International Forum

News and Stories from rest of the World
Hayati Alex Salmond alikuwa Waziri Mkuu wa Scotland na aliongoza kura ya maoni ya kutaka Scotland Ijitenge, kisha akawa muongoza mada kati Televisheni ya Urusi Leo / Russia Today(RT) hadi February...
2 Reactions
14 Replies
791 Views
Joseph Malinowski almaarufu kama 'Lieutenant Dan' amejikuta akitrend toka jana katika mitandao ya kijamii haswa Tik tok na X baada ya kukataa kuondoshwa katika kijiboti chake na askari polisi ili...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Kuna taarifa kuwa wapiganaji 250000 kutoka Iraq watajiunga na vita vya Lebanon!! Hii vita ya Israel na Hezbollah itakua mbaya sana, na italeta hasara kubwa sana Lebanon sio Gaza uweke siege, na...
6 Reactions
78 Replies
2K Views
Mamlaka ya reli nchini Misri imesema mabehewa mawili ya reli yalianguka kwenye mkondo wa maji ulio karibu kufuatia ajali hiyo. Treni moja iligongana na mkia wa treni ya abiria iliyokuwa...
0 Reactions
2 Replies
189 Views
Kadyrov Threatens Senator and Two Deputies: A New Twist in the Wild berries Case The Russian business world has once again been thrown into the spotlight due to an escalating scandal involving the...
1 Reactions
3 Replies
708 Views
Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilisema jana Jumatano kwamba Hezbollah bado iko imara na haijapoteza uimara wake kwenye uongozi licha ya mashambulizi ya Israel, ambayo Moscow ilisema yana lengo la...
13 Reactions
51 Replies
3K Views
Haya haya nukuletea hapa nchi kubwa au maarufu duniani wenda ulikuwa hufahamu kuwa vyeo vyao vya Urais ni kama bosheni tu havina mamlaka makubwa kulinganisha na vyeo vingine. No.1 China Tuanze na...
9 Reactions
43 Replies
4K Views
Hapo jana Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel amemlalamikia raisi Biden wa Marekani kwamba amezuia shehena ya silaha tangu mwezi Mei na hiyo ndiyo sababu ya kudorora kuipiga Rafah ili kufikia...
7 Reactions
20 Replies
979 Views
Wadau hamjamboni nyote? Serikali ya Israel yazidi kutengwa kimataifa Serikali Nicaragua inayoongozwa na Rais mhafidhina Daniel Ortega imetangaza kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na Israel...
1 Reactions
20 Replies
851 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kumekucha. Waziri Mkuu Benjamin Netanyau atembelea mpaka wa Israel na Lebanon Asema ulimwengu wote umevutiwa na kushangazwa na uwezo mkubwa ulionyeshwa na IDF katika...
10 Reactions
43 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Taarifa mpya za Msemaji wa Hezbollah Kwamba wao kipaumbele ni kuishinda Israel kijeshi japo wanakaribisha kwa mikono miwili juhudi zote za ndani na nje ya nchi kusitisha...
6 Reactions
42 Replies
1K Views
Dogo alisomea ukulima pale Morogoro kisha akapata fursa ya kwenda kuongeza elimu na maarifa Israel, yeye ndiye mtoto wa kwanza kwenye familia yenye watoto watano, ndoto yake ilikua akirudi...
5 Reactions
69 Replies
6K Views
Kwa lugha nyepesi ni kwamba misaada, watu na vinginevyo haviwezi kuingia moja kwa moja Gaza mpakani Rafah bila ukaguzi na idhini ya Israel. Jeshi la Israel limechukua udhibiti wa mpaka wa Rafah...
10 Reactions
79 Replies
5K Views
Pamoja na mambo mengi mengine, Kinjeketile Ngalwe ni Kiongozi anayekumbukwa sana kwa kuongoza na kuhamasisha majeshi yake kupigana vita bila kuogopa na kuwaaminisha kuwa kamwe, risasi za Mjerumani...
4 Reactions
21 Replies
501 Views
BREAKING 🚨🚨 Hezbollah’s Desperation: Unconditional Ceasefire Plea Naim Kassem, Nasrallah’s former deputy, admitted Hezbollah’s military distress by calling for an unconditional ceasefire. He...
6 Reactions
61 Replies
3K Views
Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na...
19 Reactions
77 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Tahadhari kwa wanaotumia magari ya kubebea wagonjwa almaarufu ambulance kumbe hutumiwa na magaidi ya Hezbollah! #Times of Israel In a separate post, Adraee reiterates...
3 Reactions
2 Replies
381 Views
Wadau hamjamboni nyote? Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Herzi Halevi akiambatana na Mkuu idara ya Usalama wa ndani Shin Bet jasusi mbobezi Ronen Bar watembelea leo hii kibabe kabisa kusini mwa...
10 Reactions
59 Replies
2K Views
Jamaa kaenda na ndege yake tena Private jet na msafara wa kutosha na katua Beirut sasa Israel si walisema watalipua ndege zozote za Iran zikitua? Jamaa kaenda, katua then akaelekea huko kusini...
3 Reactions
6 Replies
499 Views
Daaaah sijawahi kuona shambulizi la kutisha kama hili tokea nazaliwa To be honestly nakiri Iran nimewavulia kofia hawa jamaa nimeamini kweli sio waarab Makombora yalorushwa ni kama 500 hivi...
5 Reactions
13 Replies
738 Views
Back
Top Bottom