International Forum

News and Stories from rest of the World
Wanajeshi wanaolinda mipaka wa Saudi Arabia wanashutumiwa kuwaua wahamiaji 430 raia wa Ethiopia waliokuwa wakiingia nchini humo wakitokea nchini Yemen. Hata hivyo Saudi Arabia imekanusha taarifa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Baada ya shirika ka ndege la Ufaransa kusitisha safari zake za Burkina Faso na Mali Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini Ila marubani...
63 Reactions
153 Replies
10K Views
21 August 2023, 17:26 BST The Russian Ministry of Defence said in a statement that an attack by a "copter-type UAV" took place at around 10:00 Moscow time (08:00 BST). It stated the location as...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Waafrika walikuwa na mashaka na viongozi wao kama kweli ni viongozi kwaajili ya watu wao au wako kwaajili Yao na mabeberu. Wana makasha kama viongozi wao wanajali maslahi yao wananchi au maslahi...
45 Reactions
122 Replies
8K Views
Wazungu wanapima kutujua waafrika kama ni watu kamili kama wao au tuna uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao. Hata nyani na tumbili ukiwapa ndizi TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako...
15 Reactions
125 Replies
5K Views
Supapawa anaendelea kupokea mapigo.... The Russian capital was once again attacked by drones on the night of 21-22 August, with a high-rise building and cars damaged in the city of Krasnogorsk...
1 Reactions
2 Replies
830 Views
Shirika la kutetea haki za binadamu – Human Rights Watch, limewashutumu walinzi wa mpakani wa Saudi Arabia kwa kuua mamia ya wahamiaji wa kiuchumi wa Ethiopia. Wahamiaji hao walikuwa wakijaribu...
1 Reactions
5 Replies
909 Views
Mamia ya wakimbizi wauwawa kinyama kwenye mpaka wa Saudi Arabia. Alafu hawaa ndio tunawapigania kwa nguvu zote waje kwetu. Jamani tufumbue macho na kutafakari tena na tena na hii mikataba. ======...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Nchini Afghanistan, viongozi wa Taliban wamepiga marufuku wafanyakazi wa serikali ambao hawana ndevu kufika ofisini. Taliban wanasema mfanyakazi yoyote wa serikali lazima awe na ndevu za...
13 Reactions
89 Replies
40K Views
Responding to the attack and arson of at least five Churches and many Christian homes in Jaranwala in Pakistan, Rehab Mahamoor, interim regional researcher for South Asia at Amnesty International...
1 Reactions
0 Replies
316 Views
Kushindwa siasa za kibeberu za Marekani nchini Afghanistan ni pigo kubwa kwa mabeberu na mabwana zao wakieneo Serikali ya kundi la Taliban nchini Afghanistan imesema kuwa njama za wavamizi na...
1 Reactions
4 Replies
690 Views
Katika kuonyesha kwamba uongozi wa kijeshi nchini Niger umedhamiria kupambana na yeyote atakayeishambulia nchi hiyo. Viongozi hao wameanza kuhamishia familia zao Dubai, Bukina Faso na kwingineko...
3 Reactions
85 Replies
6K Views
Serikali ya Taliban imevitaka Vituo vya Televisheni kuacha kurusha Tamthilia au Maigizo yenye Waigizaji wa Kike. Waandishi wa Habari na Watangazaji Wanawake wametakiwa kuvaa Hijabu. Vipindi vya...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Baadhi ya vyuo vikuu vya umma nchini Afghanistan vimenguliwa tena kwa mara ya kwanza tangu kundi la Taliban lilipochokua madarakani mwezi Agosti. Utawala wa Taliban umetangaza kuwa wanafunzi wa...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Marekani imeeleza kuwa kutakuwa na gharama ikiwa hakutakuwa na mabadiliko kuhusu maamuzi hayo yanayofanywa Nchini Afghanistan. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken amesema Serikali...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
TalibanCopyright: Taliban Gavana wa Taliban Muzamili aliuawa katika ofisi yakeImage caption: Gavana wa Taliban Muzamili aliuawa katika ofisi yake Gavana wa Taliban wa jimbo la Balkh kaskazini mwa...
1 Reactions
1 Replies
496 Views
Baada ya kupiga marufuku watoto wa kike kwenda shule sasa taliban wamepiga marufuku biashara ya kutengeneza nywele za wanawake na make up (hair and beauty saloon) nchini humo. Hayo ni kwa mujibu...
20 Reactions
173 Replies
7K Views
At least seven people, including a child, were killed and 129 were wounded in a Russian missile strike on the northern Ukrainian city of Chernihiv on August 19, Ukraine's Interior Ministry said...
1 Reactions
2 Replies
863 Views
Hili ni tishio jipya la usalama Kwa nchi zetu za Africa. Uwepo wa Wagner group Africa kunapelekea mapinduzi ya kijeshi kwa Serikali halali za Africa haswa zile zisizo egemea upande wa Urusi...
5 Reactions
40 Replies
3K Views
Jenerali Abdourahamane Tchiani ametoa ahadi hiyo baada ya kukutana na Wapatanishi kutoka Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) katika mji mkuu, Niamey. Hata hivyo, ECOWAS...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom