International Forum

News and Stories from rest of the World
Wapiganaji wa dini ya uislamu, alshabaab wamevamia msafara wa chakula cha misaada na kuua watu 20 na kujeruhi wengine. Pia wameongeza mashambulizi kwa wanavijiji. Four trucks carrying food...
2 Reactions
9 Replies
849 Views
Naomba kufahamu, ni kwa nini USA na nchi tajiri za magharibi huwa haizibani na kuiwekea vikwazo nchi ya Myamar ingawa ni muda mrefu sasa naona inavunja haki za binadamu na kuharibu Demokrasia...
1 Reactions
8 Replies
801 Views
Wizara ya Afya imesema hadi sasa Mlipuko wa ugonjwa wa Surua umesababisha vifo vya watu 685, huku mpango wa chanjo nchini kote ukiendelea Kesi 6,034 za ugonjwa huo zimeripotiwa nchini humo...
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Mutuombee…’’ majaji watoa wito huo wanapojitayarisha kutoa hukumu yao Maelezo ya picha. Majaji wa Mahakama ya Juu Zaidi watatoa uamuzi wao Jumatatu 3 Septemba 2022. Kusikilizwa kwa kesi ya...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Wanawake watatu kati ya Wanajeshi 49 raia wa Ivory Coast wameachiwa huru kutoka katika mamlaka za Mali huku wengine wakiendelea kushikiliwa. Wanawake hao wamerejea Ivory Coast ikwa ni wiki 7...
1 Reactions
0 Replies
817 Views
MTU yeyote anayeshangilia kwa sababu ya kubana tu kwa Zambia kwa deni zaidi ni mjinga. .mengi yanahitajika kufanywa, zaidi sana, kwa mawazo na matendo, yanahitajika kwetu sote raia ikiwa uchumi wa...
2 Reactions
6 Replies
923 Views
Taarifa ya Msemaji wa Kremlin, Dmitry Peskov imeeleza kuwa Rais Vladmir Putin amebanwa na ratiba nyingine hivyo hatoweza kufika tukio la kuaga mwili wa Kiongozi huyo wa mwisho wa Umoja wa...
8 Reactions
41 Replies
4K Views
Jeshi Jekundu la Russia liliendesha oparation zake Ukraine katika Jiji la Mariupol na kugeuza jiji Hilo kuwa majivu sasa limeukarabati upya mji huo na shule zimefunguliwa rasmi na maisha...
11 Reactions
30 Replies
2K Views
Tchize dos Santos, mtoto wa aliyekuwa Rais wa Angola, Eduardo dos Santos amekata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya Hispania iliyoagiza mwili wa Eduardo ukabidhiwe kwa mjane wake, Ana Paula ili...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jameni Mrusi anateswa hadi basi tu, Ukraine wamekua wanatengeneza mifano ya HIMARS za mbao, kisha wanazianika Urusi wanazinyeshea kwa mvua ya mizinga kisha wanatangaza "leo tumelipua HIMARS...
4 Reactions
6 Replies
836 Views
Mnaodai vikwazo havina madhara kwa Russian mnajidanganya ,ni vile media za Russia zimefungiwa ila hali ni tete ,hakuna anayetaka kuwekeza Russia ,alafu limeongezwa rungu lingine mataifa zaid ya...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Serikali ya Marekani imeamua kupeleka silaha za kivita Taiwan ili ijilinde. Silaha hizo zina thamani ya Trilion 2.5 za Tsh NB: Naona Karim Mandonga anatafutwa BREAKING: The United States has...
4 Reactions
11 Replies
786 Views
Kituko cha mwaka,Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia alieleza kwamba Urusi imeharibu Makombora 44 ya Himars wakati Ukraine ina mifumo hiyo 20 tu ambayo ilipewa na nchi za magharibi. On the...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Marekani imeidhinisha uwezekano wa kuiuzia silaha Taiwan zenye thamani ya Dola Bilioni 1.1, hatua ambayo inaweza kuzidisha mvutano ambao tayari upo kati ya Marekani na China. Mauzo hayo...
2 Reactions
5 Replies
747 Views
Hawa nao sijawahi kuelewa sababu zao za kulipuana huko Afghanistan wakati wote dini moja.... At least one cleric and several civilians have been reported killed in the city of Herat, despite...
1 Reactions
9 Replies
846 Views
Haya mataifa mawili yamekua na uhasama wa mda mrefu sana. China baada ya kutoa toleo lao jipya la aircraft carrier ,India nao wamefyetua yao ili kujibu mapigo. Hahaaaa inachekesha sana mchina na...
2 Reactions
45 Replies
2K Views
Mahakama ya Rufaa ya Rwanda Jumatatu iliidhinisha kifungo cha miaka 25 jela dhidi ya shujaa wa "Hoteli Rwanda" Paul Rusesabagina, ambaye alipatikana na hatia mwaka jana kwa tuhuma za "ugaidi", na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mahakama inayosimamiwa na Jeshi imetoa hukumu hiyo dhidi ya Aung San Suu Kyi ambaye tayari anatumikia kifungo kingine cha miaka 17 kwa makosa 11, endapo atakutwa na hatia kwa makosa mengine...
0 Reactions
4 Replies
791 Views
Vyuma chakavu vya msaada alivyopewa Ukraine vimelipuliwa nakugeuzwa kifusi baada ya kuweka mtego wa kubaini zilipo na kuyabonda mabomu kiasi kuwakaanga maopareta wa machuma hayo. Msemaji wa...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Idadi ya Watu waliofariki kutokana na mafuriko Nchini Pakistan sasa ni zidi ya 1,200 huku mvua zikiendelea kunyesha na kuathiri wengine Milioni 33. Waziri Mkuu wa Pakistan, Shahbaz Sharif...
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Back
Top Bottom