Urusi imeto lawama kali kwa Marekani, ikisema kuwa inahusika na mambo yanyoendelea kwa sasa huko Middle East.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi, Maria Zakharova, aliita sera yawa Rais...
Wameshambuliwa na kuuwawa wairan ndani na nje ya Iran.
Wameshambuliwa na kuuwawa hadi wageni ndani ya Iran.
Katika yote mshambuliaji (Israel) anajulikana.
Muda wote yakitokea, Iran imekuwa...
Iran’s Jewish community demands revenge after Israeli assassination of Haniyeh
Saturday, 03 August 2024 10:41 AM [ Last Update: Saturday, 03 August 2024 2:56 PM ]
Rabbi Younes Hamami Lalehzar...
Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.
Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani...
Vita kwa kweli si jambo zuri na daima epuka kuwa mchokozi ili kukwepa kuingia vitani na ukiwa na nguvu usijifanye mbabe mbele ya wanaume wenzako.
Mvua ya makombora kutoka Iran hapo jana ambapo...
Somalia inapata ugumu baada ya mambo kuzidi kwenda Kombo!
Wakati wako kwene vita ya maneno na Taifa lenye heshima kubwa Afrika kwa kutotawaliwa na wakoloni la Ethiopia, mtanange umegeuka nakua...
CNN, wanarepoti kuwa Israel imeendelea kufanya mashambulizi makali ya anga usiku wa kuamkia Leo.
Haya yanajili baada ya jana Iran kufanya mashambulizi kama sehemu ya onyo kwa Israel kuacha...
Katika mashambulio hayo mapya Hizbullah wametlumia makombora aina ya FAD 3 wamesema yamelenga yaliplokusudiwa ikithibitishwa na IDF waliosema wametungua baadhi yake,
Sehemu zilizokusudiwa...
Msemaji wa IDF mh Hagai amesema wamekuwa wakioparate ndani ya Lebanon kwa miezi sasa hivyo wanajua kila kitu kuanzia Kijiji alichozaliwa kila Kiongozi wa Hezbollah, uwezo wao kifedha, wanakozipata...
Mwanzo alitokea muuaji wa watoto wasio na hatia Fashisti Nduli Benjamin Netanyahu Bibi, akatamba kuwa wanajua kila kinachoendelea ndani ya Iran. Akadai wana uwezo wa kufika mahali popte ndani ya...
Diego Garcia, kisiwa kilicho mbali katika Bahari ya Hindi, ni peponi kwa mimea na fukwe zenye mchanga mweupe, kwenye maji ya buluu.
Lakini kisiwa hiki sio kivutio cha watalii. Ni kituo cha kambi...
Waziri Mkuu wa Israel mh Netanyahu amesema kamwe Israel haitakubali Uwepo wa Mataifa Mawili
Malengo ya Vita ni kuifuta Hamas na kuokoa Mateka na lazima tufikie lengo hakuna wa kurudisha Nyuma...
Magharibi wako mbali sana kimahesabu.
Westerners ni nyoko. Naona mahesabu yao ni Far East akiwemo Putin, Jon Jun, na wapuuzi wengine wasiojali haki za binadamu.
Saudia Yeye hana cha kusema, UAE...
Rubani wa ndege ya Kivita ya Urusi alimsurprise Rubani mwenzake aliyekua anaendesha ndege ya Kivita ya Marekani F- 16 akiwa katika doria karibu na pwani ya Alaska na kumfanya apagawe kwa namna...
Hiyo ndo habari mpya watarusha makombora 1500 kwa wakati mmoja
First wave itakua na makombora 1500
Second wave itakua na makombora 1500
Third wave itakua na makombora 1500
Jumla makombora...
Mimi mwenyewe ninaogopa kushuhudia kile kinataka kutokea, labda mwezi huu wa October. Kweli kabisa Iran ina nguvu za Kijeshi: kibaya zaidi kwa sasa inapata support kubwa toka Urusi na Uturuki...
Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine
Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Mwandishi aliyefungwa raia wa Iran ametoboa siri na amesema siku akitoka Jela ndio ataweka wazi kila kitu kuhusu Uhusiano wa siri wa Israel na Iran unavyowanufaisha Israel,Iran na Marekani. kwa...
Video: Jordan imeua raia wake wakati ikijaribu kuisaidia Israel kutungua makombora ya Iran
Kupatwa kwa Jordan[emoji15] ndo wakome kabisa kuwa shield ya wazayuni kwa bahati mbaya leo wamejitahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.