International Forum

News and Stories from rest of the World
https://x.com/MattWallace888/status/1845662189257895977
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Masaa yanakaribia, Itakuaje Iran wakitumia makombora ya hypersonic kumbuka lile Kombora sifa yake huwa halitunguliki yana Speed kuliko sauti. Maana nimeona Israel anavyohaha kuweka raia kwenye...
6 Reactions
40 Replies
2K Views
China imewawekea vikwazo maafisa hao ikiwemo marufuku ya kuingia China na maeneo ya Hong Kong na Macau, na kuzuiwa kufanya kazi na maafisa wa China, kwa madai ya kuunga mkono uhuru wa kisiwa hicho...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Mambo bado mazito huku maandalizi mazito yanazidi kufanywa. Jeshi la Marekani limeamua kufunga mitambo ya kisasa kabisa ya ulinzi dhidi ya makombora ya masafa marefu huko...
9 Reactions
141 Replies
5K Views
Hivi majuzi, Klabu ya Magari ya Ujerumani ADAC ilitoa ripoti ya utafiti ikionyesha kuwa karibu 60% ya watu waliohojiwa wa Ujerumani wanafikiria kununua magari ya chapa ya China, huku asilimia 72...
1 Reactions
2 Replies
323 Views
  • Closed
Taarifa hii mpaka sasa haijathibitishwa lakini vyanzo mbalimbali vinaripoti kuwa Bwana Harlevi alikuwa ndio target katika chakula cha usiku na askari wa IDF huko katika mji wa Haifa nchini Israel...
28 Reactions
239 Replies
14K Views
Mr. Netanyahu is above every international regulations, agreements, orders and organizations, including his Big Brother who keeps on loosing control of him. Currently, there is no organ in the...
6 Reactions
26 Replies
911 Views
At least 17 dead, 51+ injured IDF soldiers, in drone attacks against IDF Hal Turner World October 13, 2024 At least seventeen (17) Israeli soldiers are DEAD and at least fifty-one (51) INJURED...
1 Reactions
23 Replies
802 Views
Kweli vita sio manguvu Ila ni akili alizokujalia Mwenyenzi Mungu unavyozitumia. Kuna tofauti kubwa ya MTU anayegundua Tech mpya na anayesubiri auziwe Tech mpya. Kuna Tofauti ya MTU anayetumia...
11 Reactions
43 Replies
2K Views
Hii ndo Radar ghali zaidi duniani gharama zake ni zaidi ya Trilioni 2 za kitanzania!! Israel walipewa na US na ikachukua miaka kuinstall pale Lakini Iran waliilipua kwa sekunde 10 tu New and...
14 Reactions
66 Replies
3K Views
Ndio maana ninakataa siku zote kwamba hizi sio dini ila ni utamaduni tu wa watu kwani kama ingelikuwa ni dini basi mambo ya kipumbavu kama haya yasingekuwepo. Endelea kusoma.👇 Wakristo wa...
5 Reactions
53 Replies
2K Views
Wale wamba wanaojinasibisha na uislam ilhali mate do yao siyo, wanajipanga kumuondoa madarani Assad Jamaa hao ambao waumiapo huenda kutibiwa Israel, wameonekana kuwa na morali safari hii Syria ni...
5 Reactions
33 Replies
1K Views
Niaje waungwana, Waungwana najua wengi humu mnashauku kubwa sana ya kutaka kujua ni kwanini Israel mpaka leo tar 10/10 haijaishambulia Iran, licha ya kusema na kuapa kuwa itaishambulia na...
25 Reactions
114 Replies
4K Views
Wadau hamjamboni nyote? Jeshi la Israel laagiza kuwa wakazi wa vijiji 22 vilivyoko kusini mwa Lebanon kuondoka kwenye makazi yao mara moja na kamwe wasithubutu kurejea huko kwa Usalama wao Kazi...
5 Reactions
60 Replies
1K Views
Wayahudi ni jamii iliyopigana vita vingi kuliko jamii yoyote. Kabla ya Masiha, Wayahudi walitumia vita kama uthibitisho wa Mungu kuwa pamoja nao. Walipotenda sawa na mapenzi ya Mungu, waliwapiga...
37 Reactions
129 Replies
6K Views
Wadau hamjamboni nyote? Rais wa Marekani joe Biden amesema kuwa siku ya leo hakutakuwa na kitu chochote kitakachotokea Iran ______ Biden says ‘nothing going to happen today’ in Iran WASHINGTON...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Hii ni kali ya mwaka jamaa kasema US wanastahili kuvuna wanachopanda kwasababu hawaitii Israel ipasavyo Israeli Rabbi Yosef Mizrachi Claims Americans Deserve To Be Devastated By Hurricanes &...
3 Reactions
11 Replies
358 Views
Siku hiyo Iran ilijipanga, kwanza ilitandika radar moja muhimu ya Israel, kisha ikashusha vimondo kama vyote. cheki hii https://www.youtube.com/watch?v=iWbgFgHgaT4&ab_channel=HindustanTimes
1 Reactions
1 Replies
286 Views
Oct, 11, 2024 "Tunalazimika kupunguza idadi ya wafanyakazi wetu ili kuendana na uhalisi wa hali yetu ya kifedha." —Kelly Ortberg (Boeing CEO) Wafanyakazi watakaopunguzwa ni 17,000 ambayo ni...
8 Reactions
67 Replies
2K Views
Hawa wakimbizi wa Kiarabu pande za Lebanon na Gaza ni tofauti kidogo na hawa wa kwetu huku Congo. Hawa waarabu wanaonekana kila siku wanaoga, nguo safi na wanaonekana wanakula kila siku...
1 Reactions
3 Replies
392 Views
Back
Top Bottom