International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Samsung, LG, Kia, POSCO na makampuni mengine mengi ya Korea yamelazimika kutathmini upya gharama za kuendesha viwanda nchini Mexico na Kanada, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kusisitiza...
0 Reactions
2 Replies
314 Views
Canada imewasilisha ombi la kushtukiza usiku wa kuamkia leo la kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya, likichochewa na matamshi ya Donald Trump kuhusu kuifanya nchi hiyo kuwa jimbo la 51 la Marekani...
5 Reactions
37 Replies
1K Views
Kwenye interview ya CNN leo tarehe 3, Rais wa Rwanda amesema yeye haibi madini Congo, wezi wakubwa wa madini ya Congo ni Afrika Kusini na Wazungu wa Ulaya. Kagame anasema haibi madini ya Congo...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
"IT IS NOT A PEACEKEEPING MISSION, IT IS AN OFFENSIVE MISSION". Wabunge wa Afrika Kusini walipokuwa wakiongea na waziri wa ulinzi na mkuu wa jeshi la South Afrika, wameonekana kutofurahia kitendo...
0 Reactions
2 Replies
374 Views
Kufuatia mauaji ya Askari 14 wa Jeshi la Afrika Kusini SANDF waliouawa na M23 (wanaosaidiwa na Rwanda) Wanasiasa nchini A/Kusini akiwemo Kiongozi wa EFF Julius Malema anashinikiza ubalozi wa...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Marais wa EAC na SADC wasicheke na Rwanda, Uganda na waasi...... chochote kinawezekana....ni aheri kuogopa nyasi kuliko kun'gatwa na nyoka. Waasi wakitangaza kusitisha mapigano mara nyingi kuna...
3 Reactions
30 Replies
802 Views
https://www.youtube.com/watch?v=IAOGxEEoKKQ Wahudumu wa Afya wakiendelea na shughuli ya mazishi ya watu waliouawa wakati wa mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Kutokana na vita vinavyoendelea mashariki mwa DRC,tarehe 26 na 27 January 2025, watu 5 nchini Rwanda walipoteza maisha kutokana na risasi na makombola yaliyotua nchini Rwanda, mjini Rubavu...
6 Reactions
64 Replies
2K Views
Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Jacob Zuma (82), amezuiwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya Afrika Kusini ili asigombea Ubunge wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 29 Mei 2024. Mh. Jacob Zuma alitaka kugombea...
9 Reactions
31 Replies
2K Views
▪️GDP California ~ 3.9 Trillion USD Africa ~ 3.1 Trillion USD ▪️GDP per Capita California ~ 100,042 Africa ~ 1,740 USD ▪️Population California ~ 39.2 Million Africa ~ 1.4 Billion ▪️Labour...
3 Reactions
46 Replies
743 Views
Five men have been sentenced to death by hanging in Nigeria's Kano state for the 2023 murder of a woman they accused of witchcraft. The convicted men attacked Dahare Abubakar, 67, as she was...
0 Reactions
1 Replies
135 Views
Kabla ya kuilaumu Rwanda kuhusu suala la M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), nataka nikupatie historia fupi kuhusu kinachoendelea katika sehemu ya mashariki ya Congo. Hii ilianza...
10 Reactions
49 Replies
2K Views
Baada ya China, Mexico na Canada kushughulikiwa sasa ni zamu ya umoja wa Ulaya kuongezewa tarrifs na utawala wa Trump...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Asema Goma ni nchi kamili inayojitegemea Waasi wanadai tayari hiyo ni nchi huru. Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: The head of M23 Rebels in Goma City, General...
15 Reactions
90 Replies
4K Views
Wapiga kura wanachagua viongozi wa majimbo mawili yaliyojitenga na Ukraine ya Lugansk na Donetsk katika uchaguzi unaoungwa mkono na Urusi na kupingwa na nchi za Magharibi. Waasi waliojitenga...
4 Reactions
38 Replies
4K Views
Rais Vladimir Putin akitia saini amri (the Decree) kutambua majimbo ya Donestk na Luhansk kuwa majimbo huru. Picha na Reuters. Rais wa Russia Vladimir Putin usiku huu anatarajiwa kutangaza...
36 Reactions
531 Replies
37K Views
Ndio inavyotakiwa hivi Sasa ,Congo ni wapumbavu wanashindwa kufanya hivi? 👇👇 https://www.instagram.com/p/DFp3xR5I3nQ/?igsh=MWxjYmtzeGNhejNn
1 Reactions
10 Replies
454 Views
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kusitisha ufadhili wa Marekani kwa Afrika Kusini, akidai kuwa "tabaka fulani za watu" nchini humo wanatendewa vibaya sana. Katika chapisho lake kwenye...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Philanthropist unleashes outspoken attacks on populist leaders such as Trump and Xi: January 24, 2020 by Andrew Jack George Soros, the financier and philanthropist, has pledged $1bn to support a...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
November 30th 2022 There should be no more doubts that the West’s globalist elites want the world’s democracies to go away and their billions of people to be governed by tyrannical regimes such...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Back
Top Bottom