Darya Dugina: Daughter of Putin ally killed in Moscow blast
By Leo Sands
BBC News
Published
1 hour ago
Share
Related Topics
Russia-Ukraine war
[https://ichef]IMAGE SOURCE,REUTERS
Image...
Urusi imemtuma rais wa Uturuki aongee na Zelensky watafute mbinu za kumaliza vita, hili limemshangaza sana maana siku zote ndilo lilikua ombi lake, hususan ile siku Urusi ilikua inajaribu...
Kuelekea siku kuu ya Uhuru wa Ukraine (Independence Day) nchini Ukraine ambayo itaadhimishwa tarehe 24 Agosti mwaka huu,Majeshi ya Ukraine yamevipanga Vifaru zaidi ya 450 vya Urusi vilivyoharibiwa...
Bunge la Nchi hiyo limepitisha hoja ya kutokuwa na imani na Baraza la Mawaziri la Waziri Mkuu Dritan Abazovic iliyopendekezwa na manaibu 36, kupinga kutiwa saini kwa makubaliano ya muda mrefu ya...
Msaada huo umetengwa kutoka kwenye Mfuko Mkuu wa Dharura (CERF), ili kushughulilkia hali mbaya ya Chakula nchini humo inayosababishwa na ghasia za magenge ya waasi
Ripoti ya Mashirika ya Misaada...
Russian energy giant Gazprom announced on Friday that transit of natural gas to the European Union via the Nord Stream 1 pipeline will be halted from August 31 to September 2 for maintenance.
“On...
Urusi anazidi kuingia hasara hadi kero, kila akigeuza milipuko inalipuka ghafla na kuondoka na zana za maana sana, kuna hii wanaita "legend 2" imezamishwa....
The Operational Command South unit...
Hatimaye mwanasiasa wa ngazi ya juu wa marekani ameondoka Taiwan mchana huu.
Ziara ya Pelosi ilileta gumzo duniani kote na kufuatiliwa na mamilioni ya watu ulimwenguni kote.
China imeachwa na...
Takriban watu 32 wamefariki katika matukio mawili tofauti nchini Uturuki baada ya magari kuwagonga watu waliokua wakitoa msaada kwenye ajali iliyotokea eneo hilo
Ajali hiyo ilihusisha Basi moja...
Taarifa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Fumio Kishida imethibitisha kuwa Kiongozi huyo amepima na kukutwa na maambukizi ya COVID-19, ikiwa ni wiki moja kabla ya kuhudhuria Mkutano wa Kimataifa wa...
Tamko la Putin kuhusu utayari wa Russia wa kuwapatia waitifaki wake silaha za kisasa kabisa.
Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, Moscow iko tayari kuwapatia waitifaki wake wa Amerika ya...
North Korea imemwambia rais wa South Korea afunge domo lake kufuatia rais huyo kuiomba North Korea iache silaha zake za nyuklia kisha South Korea itaipatia misaada kedekede ya uchumi. Majibu hayo...
Kama tumekuwa tukiripoti, kampuni ya nishati ya nyuklia ya Ukraine Enerhoatom imesema kwamba wanajeshi wa Urusi wanaodhibiti kinu cha nyuklia cha Zaporizhzhya huenda wanapanga kukitenganisha na...
Kama ilivyo kwa kawaida yake kwa Marekani kujipa namlaka ya kumwambia kila mtu cha kufanya na ambacho si cha kufanya. Safari hii hilo limegonga mwamba kwenye kikao cha wakuu wa nchi za SADC...
Waziri Mkuu wa Finland, Sanna Marin (36) amefanya vipimo vya kubaini kama ana vimelea vya dawa za kulevya ndani ya mwili wake, ikiwa ni siku chache baada ya video kuvuja ikimuonesha akicheza...
Rubani wawili almanusura wasababishe ajali baada ya kusinzia wakati ndege yao ikiwa angani umbali wa futi 37,000, hivyo kusababisha wapitilize njia ya kushusha ndege Nchini Ethiopia.
Baada ya...
Uturuki imesema inaingiza bachi nyingine ya S-400 toka Urusi. Marekani yalalamika na kulialia kwa nini Uturuki ichukue mfumo huo bora zaidi wa Ulinzi wa anga na kuacha yale 'mavyumavyuma' chakavu...
Bilionea wa China mwenye uraia wa Canada amehukumiwa kifungo cha miaka 13 jela nchini China na kampuni yake kutozwa faini ya zaidi ya $8bn (£6.7bn).
Xiao Jianhua na kampuni yake ya Tomorrow...
Kama adha kama dawa Sigara yazidi kufuata Vikosi vya Urusi vinavyojaribu kujichmbia ndani ndani kabisa ya Crimea kujinusuru na matumizi ya Sigara. Kwa Bahati mbaya walipo wana Z na Sigara...
Milipuko mikubwa 9 imeukumba mji wa mpakani wa Urusi wa Belgorod ambao unapakana na Urusi. Milipuko hiyo imetokea katika Kambi ya Jeshi la Urusi ambalo lilikuwa linahifadhi Silaha zinazotumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.