International Forum

News and Stories from rest of the World
Urusi baada ya kuteka mji wa Kherson, walipata jeuri hadi ya kusimika makao makuu na kujichimbia, sasa kibao kimegeuzwa, operesheni fagia fagia na kufyatua, Ukraine wanakomboa ardhi ya mababu...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Tasnia ya pono nchini Japan yakumbwa na uhaba mkubwa wa wanaume,ambapo sasa wastani ni wanaume 70 kwa wanawake 10,000 Maneno hayo yamesemwa na mfalme wa pono nchini Japan anaitwa SHIMIKENI, Huyu...
10 Reactions
57 Replies
6K Views
Kampuni kubwa ya nishati inayomilikiwa na serikali ya Urusi, Gazprom, imesema vikwazo katika bomba la Nord Stream 1 vitadumu kwa siku tatu zijazo. Urusi tayari imepunguza mauzo ya gesi kwa kiasi...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
Sina Utaalamu wa zana za Kivita ila nimevutiwa kuijua zaidi mizinga hiyo ya Kivita natumai humu kuna wajuzi/wajuvi wa mambo hayo. HIMARS tangu zimeingia Ukraine kutoka Marekani zimebadilisha kila...
35 Reactions
368 Replies
26K Views
Mwaka huu tutashuhudia mengi. Wakoloni wa Afrika wanazidi kuumbuliwa na Urusi kupitia nishati za Urusi. Hivi sasa Putin amekula sahani moja na Ufaransa kwa kumkatia gesi Macron baada ya Ufaransa...
12 Reactions
31 Replies
2K Views
Putin anamaanisha nini anavyosema siyo vita nchini Ukraine?
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Agosti 30, 2022, Kathmandu, Nepal, waumini wanawake wa dini ya kihindu walisherehekea Tamasha la Teej(siku ya wanawake), wakitoa heshima katika Hekalu la Pashupatinath kwa Mungu Shiva huku...
0 Reactions
5 Replies
561 Views
Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa Jumanne amekabiliwa na maswali makali bungeni, wakati wabunge walipotaka majibu jinsi anavyokabiliana na wizi wa mamilioni ya dola kutoka kwenye shamba lake...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Majeshi ya Urusi yamewanywa wanajeshi wa Ukraine zaidi ya 1200 ktk masaa 24 yaliyopita katika majaribio ya Ukraine kutaka kurejesha miji iliyokombolewa na Urusi toka kwenye utawala wa waNazi...
10 Reactions
43 Replies
3K Views
Shirika la Ndege la Ufaransa, limewasimamisha kazi marubani wake wawili wa Air-France kwa kosa la kupigana wakati wakirusha ndege ya Airbus A320 kutoka Geneva kwenda Paris mwezi Juni. Wafanyakazi...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Ofisi ya Waziri Mkuu wa zamani Mahathir Mohamad imethibitisha kuwa kiongozi huyo amekutwa na maambukizi hayo na leo asubuhi amelazwa katika Taasisi ya Kitaifa ya Moyo kwa uchunguzi kama...
0 Reactions
0 Replies
537 Views
Agosti 30, wakazi wa mji wa Jackson kwenye jimbo la Mississippi, Marekani ambao hivi karibuni walikumbwa na mafuriko, sasa wanakabiliwa na tatizo lingine la ukosefu wa maji ya bomba. Kwa mujibu...
1 Reactions
1 Replies
506 Views
Waziri wa ulinzi wa UK amesema kuwa mmpango wa Rusia wa kuongeza idadi ya wanajeshi ikijumuisha kuwabembelea wafungwa kuingia vitani hakutarajiwi kuongeza mafanikio katika mzozoz wake na Ukraine...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Video inayonyesha vikosi vikielekea kufanya counter-offensive ila mwisho wake umekuwa mbaya kwao.kwa mujibu wa vyanzo vya habari kikosi hiki asilimia 90 ni R.I.P kwa sasa. Mpaka sasa uwongozi wa...
4 Reactions
131 Replies
6K Views
Watu 18 wamekufa huku darzeni wengine wakijeruhiwa nchini Madagascar ,baada ya polisi kufyatua risasi ili kutawanya kundi la watu waliokuwa wamekasirishwa kwa kutekwa nyara kwa mtoto mwenye...
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Mpaka sasa Putin anaendelea kusaka misaada kutoka kote ili adhulumu kainchi kadogo jirani yake, lakini kila msaada anaopewa unaangukia pua, drones alizopewa na taifa la kidini la Iran zimepata...
1 Reactions
5 Replies
641 Views
Na Pili Mwinyi Pendekezo la “Ukanda Mmoja, Njia Moja” ni mpango kabambe uliotolewa na rais Xi Jinping wa China kwa ajili ya kuwa na mtandao wa reli, barabara na bandari duniani pamoja na miundo...
2 Reactions
0 Replies
617 Views
Aiseee hii habari ya Taleban imenshangaza Sana. Taleban wanataka kuongeza kikosi kingine maalum cha wanaojitoa muhanga (hawa ni wale wanaojilipua) ndani ya Jeshi Lao. Wanasema watatumika kwenye...
6 Reactions
74 Replies
3K Views
Wakati vita ikiendelea Vizuri na malengo yetu kutimia bwana Putin amemuweka Pembeni waziri wake wa Ulinzi Shoigu. Na majenerali wameanza kumruka kutoa ripoti (Chain of Command) hivyo anabaki kama...
4 Reactions
10 Replies
939 Views
Utawala wa Biden umeomba idhini Bunge la Congress kuruhusu kuiuzia Taiwan Makombora ya kuzamisha Meli, Makombora ya kulipua ndege pamoja na Rada za kisasa za uchunguzi kwenye dili la thamani ya...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom