International Forum

News and Stories from rest of the World
Wadau hamjamboni nyote? Huwezi amini lakini huo ndiyo ukweli kuwa hali bado ni tete huko Iran Huku hofu dhidi ya Israel ikiendelea kumeibuka tatizo jipya tena zito Ziwa kubwa kabisa huko nchini...
9 Reactions
42 Replies
2K Views
Huyu mzee na lile kanzu lake alikuwa mstari wa mbele kuagiza magaidi ya Waislamu yashambulie Israel, sasa wanapata majibu na bila aibu analalamika.... ________ Jerusalem Post breaking...
11 Reactions
29 Replies
1K Views
Maisha ya Gaza ni magumu mno. Suluhisho la Gaza sijui liweje. Wapalestina wanataka watambuliwe kama taifa huru, lakini hapo hapo wanajiapiza kulifutilia mbali Taifa la Israel. Kutoka vita vya...
6 Reactions
18 Replies
874 Views
UPDATE: Jana zimelipuka pager, leo zimelipuka radiocall ewe njiwa ewe njiwa peleka salamu x2 umueleze afahamu kwamba nnapata tabu, hali yangu mahamumu maradhi yamenisibu, Sehemu kubwa ya mission...
18 Reactions
31 Replies
1K Views
Siku mbili baada ya mashambulio ya kielektronik nchini Lebanon yaliyofanywa na Israel na kufuatiwa na mashambulizi ya maroketi nchini Lebanon,hizbollah nao wamefanya shambulizi la aina yake...
7 Reactions
69 Replies
4K Views
Vita vya Urusi na Ukraine na vile vya Israel na wapalestina pamoja na rafiki zao vinazidi kuikamua Marekani na kuipokonya ile sifa yao ya kuwa taifa kubwa. Imeelezwa kuwa karibuni hivi nchi hiyo...
2 Reactions
18 Replies
872 Views
Hezbollah wamethibitisha kuuwawa kwa kamanda wao muhimu ambaye ni moja ya waasisi wake na Mshauri mkuu wa kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah , Fuad Shukr katika shambulizi la anga la...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Mzuka wanajamvi. Bosi au mkuu wa kundi la kigaidi Hezbollah Hassan Nasrallah aliwaonya na kuwatahadharisha magaidi wenzake Hezbollah waache kutumia Simu janja wazitupe ama kuzifungia kwenye...
11 Reactions
29 Replies
1K Views
Lengo kuu ukiachana na kujaribu kuiteka Israel October 7 ilikuwa ni kuua watu ndani ya Israel wengi kadri iwezekanavyo, Target zilikuwa ni raia wema wasio na silaha ili kuoata matokeo makubwa...
14 Reactions
151 Replies
5K Views
Waziri wa Ulinzi wa Israel amekiri kuwa wanajeshi wa Urusi nchini Syria mnamo may 13 kwa mara ya kwanza waliamua kuitageti na kuishambulia ndege vita ya Israe F-35, ile midoli ya Marekani ambayo...
10 Reactions
38 Replies
4K Views
Kama hizi habari zitathibitishwa itakua ni pigo kubwa mno kwa mabeberu nimequoute kutoka kwenye source muhimu za habari URGENT: Initial reports indicate that the Yemeni Armed Forces have...
9 Reactions
93 Replies
4K Views
Hizbullah walifanya shambulizi hilo katika kujaribu kulipa kisasi milipuko ya vifaa vya mawasiliano,iliyoondoka na uhai wa watu takribani thelathini mpaka sasa na wengine wakiwa na halo mbaya...
7 Reactions
20 Replies
1K Views
Tumezoea matukio mengi ya mashambulio yanapofanywa na wapinzani wa nchi za magharibi huitwa ni mashambulio ya kiuoga.Mtu anaamua kujiripua sehemu fulani au kutumia silaha kushambulia adui...
6 Reactions
76 Replies
3K Views
Waziri wa ulinzi wa Israel amesema sasa wameingia kwenye Awamu Mpya ya Vita Nimeogopa sana Mlale Unono 🐼
24 Reactions
151 Replies
4K Views
Rwanda wanampango mpaka 2026 wawe wanafua umeme kupitia nyuklia, Uganda pia wanampango mpaka mwaka 2040 wawe wana uwezo wa kuzalisha umeme kupitia nyuklia, Kenya wao ni mpaka 2035. Sisi...
0 Reactions
24 Replies
636 Views
Iran ambayo ni mfadhili mkubwa wa magaidi ya waislamu, bila aibu yaanza kulalamika kwa kichapo kilichotembezwa na Israel kwa magaidi ya hezbollah.... ============================= Iran, an ally...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakati wa Mkutano wa Kilele wa Mwaka 2024 wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika Beijing, Kampuni ya Teknolojia ya Baifenbi ya China ilisaini makubaliano na Wizara ya...
1 Reactions
2 Replies
253 Views
Wadau hamjamboni nyote? Balozi huyo nayeye alikuwa na karedio kamasiliano yaani pager na kilipobipu kwa takribani sekunde 10 akakisogeza usoni Ili asome ujumbe na Mlipuko ukatokea na kuondoka na...
15 Reactions
76 Replies
5K Views
Hezbollah wamesema Wanachama wao Zaidi ya 28 wameuwa baada ya Simu na laptop zao kuwalipukia Wameonya kwa kuwa Vita vimeingia Awamu ya Kupiganwa kisayansi basi wasilaumiwe popote duniani Kisasi...
22 Reactions
82 Replies
4K Views
Raia mmoja wa Marekani ameonekana katika video clip mtandaoni Twitter akibishana na baadaye kuwatimua maafisa wa FBI waliofika nyumbani kwake kufanya mahojiano naye kuhusu chapisho lake katika...
0 Reactions
1 Replies
185 Views
Back
Top Bottom