Mapema leo huko Tel Aviv kumetokea mlipuko karibia na ubalozi wa Marekani na kusababisha majeraha.
La kujiuliza ni aina gani ya drone iliyotumika kwenye shambulio hili yaani watu wanastukia kitu...
Kiongozi wa Hezbollah mh Nasrallah amesema wamefanikiwa kuyapiga picha maeneo yote muhimu ya Israel zikiwemo Kambi za kijeshi na sasa wanamsubiri Netanyahu aseme "su" Ili wamuwashie moto...
Oil tanks burn at the port in Hodeidah, Yemen, Saturday, July 20, 2024. The Israeli army said it has struck several Houthi targets in western Yemen following a fatal drone attack by the group in...
Mi ndo naona hili ndo lililobakia.kwa kipindi hiki wakati nchi za Kiarabu zikijipanga kuishambulia Israel.
Najua kwa sasa. Yemen,Iran,Palestine, Syria zitakuwa na vikao kujipanga.
Hadi sasa tukiwa tunaelekea adhuhuri Chama Cha Hezbollah bado haijathibitisha Kifo Cha Kiongozi wao mh Nasrallah
Israel Ndio wametawala vyombo vyote vya Habari kuanzia Ulaya, America, Asia hadi...
Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa...
wadau hamjamboni nyote?
Kazi kusafisha magaidi inaendelea
Mungu ibariki Israel
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
IDF says senior Hezbollah official Nabil Qaouk killed in Beirut airstrike...
Imeelezwa kuwa mfumo wa mgawanyo wa madaraka na utayari wa kimapambano ni mmoja ya mifumo bora katika vyama vya utetezi wa haki kwani huwa daima hautingishiki kutokana na vifo vya viongozi wao...
Msemaji wa IDF mh Hagai amesema mikono ya Kiongozi Mkuu wa Hezbollah mh Nasrallah aliyeuawa ilikuwa imejaa damu za binadamu wasio na hatia
Yule alikuwa Kichwa Cha Ugaidi duniani na sasa...
Wakuu ni nadra sana kuona hizi video mtandaoni hasa kwene media za al jazeera!
Hawa raia wanawatukana Hamas kwamba wamefanya maamuzi ya kijinga ndio yanawaua...
Kiongozi mkuu wa Hezbollah mh Nasrallah amesema Israel imevuka mstari mwekundu na wao wanahesabu hilo kama Tangazo la Vita kamili
BBC news
Nimeogopa sana 🐼
Wadau hamjamboni nyote?
========
The body of Hezbollah leader Hassan Nasrallah was recovered on Saturday following an Israeli airstrike in Lebanon, according to a Lebanese security source who...
Imenisikitisha sana. Hawa Israel wanawezaje hawa Mayahudi? Hii inawezekana vipi? Putin ashawahi kusema anahisi amezungukwa na Mayahudi wengi sana kwenye Uongozi wake. Kiasi hajui yupi ni yupi...
Siku moja baada ya Israel kumuua kiongozi wa Hizbullah, Hassan Nasrallah jeshi la nchi hiyo limekuja juu na kutoa matamko ya kuwahamasisha raia kujiandaa kwa vita na Israel.
Katika tamko lake...
Shuhuda wa Vita ya Israel dhidi ya makundi ya kigaidi amesema Hamas ni Makini, Wavumilivu na Jasiri kuliko Hezbollah
Amir amesema Hamas wanakosa Silaha tu Lakini ni Makini mno kama kuku wa...
Baada ya Taarifa ya kifo Cha Nasrallah kutoka, nimeshangaa raia wengi wa Syria hasa eneo la Idlib wakishangilia kifo Cha Nasrallah. Ninachojiuliza ni kivipi kifo Cha Nasrallah huko Lebanon...
Kim Jong Un amesema nchi za ulaya zinainyonya Africa kwa kile walicho waghirib eti Mungu wao ndo mungu wa kweli wakati ulweli ni kwamba Africa inapaswa kuondokana na ukoloni huo.
Ikumbukwe korea...
Kifo cha kiongozi wa muda mrefu wa Hizbullah japo kimekuwa ni huzuni kubwa kwa wananchi wa Lebanon na wapenda haki hata hivyo hakijaleta taswira ya kumalizika mapambano kati ya Hizbullah na taifa...
Wanaukumbi.
🇮🇱🇱🇧 Hapo jana Israel walisema wanaelekea kwenye uamuzi wa kuivamia Lebanon, leo Hezbollah wamerusha roketi kwenye kituo chao na kuua na kujeruhi makumi ya wanajeshi.
Wakati huo...
BREAKING:
Ndege ya mizigo kutoka Iran inayotakiwa kutua katika uwanja wa ndege wa Beirut imegeuka baada ya Israel kufahamisha udhibiti wa usafiri wa anga katika uwanja huo kwamba Israel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.