International Forum

News and Stories from rest of the World
Ameamua liwalo na liwe, ila hatokwenda kupigana kwenye vita visivyokua na tija au maslahi ya nchi... ========= A Russian man shot the head of a local military draft committee in Siberia on...
2 Reactions
9 Replies
953 Views
Kumekuwa na mwamko mkubwa wa vijana mitaani kupinga Putin na vita yake Ukraine ambako kumesababisha ugumu wa maisha kwa warusi.Vijana wamekuwa waandamana maeneo mbalimbali kupinga Putin kaona...
4 Reactions
10 Replies
846 Views
Kama ambavyo imekua desturi sasa, Toyota ni mojawapo wa makampuni ambayo yamehama Urusi rasmi, nchi inaendelea kutumbukia kwenye shimo kiuchumi, huku Putin akikusanya wanywa gongo wakapambane pale...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Mkilazimisha maskini wakafie Ukraine, basi na matajiri hambaki salama. ========= Ahuge fire broke out at a Russian steel plant owned by Roman Abramovich, an ally of President Vladimir Putin...
1 Reactions
7 Replies
742 Views
Mshindi wa bahati nasibu ya India amesema anaelemewa sana na maombi ya misaada ya kifedha kiasi kwamba anajuta kushinda Bahati Nasibu hiyo. Anoop, dereva wa magari kutoka jimbo la kusini la...
8 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanataka ionekane kama ambao walikimbia mapigano, sio kwamba waliuawa. Wanatumia magari yenye tanuri ya moto wa kuchoma maiti hadi majivu ======== The Russian Ministry of Defence has been...
2 Reactions
5 Replies
899 Views
Igweeee. Jamani huko duniani taifa linaongoza kutoa simu za kila aina ya majina na michezo ya watoto, inasemekana jeshi limempinduwa kwa makosa ambayo bado hayajatajwa. Japo za kunyapia nyapia...
12 Reactions
28 Replies
3K Views
Mtu mwenye silaha avamia shule na kuuwa Watu 6 na kujeruhi 20 ========= 6 dead, 20 wounded in school shooting in Russia MOSCOW (AP) — A gunman on Monday morning killed six people and wounded 20...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Putin ameamua kukusanya wanywa vodka mitaani wakapigane pale ambapo wanajeshi rasmi wa Urusi wameshindwa mpaka kutoroka mapambano...... Chaotic scenes have been shared on social media following...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Huku Ukraine wakiendelea kusubiri wanywa gongo wanaotumwa na Putin kuja kupigana kwa niaba ya wanajeshi waliokimbia mapambano, Ukraine bado wanatembeza kichapo..... Russia suffered significant...
6 Reactions
43 Replies
4K Views
Washington, Serikali ya Marekali imeridhia maombi ya Austalia ya kununua makombora ya masafa marefu ya JASSM-ER yenye thamani ya dola za kimarekani milioni 235 ili kuweza kukabiliana na kitisho...
8 Reactions
39 Replies
3K Views
Ndegevita za Urusi zimezidungua na kuziangamiza ndegevita mbili za Ukraine aina ya MiG-29 zilizokuwa zimefanyiwa modifications ili kuziwezesha kubeba makombora ya Marekani ya kutungulia rada...
7 Reactions
12 Replies
1K Views
Mchezaji nyota wa zamani wa Australia Chris Davidson amefariki baada ya kupigwa ngumi nje ya baa moja Kaskazini mwa Sydney. Mwanamaji huyo mwenye umri wa miaka 45 alipigwa usoni na kuanguka...
2 Reactions
4 Replies
738 Views
Mwanamke huyo raia wa Congo, alieleza kuwa alijitolea maisha yake yote kuwalea ndugu zake na sasa yuko tayari kuolewa iwapo atapata mwanaume. Akizungumza katika mahojiano na AfriMax, alisema...
1 Reactions
0 Replies
751 Views
Russian military began sell equipment to the armed forces of Ukraine: $5,000 for Tiger Armored Vehicle, $50,000 for Tank The russians, whom the Putin regime is driving to war in Ukraine, have the...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Mamia ya Wananchi wameandamana katika Mji Mkuu, Tunis kupinga bei ya juu na uhaba wa baadhi ya vyakula na bidhaa Muhimu kama Sukari na hivyo kuzidisha shinikizo kwa serikali ya Rais Kais Saied...
0 Reactions
1 Replies
580 Views
Cha ajabu, wote dini moja Somalia...kutwa kulipukiana kwa mabomu kisa wanampigania "mungu" wao. At least 15 people were killed Sunday in an attack by the jihadist group Al Shabaab in Somalia's...
0 Reactions
28 Replies
1K Views
Wanajeshi wengine 6 wamejeruhiwa katika tukio hilo baada ya mwanajeshi mmoja kujilipua katika kambi ya jeshi Magharibu mwa mji wa Mogadishu. Kundi Al Shabaab lenye uhusiano na Al Qaeda linadaiwa...
0 Reactions
1 Replies
708 Views
Wiki moja iliyopita, viongozi wakubwa wa kimataifa walikusanyika London kwa ajili ya mazishi ya kiserikali ya Malkia Elizabeth II wa Uingereza. Sasa wengi wao wanaelekea upande wa pili wa dunia...
0 Reactions
4 Replies
981 Views
Huku kukiwa na mvutano unaoongezeka, Ukraine na Urusi zimefanya mabadilishano ya wafungwa ambayo hayakutarajiwa, ikiwa ndio mpango mkubwa zaidi tangu vita kuanza. Urusi iliwaachilia huru wafungwa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom