Istanbul, Turkey – Turkish President Recep Tayyip Erdogan will meet his Russian counterpart on Friday in Sochi, after brokering a grain shipment deal between Moscow and Kyiv and as a new Turkish...
A court in Iran on Thursday ordered the United States government to pay over $4 billion to the families of Iranian nuclear scientists who have been killed in targeted attacks in recent years...
Kuachiliwa kwa wafungwa 11 waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha maisha kwa ubakaji na mauaji nchini humo kumezusha maandamano, huku mwathiriwa wa ubakaji akitoa wito kwa Serikali kubatilisha uamuzi...
Mahakama ya Saudia imemhukumu mwanamke mmoja (Salma al-Shehab) kifungo cha miaka 34 jela kutokana na shughuli yake ya Twitter, kulingana na nyaraka za mahakama zilizoonwa na AFP siku ya Jumatano...
Msemaji wa Waasi wa Tigray, Getachew Reda ameishutumu Serikali kwa kudhoofisha juhudi za kutafuta suluhu ya amani kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo, baada ya Jeshi la kudaiwa...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu imepanga kuanza kusikiliza Kesi dhidi ya Félicien Kabuga (87) anayetuhumiwa kwa uchochezi wa mauaji ya halaiki na uhalifu dhidi ya binadamu
Alifikishwa Mahakamani...
Serikali ya Uingereza imetangaza kuwalipa fidia ya Tsh. 281,800,046 watu zaidi ya 4000 walioambukizwa Virusi Vya UKIMWI kwa uzembe wakati wakiongezewa Damu.
Watu hao waliambukizwa VVU na Homa ya...
Msemaji wa Waasi wa Tigray, Getachew Reda ameishutumu Serikali kwa kudhoofisha juhudi za kutafuta suluhu ya amani kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo, baada ya Jeshi la kudaiwa...
US officials concerned as Russia launches Iranian satellite
Media caption,
Watch: Moment Russia launches Iranian satellite into space
Russia has successfully launched an Iranian satellite into...
China imesema inaenda kufanya mazoezi ya kijeshi na Urusi yajulikanayo kwa jina la Vostok 2022, yatakayoanza ndani ya wiki mbili mashariki mwa Urusi.
Wizara ya Ulinzi ya China imesema mazoezi...
Rais wa Zambia [emoji1268] mheshimiwa Hakainde Hichilema alienda Juzi Congo kwenye mkutano wa SADC, Jana walipomaliza tu mkutano akakwea pipa akasepa. Hana tamaa za kutaka kukaa mda mrefu kwenye...
By Saba Khan
Kashmir is witnessing a number of young women turning toentrepreneurship while overcoming the challenges of rising unemploymentand a conservative societal setup.
Women are now...
Rais wa Zambia wa sasa ni mfano bora Viongozi wanaohitajika Afrika yenye utajiri unaowatajirisha walafi wachache!. Huyu mwamba Zambia na Afrika itamuimba sana siku zijazo. Aishi muda mrefu...
Aibu sana kwa super power ,
Iran has begun training Russian officials to use its advanced drones, according to the Biden administration, the latest sign that Moscow plans to use Tehran’s military...
Kila siku Korea kaskazini inajaribu kujitutumua mbele ya Marekani kwa kujaribu kuwatisha Korea Kusini na Japan kwa majaribio ya silaha za nyuklia.
Majaribio hayo yanaikera Marekani kwa kiwango...
Kamel Beldjoud ambaye ni Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo amesema watu 24 walipoteza maisha kwenye eneo la El Tarf mpakani mwa Tunisia na vifo vingine viwili vikitokea Kaskazini mwa Algeria...
Mwandishi wa vitabu na makala maarufu Profesa Salman Rushdie amevamiwa na kuchomwa kisu akiwa kwenye mhadhara na anaedhaniwa kua ni muumini wa dini ya kiislamu huko New York.
Kwa Tusiofahamu...
Wakati maandamano yakiendelea Nchini Sri Lanka inadaiwa kuwa hivi ndivyo baadhi ya wananchi walivyoamua kushusha hasira zao kwa familia ya Rajapaksa ambayo inatawala nchini humo.
Wameamua...
North Korea imefanya majaribio ya kurusha makombora ya kruizi ambayo hadi sasa Marekani na South Korea bado wanayajadili ili kujua specifications za makombora hayo.
Salamu hizo 'motomoto' toka...
UN peacekeepers 'fathered and abandoned thousands of children' in DRC
====
dailymail.co.uk
UN peacekeepers 'fathered and abandoned thousands of children' in Democratic Republic of Congo
Walter...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.