International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

SEHEMU ya I "Inshu ya Banyamulenge, ni kisingizio tu! Ni kitu ambacho hakipo. Iliisha mwaka 2002". Anasema Nyamwasa. Baada ya vifo vya wanajeshi wa Afrika kusini kufia vitani nchini DRC...
6 Reactions
67 Replies
1K Views
Top Ngo Usaid Recipients (fiscal Years 2013-2022) 1. Catholic Relief Services: $4.6 billion (nonprofit) 2. Chemonics International: $4.5 billion (for-profit) 3. FHI 360: $3.8 billion (nonprofit)...
6 Reactions
103 Replies
2K Views
Petty and vindictive.
4 Reactions
12 Replies
497 Views
Vita vya maneno vimeibuka katika mtandao wa X kati ya tajiri mbwatukaji Elon Musk na mwanasiasa mbwatukaji toka Afrika Kusini Julius Malema kisa kauli zilizo tafsiri kuwa za kibaguzi toka kwa...
5 Reactions
41 Replies
2K Views
Huyu waziri mkuu wa Hungary ananikumbusha Bernard Membe alivyojiunga ACT akafanywa mgombea urais halafu akawa hafanyi kampeni anapiga ruti za Dubai tu na akagoma kujiuzulu pale chama chake...
1 Reactions
0 Replies
162 Views
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Benki ya Credit Suisse, Tidjane Thiam ,62, ameukana uraia wake wa Ufaransa ili kutimiza masharti ya kushiriki katika uchaguzi wa urais wa Ivory Coast...
3 Reactions
13 Replies
449 Views
Wadau hamjamboni nyote? Siyo Mimi ni maneno ya Kiongozi Mkuu waasi congo kamanda nangaa alihojiwa karibuni Anasema kuwa malengo yao ya kivita yatatimia kwa kuitwaa kishansha na kuwa wamejiandaa...
0 Reactions
8 Replies
525 Views
Jasusi yupo Dar na Goma virtually akifuatilia yanayoendelea, na ataendelea kukujuza from time to time...lakini leo tuangazie mkutano wa SADC / EAC wa Dar es Salaam...
0 Reactions
8 Replies
562 Views
Kumbe serikali ya DRC ikitumia njia ya vita haiwezi kuvimaliza vita vya mashariki dhidi ya M23 bali mazungumzo, kwa sababu M23 hawapo tayari kuondoka Mashariki ya DRC kwa sababu wanaichukulia ni...
6 Reactions
19 Replies
843 Views
Ni dhahiri kwamba maeneo ya mipakani yanahitaji strict observation ya vyombo vya dola. Kinachotokea Goma, pamoja na mambo mengine, ni laxity katika udhibiti wa maeneo ya mipakani. Sawa, kuna wa...
7 Reactions
31 Replies
785 Views
Mgogoro wa Congo DR hatuhitaji mazungumzo ili kupata suluhu, Maadui wa Congo DR ni wajumbe wa huo mkutano ni wazi kuwa ni Kagame na Mseveni, Sasa hawa ndo wapo kinafiki ati wanashauri mbinu za...
3 Reactions
15 Replies
629 Views
Vladimir Putin is forcing wounded Russian soldiers back to battle on crutches as the Kremlin lost a staggering 48,000 troops last month alone. New images have emerged showing exhausted and...
7 Reactions
49 Replies
2K Views
Ethiopia ndiyo mnufaika mkubwa zaidi wa USAID barani Afrika, ikipokea msaada wa dola bilioni 1.20. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inafuatilia kwa karibu kiasi hicho cha dola bilioni 1.20...
0 Reactions
1 Replies
289 Views
Nakubalina na Kagame mikutano ya Kila siku sijui Kila mara ni upuuzi usio na msingi wakati kinachotakiwa kufanyika ni DRC iache kuwafurusha raia wake Nchi jirani Kwa visingizio visivyo n msingi...
4 Reactions
76 Replies
1K Views
Rais Donald Trump alisema Ijumaa kwamba Elon Musk na timu yake ya Idara ya Ufanisi wa Serikali (DOGE) watachunguza kwa karibu matumizi ya Pentagon ili kutafuta uwezekano wa upotevu wa fedha na...
6 Reactions
12 Replies
545 Views
Message sent to African leaders
29 Reactions
76 Replies
3K Views
Mfanyabiashara maarufu wa Marekani, Elon Musk amekuwa Mtu wa kwanza katika historia duniani kufikisha thamani ya juu ya utajiri wa dola bilioni 400 za Kimarekani ( zaidi ya Trilioni 970 za...
5 Reactions
31 Replies
1K Views
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu...
22 Reactions
175 Replies
5K Views
Alliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Benki ya Credit Suisse, Tidjane Thiam ,62, ameukana uraia wake wa Ufaransa ili kutimiza masharti ya kushiriki katika uchaguzi wa urais wa Ivory Coast...
0 Reactions
0 Replies
82 Views
Mamia ya wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) wameripotiwa kuuawa katika operesheni za siri Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Kuuawa kwa wanajeshi hao katika...
2 Reactions
5 Replies
501 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…