Hii ni historia ya aina yake. Alizaliwa mwaka 1961 huko Leningrad leo hii ikiitwa St.Petersburg, miaka ya 1980 kabla hata hajafikisha miaka 20 akapewa hukumu ya kifungo cha miaka 2 na baadaye 13...
Vyombo vya ujasusi vya Uingereza vinasema kulikuwa na jambo kubwa zaidi ya deal la Wagner na Serikali ya Urusi katika makubaliano yaliyoongozwa na Lukashenko wa Belarus kuwarudisha Wagner nyuma...
Kama jendwali linavyoonekana hapo katika picha, Ukraine ndio imevunja rekodi kwa kupokea misaada ya kifedha kutoka Marekani kuliko nchi nyingine yoyote ile duniani.
Mpaka kufikia mwezi huu wa...
Muda mfupi baada ya chombo Cha Titan kupoteza mawasiliano na kupotea kabisa tunasikia habari za Wanamgambo kutaka kuvamia Moscow, hapa ndio penye maswali sana.
Kwa nini, matukio hayo yafuatane...
Wanacho kitafuta ni kichwa changu. Sasa kila tatizo linalotokea ndani ya Nchi chanzo amekuwa ni mimi. Vita vya mashariki ya kongo vipo toka mwaka 1997, leo hii chama cha DPS (chama tawala)...
Kwa Wasudan wengi wanaotatizika kunusurika kwenye vita, ladha ya kondoo ambayo Waislamu hujitolea kijadi kwa ajili ya sikukuu ya Eid al-Adha ni kumbukumbu ya mbali.
Mzozo huo ambao sasa uko...
Raisi wa Belarus anasema:
"Nilikuwa nikijaribu kumshawishi [Prigozhin] kwa muda mrefu. Mwishowe nilisema: 'Unajua, unaweza kufanya chochote unachotaka. Lakini usinichukie (kwa nitakacho kifanya...
Wakati maasi ya Prigozhin yalionekana kuipata Kremlin kwa ghafla mashirika ya kijasusi ya Marekani yalikuwa tayari yamepata ishara kwamba alikuwa akipanga kuchukua hatua na yalikuwa yamemjulisha...
( Mgombea kiti cha urais 2024 bwana Ko Wen-je kupitia chama cha TPP ).
Chama cha kisiasa cha Taiwan ambacho kiliundwa miaka minne(2019) iliyopita kimepanda nafasi mbele ya chama kikuu cha...
Kuna wakati Urusi iliwahi kukana uwepo wa kikundi hiki cha Wagner, ila imejikuta ikiwakubali na Putin kukiri hadharani hela alizotumia kukidhi mahitaji yao, hela ndefu sana hadi inamuuma, $1b sio...
Kiongozi wa Wagner, Yevgeny Prigozhin ameweka wazi kuwa hakumlenga Putin alipotangaza kuwa wanajeshi wake wangeandamana mjini Moscow akisema: "Hatukuandamana kuupindua uongozi wa Urusi."
Katika...
Si mnakumbuka alikuwa analalamika kupewa ammunitions/risasi, mabomu, mizinga kidogo!! Alikuwa ameshaanza kutokuaminika. Kwa hiyo ili asiwe na lundo kubwa la silaha alikuwa anapewa kidogo tu...
Muda wowote vikosi vya wargner pmc vitavuka mipaka kupitia Ukraine kwenda Belarus kwa usalama huku boss who prigozhn akiwa yupo moscow na Putin.
Kinachoendelea na kilichotokea ni propaganda za...
Warusi wa Kwamtongole humu JF wanakuja na nadharia mpya kila siku za kujaribu kufuta aibu ya kilichotendeka juzi, kunao wanasema hakukua na maafa yoyote, sasa Putin hizi rambirambi anatuma za...
F-35 test pilots described how intense it is to fly the aircraft, The Jerusalem Post reported.
"It's like an 800-pound gorilla sitting on your chest," a pilot said in a Lockheed Martin webinar...
Raisi Putin asema alishakubaliana rasmi na Ukraine kumaliza Vita baada ya Ukraine kukubali kuwa nchi huru bila NATO na aliahidi ulinzi dhidi ya Ukraine in future ila aliomba uwe mkataba wa siri...
Wizara ya Sheria ya Marekani hivi karibuni ilitangaza kuzishtaki kampuni na raia kadhaa wa China kwa madai ya kuzalisha na kuuza malighafi za dawa za kulevya. Hii si mara ya kwanza kwa Marekani...
Akizungumza hadharani tangu afunguliwe mashtaka 37 yanayohusu kuficha nyaraka za siri za Serikali katika mjengo wake wa Mar-a-Lago, Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amekana kufanya makosa...
Kukiwa kumebaki kilomita 200 tu msafara wa vifaru vya uasi wa Wagner mara ulisitishwa na kutolewa tangazo kuwa kiongozi wa uasi huo, Prigozhin amesitisha uasi huo na kuwataka askari wake warudi...
ProRussia tunajua mna mahaba makubwa na utawala wa Putin, hamsikii hamuambiwi lolote dhidi ya kiongozi wenu pendwa kimataifa, kutokana na mahaba haya sasa mmmekuwa kama mazombi kabisa. Mnafikiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.