UJERUMANI: Mkuu wa Kampuni Volkswagen,Matthias Mueller achunguzwa kufuatia magari yanayozalishwa na Kampuni hiyo kukwepa ukaguzi wa uchafuzi wa mazingira.
====
Frankfurt am Main (AFP) - German...
Waziri wa maswala ya Ulinzi nchini Korea Kusini amesema
kuwa mpango wa utengenezaji wa makombora wa Korea
Kaskazini unaendelea kwa kasi zaidi ya ilivyo dhaniwa. Han Min-koo pia aliliambia bunge...
Katika pitapita zangu mitandaoni nilikutana na mjadala huu enzi za utawala wa mzungu na enzi za utawala wa mtu mweusi ambao ni sasa ndani ya bara la AFRICA UPI BORA AU UNA UNAFUU...
MALTA: Waziri Mkuu Joseph Muscat amshitaki kwa udhalilishaji Mwanahabari Matthew Galizia aliyetoa taarifa za rushwa dhidi ya kiongozi.
Mwanahabari huyo ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya Pulitzer...
Marekani imeituhumu serikali ya Syria kwa kujenga sehemu ya kuchoma maiti katika jela ya kijeshi iliyopo karibu na Damascus ili kuficha mauaji ya halaiki ya wanaoshikiliwa na serikali.
Wizara ya...
Msichana wa miaka 10 aliyebakwa ameruhusiwa kutolewa mimba hiyo.
Madaktari nchini India walikubali ombi la msichana huyo mkazi wa jimbo la Haryana kaskazini mwa India.
Dk Ashok Chauhan aliiambia...
MEXICO: Waandishi wa Habari wameandamana wakipinga mauaji ya mwenzao aliyepigwa risasi Jumatatu, wameitaka Serikali kuchukua hatua.
Mwanahabari aliyeuawa alikuwa mstari wa mbele kuripoti matukio...
Explosive...! President Trump asked the F.B.I. director, James B. Comey, to shut down the investigation into Mr. Trump’s former national security adviser, Michael T. Flynn.
“I hope you can let...
Huku sisi tukiwa kwenye msiba mkubwa wa ajali ya Arusha kwanini huko Nigeria Ilikuwa ni siku ya furaha kubwa kwa wazazi ndugu jamaa hata marafiki baada ya serikali ya Nigeria kusalimu amri na...
KIKOSI HATARI CHA US NAVY 'SEAL' CHATUA RASMI RASI YA NORTH KOREA
Yumkini jaribio la mzee wa kiduku limeshtua sana Marekani ambapo sasa ni rasmi Kikosi hatari cha Makomandoo wa Kimarekani ambacho...
Ndege ya kwanza kubwa ya kubeba abiria iliyoundiwa China yapaa
Ndege kubwa ya kwanza ya kubeba abiria ambayo imeundiwa nchini China imekamilisha safari yake ya kwanza.
Ndege hiyo imeundwa kutoa...
Rais mpya wa Ufaransa, Emmanuel Macron siku yake ya kwanza Ofisini amemteua Ndugu Edouarde Philippe mwenye miaka 46 kuwa Waziri Mkuu mpya wa Taifa hilo.
Uteuzi huu umetoa ishara kuwa Rais Macron...
Jeshi la taifa hilo changa Afrika, linalofahamika kama Sudan People's Liberation Army, limebadili jina na kuitwa Jeshi la ulinzi la Sudan Kusini.
Sudan Kusini imechukua jina la waasi wa South...
Ni wazi kwamba suala la mapenzi ya jinsia moja limekuwa likishamiri katika dunia ya leo hasa ushoga(mapenzi kati ya mwanaume na mwanaume).
Ni dhahiri kwamba kimaadili (kiimani na kiroho) ni jambo...
Jimbo la Catalonia inapatikana kaskazini mashariki ya Spain ni moja ya jimbo ambalo linapigana kujiengua na kudai Uhuru wao.Ni miaka sasa tangu Catalonia kudai haki yao ,tukiangaazia nyuma...
Watafiti wa mambo ya kimitandao wanasema shambulio la kimitandao lililoathiri nchi zaidi ya 150 duniani linaweza kuwa lilifanywa na Pyongyang au Kuna watu wameiframe ionekane wao ndio wahusika...
CIA Establishes Korea Mission Center
May 10, 2017
The Central Intelligence Agency (CIA) has established a Korea Mission Center to harness the full resources, capabilities, and authorities of the...
DEB RIECHMANN,Associated Press 9 hours ago
Reactions
Sign in to like
Reblog on Tumblr
Share
Tweet
Email
WASHINGTON (AP) — President Donald Trump revealed highly classified...
DEB RIECHMANN,Associated Press 9 hours ago
Reactions
Sign in to like
Reblog on Tumblr
Share
Tweet
Email
WASHINGTON (AP) — President Donald Trump revealed highly classified...
Jeshi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limesema kuwa zaidi ya watu mia tano wameuawa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama na vile vinavyoipinga serikali tokea mwishoni mwa mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.