International Forum

News and Stories from rest of the World
Iran wanataka kudiriki kuvamia kule ambako ndiyo chimbuko la dini ya Mwarabu, japo Marekani wamesema watailinda Saudia kwa vyovyote vile. ========= Saudi Arabia has shared intelligence with...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Operesheni maalum" ya Putin haijaenda kulingana na mpango. Kile kilichopaswa kuchukua siku au wiki kadhaa tayari imechukua miezi kadhaa. Kremlin inaonekana kabisa haikuchukulia upinzani wa...
9 Reactions
35 Replies
2K Views
Gianna Amani Wadau mbalimbali wameeleza kuwa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) kinajali mstakabali wa watu wote duniani, amani haki na ushiriki wa pamoja katika kutatua changamoto...
0 Reactions
1 Replies
320 Views
Elon Musk amevunja bodi ya Twitter na kujifanya "mkurugenzi pekee" wa kampuni hiyo. Wanachama wote wa awali wa bodi hiyo wameondolewa kwenye jukumu hilo, na kumwacha Bw Musk pekee kama...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Ziara ya hivi karibuni ya Olaf Scholz nchini China ni ujumbe kwamba Washington haiwezi kulazimisha sera ya nje ya Berlin. Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz anatazamiwa kuzuru China wiki hii. Ni...
3 Reactions
0 Replies
718 Views
Ndege hiyo ya UAV iliangushwa katika mji wa Raska, karibu na mkoa unaozozaniwa wa Kosovo. Wanajeshi wa anga wa Serbia wameidungua ndege ya kibiashara isiyo na rubani karibu na mpaka wa Kosovo...
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Wajuvi karibuni na wanahistoria tupate elimu. Historia ya kumegwa Kosovo toka Serbia kwa msaada wa NATO na kumegwa kwa CRIMEA&Co(Luhansk,Donetsk,Donbass) kwa msaada wa Urussi.Je umegaji upi ni...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kyiv. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekiri rasmi nchi yake imepokea mifumo ya ulinzi wa anga NASAMS kutoka serikali ya Marekani. The National Advanced Surface to Air Missile System...
13 Reactions
86 Replies
5K Views
Uchina yasema 'haitatafuta uzushi' Beijing ilijibu baada ya Mkakati mpya wa Kitaifa wa Ulinzi wa Washington kutaja Uchina kama tishio kuu la Amerika Uchina yasema 'haitatafuta ukuu wa ulimwengu”'...
0 Reactions
4 Replies
861 Views
Halafu Morocco ni Waarabu kiaina, ukizingatia namna ambavyo tunapenda kuponda Wazungu na ambavyo Waafrika wanateseka wakijaribu kuingia uzunguni, vijana kama hawa kwenye hii video wanafikirisha...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Are you a foreigner and tired of using #Google #Maps to reach premises you desire in #Dar- es-salaam? Here a guy who will accompany you to all your movements and you will enjoy a new experience...
12 Reactions
31 Replies
2K Views
Brits italazimika kulipa mara mbili zaidi kwa nishati katika miezi ijayo, opereta ameonya Kaya za Uingereza zinakabiliwa na msimu wa baridi 'ngumu sana' - Gridi ya Kitaifa Kaya nyingi za...
0 Reactions
1 Replies
447 Views
Ukrainian man arrested for bomb plot – FSB An agent of Kiev’s special services sought to blow up power lines in Crimea, Russia’s security service has claimed
0 Reactions
3 Replies
666 Views
Ubalozi wa #Kenya nchini #DRC umelaani vikali 'kauli za dharau na kejeli' alizotoa Naibu Rais Williams Ruto kuhusu taifa la DRC. Baadhi ya raia wa DRC wameanza kususia bidhaa za Wakenya walioko...
3 Reactions
58 Replies
4K Views
Putin atoa wito wa kuwepo uhusiano wa karibu na mataifa ya Kiarabu. Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini zina jukumu muhimu zaidi katika ulimwengu wa "multipolar", kiongozi huyo wa Urusi...
2 Reactions
4 Replies
777 Views
Machi 1966, Muhammad Aziz, Khalil Islam na Mujahid Abdul Halim walihukumiwa kifungo kwa mauaji hayo na kisha Halim alikiri kumuua Malcom X, ingawa alikuja kuachiwa huru mwaka 2010. Novemba 2021...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Zikiwa zimebakia siku chache kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa Chama cha Kikomnisti cha China (CPC) maonyesho mbalimbali yameandaliwa jiji Beijing ambayo kwa sehemu kubwa yanaonyesha mafanikio...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Korea Kaskazini imerusha kombora kuelekea Kusini, ambalo lilivuka mpaka wa bahari wa nchi hizo mbili kwa mara ya kwanza tangu kugawanyika kwa peninsula hiyo. Kombora hilo la masafal mafupi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Pyongyang ilishutumu Washington na Seoul kwa "harakati zao za kijeshi za kizembe" wakati wa duru ya hivi punde ya michezo ya vita. Korea Kaskazini yadai Marekani imeweka 'hati ya nyuklia' katika...
0 Reactions
6 Replies
846 Views
Tarehe 25 Oktoba ni “Siku ya Kupinga Vikwazo” iliyoanzishwa na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC). Katika maadhimisho ya Siku hiyo, viongozi wa nchi nyingi kwa mara nyingine...
0 Reactions
3 Replies
591 Views
Back
Top Bottom