Habari za ndani kutoka White House zinadai Rais Donald Trump muda si mrefu atamteua Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Wanamaji (US Marine Corp), Randolph Alles a.k.a Tex kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama...
China imetangaza kwamba imefanikiwa kuzindua manowari yake ya kwanza ya kujiundia yenye uwezo wa kubeba ndege za kivita.
Meli hiyo ya kivita ina uzani wa tani 50,000.
Hatua hiyo inachukuliwa...
Why Netanyahu failed to mention the Iranian link to the cyberattack on Israel
Waziri Mkuu wa Israel amesema nchi yake imeshambuliwa na cyberattack mashambulizi yanayofanywa kwa njia ya computer...
Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May amesema kwamba atakua tayari kutumia silaha za nyuklia pale inapobidi.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Ulinzi wa Uingereza bwana Michael Fallon.
Bwana Fallon...
Jeremy Meeks, ambaye wakati mmoja alijizolea sifa za kuwa "mhalifu mtanashati zaidi duniani", amezuiwa kuingia Uingereza.
Mwanamitindo huyo alivuma sana mtandaoni mwaka 2014 picha yake...
Saudh Arabia kwa miaka mingi ndio taifa kubwa katika uzalishaji wa mafuta duniani. Miaka ya hivi karibuni nchi nyingi duniani zimegundulika zina hazina kubwa za mafuta duniani na hii ilipelekea...
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty limeungana na mashirika mengine yanayotaka shitaka la uhaini dhidi ya kiongozi wa upinzani nchini Zambia na wenzake watano kufutiliwa...
Marubani wanaotumia ndege za kivita za Marekani F-35 stealth fighter watakuwa wakitumia helmet ghali zani duniani.
Kupitia helmet hii, rubani ataona kila kitu cha dunia kinachoonwa na camera za...
Katika hali ya kushangaza mambo yanayoendelea nchini Congo DRC, chini ya rais Joseph Kabila ni kulichezea Kanisa Katoliki na bila kujua ni kwa namna gani linaweza kumuweka au kumwondoa mtu yeyote...
White House blocks Flynn document request
Image caption Congressman Jason Chaffetz said there could be 'repercussions' if Flynn broke the law
The White House has...
Hili swala limenisumbua mda mrefu sana, nauliza tu wajuvi wa mambo shida ni nini? Kuna ardhi wanagombania? Hau ni yale majaribio ya silaa? Kama ni silaa mbona hata wamarekani wanazo na hata...
Ni kweli kuwa uchumi wa North Korea unategemea 80% hadi 85% kutokana na kufanya biashara ya kimataifa na nchi ya China(biashara ya coal na oil) lakini hivi karibuni China amemkumbatia Trump na...
Takribani miili ya wahamiaji 16 imeokotwa katika pwani nyembamba inayotenganisha Uturuki na Kisiwa cha Ugiriki cha Lesbos.
Aidha katika miili hiyo imebainika kuwepo kwa miili ya watoto wawili...
Miner threatens to reappraise Tanzania ops
Companies | 21 April 2017
Reuters
Tanzania - Tanzanian gold producer Acacia Mining will have to review its mining operations if the government’s ban on...
Salaam
Wadau
Umoja wa kisovieti ulikua na sera za kikomunisti na kutoimarika kwa demokrasia
lakini ujio wa Rais Mikhail Gorbachev 1990-1991 ulileta kizaazaa cha anguko hilo
Mikhail Gorchachev...
Katika kusherekea siku ya kuadhimisha kuzaliwa kwa babu yake mapanki, korea imeonesha umahiri wake wa jeshi kwa parade kakamavu , pia kwa mara nyingine ndugu mapanki ameonesha submarine ambayo...
Far-right French presidential candidate Marine Le Pen has announced that she will step down as leader of her National
The move comes just a day after she reached the second round of the French...
(Zoezi la kuwahamisha Raia wa Marekani Korea ya Kusini litafanyika mwezi June, katika kuwa Tahadhali kwa Tukio lolote litakalotokea katika Peninsula ya Korea)
U.S. forces in South Korea are...
Chuo kikuu kimoja nchini Korea Kaskazini kimesema raia wa Marekani aliyekamatwa na kuzuiliwa na maafisa wa nchi hiyo Jumamosi alikuwa mhadhiri katika chuo hicho.
Wamesema jina lake ni Kim...
Korea kaskazini inaaminika kumiliki zaidi ya silaha 1000 zenye uwezo tofauti ikiwemo kombora la maasafa marefu ambalo linaweza kuishambulia Marekani.
Mpango wa Pyongyang umeendelea katika miongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.