International Forum

News and Stories from rest of the World
Inaripotiwa chama tawala cha BDP chini ya Rais Masisi nchini Botswana kimepoteza madaraka kwa Upinzani katika uchaguzi mkuu nchini humo na hatimaye kuhitimisha utawala wake wa miaka takribani 60...
20 Reactions
121 Replies
3K Views
JESHI la Israel limemuua kiongozi mwingine wa kikosi maalum cha kundi la Hezbollah, Mustafa Ahmad Shahadi katika shambulizi lililofanywa eneo la Nabatieh kusini mwa Lebanon. Taarifa ya jeshi la...
6 Reactions
34 Replies
1K Views
Hello naitwa Agnes mkazi wa Dar-es-Salaam ubungo natafuta kazi ya customer services
0 Reactions
0 Replies
125 Views
Jina lake kamili ni Olukemi Olufunto Adegoke; alizaliwa Uingereza (Jan 2, 1980)na Wazazi wake ambao ni Wanaigeria wakiwa Uingereza walikoishi kwa muda mfupi. Jina la Badenock ni la Ukoo wa Mumewe...
0 Reactions
1 Replies
155 Views
Mwaka 1947 umoja wa mataifa uliweka mipaka kati ya waarabu na wayahudi. upande wa waarabu ukaitwa Palestina kwa mara ya kwanza (jina walilopewa waarabu enzi warima wakkitawala Israel), upande wa...
4 Reactions
44 Replies
2K Views
‼️ S-500 Anti-aircraft Reach Russia has deployed S-500 air defense systems in Crimea. Here are some basic specifications to consider in relation to the S-500: The S-500 has a 600km range in an...
16 Reactions
24 Replies
1K Views
Ifike mahali wakataliwe na Kila jamii na Dini zote wanasababisha miji mizuri Kama kuharibiwa Labda MTU mwenye Sababu zenye akili za Hizbola kushambulia Israel azieleze hapa Pia mwenye sababu za...
9 Reactions
277 Replies
5K Views
Wajuzi T14 Armata 100 others and 100 others ILAN RAMON Mtu asiyejulikana, anayeaminika kuwa mpelelezi kutoka nchi ya kigeni, anatuhumiwa kwa kuendesha operesheni ya upelelezi inayolenga kambi za...
9 Reactions
30 Replies
2K Views
Wakuu jana jioni nimecheka sana. Yule jamaa aliyeongoza jopo la watu walionisomea Albadiri iliyogonga mwamba (Wameahidi leo saa 10 watanisomea Albadiri. Ninasubiri kwa hamu kubwa sana) jana kaja...
18 Reactions
23 Replies
1K Views
Mayahudi hawajaacha kuua maarabu. Kamanda mwingine Mkubwa wa Hezbollah leo hii amewahi kwenda ku enjoy. Apewe haki yake asipunjwe hata kidogo.
11 Reactions
45 Replies
2K Views
Wanaukumbi. BREAKING: Jeshi la Israel limetangaza MWISHO wa mashambulizi yake ya ardhini nchini Lebanon, kukamilika ndani ya wiki 1 hadi 2, baada ya hasara kubwa. Huku ni kushindwa kwa aibu...
12 Reactions
111 Replies
3K Views
Wanadai Iran ndo ilishambulia makazi ya Netanyahu Weledi wa mambo tunafahamu ukweli kuwa ile operesheni yao kuishambulia Iran ilifeli so wanataka kurudia upya!! Wakati huo huo Iran imetangaza...
24 Reactions
178 Replies
7K Views
Basi bwana, nilikuwa kwenye pati after pati. Kitu cha Halloween na wazee wa ... Jamaa wanaiheshimu sana sikukuu yao.
1 Reactions
2 Replies
202 Views
Operesheni True Promise 3 inakuja Safari hii wazayuni wakimbie nchi tu maana Iran inaenda kufanya jambo zito Hawa Wairan ni vichaa ile Sera ya Israel ya ukiua mwisrael mmoja kwenu wanakufa watu...
4 Reactions
13 Replies
787 Views
Utangulizi Za leo wana JF. Kama kawaida yangu katika kuelisha watanzania ili waweze kuijua kweli. Matishio haya na uvumbuzi wa hizi silaha za maangamizi hayana nia njema katika dunia yetu hii...
2 Reactions
14 Replies
801 Views
Ni habari yenye kuhuzunisha masaa kadhaa yaliyopita Boeing Starliner imeshindwa kuwarudisha duniani wanaanga wawili waliopelekwa kwenye Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu, International Space...
23 Reactions
121 Replies
4K Views
Serikali ya Kisiwa cha Mauritius imezuia upatikanaji wa Mitandao ya Kijamii kuanzia leo Ijumaa, Novemba mosi hadi Novemba 11, 2024 Siku chache kabla ya Uchaguzi Mkuu Taarifa iliyotolewa na...
0 Reactions
3 Replies
488 Views
Kampuni ya Google imepigwa faini ya rubles bilioni 2 (takriban $2.5 decillion) nchini Urusi kwa kukataa kufungua akaunti za pro-Kremlin na vyombo vya habari vya serikali, kama ilivyoripotiwa na...
8 Reactions
60 Replies
5K Views
Zaidi ya wanajeshi 40 wa Chad wameuawa baada ya kituo chao kuvamiwa Jumapili jioni, ikulu ya Chad imesema. Rais Mahamat Déby ameagiza operesheni ya kufuatilia wahusika, kwa mujibu wa taarifa...
5 Reactions
75 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo: Times of Israel: November 1, 2024 Germany urges citizens to leave Iran due to risk of hostage taking By Reuters Today, 1:10 pm...
2 Reactions
14 Replies
798 Views
Back
Top Bottom