...
17 Reactions
149 Replies
5K Views
Mheshimiwa Mélanie Joly, Waziri wa Mambo ya Nje; Mheshimiwa Ahmed Hussen, Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa; na Mheshimiwa Mary Ng, Waziri wa Ukuzaji wa Mauzo ya Nje, Biashara ya Kimataifa na...
1 Reactions
7 Replies
115 Views
Kiongozi wa kijeshi wa Gabon, Jenerali Brice Oligui Nguema, ametangazia nia yake ya kugombea urais katika uchaguzi ujao wa mwezi ujao (April, 2025). Nguema alishika madaraka mwaka 2023 kupitia...
0 Reactions
10 Replies
272 Views
Umoja wa Mataifa(UN) yamfukuza Nderitu(Faizafoxy wa Kenya) kwa kukataa kuainisha tabia ya Israel huko Gaza kama 'mauaji ya halaiki,' WSJ inahoji. Upinzani wa Nderitu kutaja vitendo vya Israel...
3 Reactions
18 Replies
936 Views
Ungana nasi kwa kutazama video hii kufuatilia mguu kwa mguu toka wakiwasili jijini Sao Paolo Brazil wakijifanya raia wa Angola ktk utalii Brazil kisha wanaanza safari kwenda Canada. Safari hii ya...
21 Reactions
145 Replies
26K Views
Israel ni taifa lenye usiri na utata mkubwa,kutoka kwenye kuanzishwa kwake,watu waliolikaa zamani na wanaolikalia kwa sasa.Historia inatuambia kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,lakini...
13 Reactions
129 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema mgongano wake na Rais wa Marekani Donald Trump wiki iliyopita ulikuwa wa "majuto," kwamba yuko tayari kufanya kazi chini ya...
2 Reactions
13 Replies
627 Views
Wanaukumbi. Mkutano Mkuu wa Nchi za Kiarabu kuijenga upya Gaza. Mfalme wa Saudi Arabia amezitaka Misri, Jordan na Qatar kuunganisha nguvu katika kulaani ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel...
0 Reactions
4 Replies
157 Views
Jeshi la M23(siliiti kundi tena, kwa walivyofanya, wana hadhi ya kuitwa wanajeshi), huko Kivu kusini, limezitaka taasisi zote za kiserikali kuendelea kutoa huduma kama kawaida. Kuna taasisi...
1 Reactions
25 Replies
687 Views
Pesa ya kujenga nchi waliyoiharibu wenyewe hawana ila ya kurusha makombora kwenda Israel na USA wanayo. MATAPELI! ============= Wizara ya Mambo ya Nje siku ya Jumanne ilirejesha tena hadhi ya...
1 Reactions
0 Replies
100 Views
Uongozi wa jimbo la Beni, umetaarifiwa na serikali ya rais wa DRC Tshisekedi, kutotambua bidhaa kutoka mji wa Goma, kwa njia ya ardhi au ya anga, maeneo ya Bunagana na Ishasha, maeneo...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
kampuni ya utengenezaji wa semiconductor ya Taiwan TSMC imetangaza kuwekeza dola bilioni 100 (shilingi trilioni 260) kujenga viwanda vya kutengeneza semiconductor nchini Marekani. Taiwan imekuwa...
2 Reactions
21 Replies
683 Views
Back
Top Bottom