International Forum

News and Stories from rest of the World
Majiji kadhaa ya Nigeria ikiwa ni pamoja na Majimbo yake jana August 17 yaliachwa gizani baada ya wafanyakazi wa Kampuni za Usambazaji Umeme (TCN) na (AEDC) kuanza mgomo wa madai ya marupurupu...
1 Reactions
0 Replies
668 Views
Vyama vya Upinzani nchini humo vimesema kuwa vitawasilisha ombi la kutokuwa na imani na Rais Cyril Ramaphosa kutokana na tuhuma za Utekaji Nyara na Utakatishaji Fedha. Madai hayo yametolewa na...
1 Reactions
2 Replies
803 Views
Jaji Nchini Lebanon ameamuru Bassam al-Sheikh Hussein (42) ambaye alikamatwa na kuweka kizuizini kutokana na kuvamia benki akiwa na bunduki akitaka apewe fedha zake, aameachiwa huru bila masharti...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Waziri Mkuu wa sasa, Anthony Albanese anamshutumu Scott Morrison kushikilia majukumu katika Wizara 5 kwa siri, kinyume na Sheria za Nchi hiyo na kuelezea vitendo vya mtangulizi wake kama uvunjifu...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Rais wa Marekani Joe Biden ametia saini mswada wa Dola Bilioni 700 ambao unalenga kupambana na Mabadiliko ya #TabiaNchi na gharama za #Afya huku akipandisha kodi kwa matajiri. Sheria hiyo...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Tarek Amer aliyebakiza mwaka mmoja kumaliza utumishi wake kama Gavana wa Benki Kuu, amejuzulu leo na kuteuliwa kuwa Mshauri wa Rais wa nchi hiyo Abdel Fattah el-Sissi. Kujiuzulu kwa Amer kunakuja...
0 Reactions
1 Replies
882 Views
Jaman Mimi Nina swali Dogo hivi hali ya maisha huko Russia ikoje. Pro Russia najua watakua na majibu ya swali langu. Nimejaribu kutafuta toka vyanzo mbali mbali vya habari sipati kabisa. Ni wapi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Serikali ya Uingereza imeanzisha mpango unaolenga kufuta kodi ya bidhaa mbalimbali zinazoingia nchini humo kutoka nchi maskini 65 duniani. viatu, nguo na baadhi ya matunda yasiyo zalishwa nchini...
1 Reactions
8 Replies
765 Views
Rais Volodimyr Zelensky wa Ukraine amewaonya Raia kukaa mbali na kambi za Jeshi la Urusi katika Jimbo la Crimea kwani Kambi Hizo tayari zimeanza kuwekwa kwenye orodha nyekundu na Jeshi la Ukraine...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Pentagon boss gets Covid again Quadruple-jabbed Lloyd Austin tests positive again but won’t reconsider vaccine mandate US Defense Secretary Lloyd Austin has tested positive for Covid-19 and is...
0 Reactions
1 Replies
727 Views
Ukisia taifa linawekewa Sanctions na mataifa ya magharibi basi usichukue poa hata kama hilo taifa lina nguvu kiasi gani kifo chake nikifo cha kikatili kwa uchumi wake mapaka vyombo vyake vya...
13 Reactions
107 Replies
7K Views
Je, Kim Jong Un atasimama upande wa Putin? Unaonekana kuna uswahiba kati yao. Video ikirejea Siku ambayo Rais wa Urusi Vladimir Putin alivyokutana na Rais wa Korea kaskazini Kim Jong Un.
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Western wametukataza tusinunue Mafuta toka Kwa mkombozi wetu Russia isipokua nafaka tu ambazo na zenyewe tunazo kwetu tunazilima sana tu. Its too late kuinuka na kuamka sasa hivi. kuwapinga maana...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
INTRO: Takriban kilomita 180 mashariki mwa Beijing, mji mkuu wa China, kuna mji unaoitwa Tangshan, ambao ni mji mkubwa zaidi wa chuma katika Mkoa wa Hebei, unaochangia takriban moja ya nane ya...
4 Reactions
2 Replies
634 Views
Mwili wa Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uhalifu, Juan Arjon Lopez aliyetoweka Agosti 9, umepatikana ukiwa na majeraha kichwani, Kaskazini-Magharibi mwa Mexico Mwandishi huyo mwenye umri...
1 Reactions
0 Replies
647 Views
Kwamba ghala za silaha kuendelea kulipuka lipuka zenyewe ni matukio ya hujuma ndani kwa ndani. Russia has admitted that the detonation of ammunition at a military depot in the Dzhankoy region of...
1 Reactions
5 Replies
929 Views
Sigara hiyo ya hatari ambayo imefanya Urusi wanajeshi wake kuondoka Kherson Na imelipotiwa ndio iliochoma ndege za kivita na kushambulia Depot ya uhifadhi Siraha zao huko Crimea Vitisho vya...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Baraza la Uuguzi na Ukunga nchini humo, limetangaza kumchunguza Mtengeneza Maudhui wa mtandao wa TikTok, anayedaiwa kuwa Mwanafunzi wa Uuguzi baada ya kuchapisha video inayodaiwa kutishia kuua...
0 Reactions
0 Replies
828 Views
Mahakama ya juu zaidi nchini Malaysia imeeleza leo kwamba itasikiliza ombi la mwisho la Waziri Mkuu wa zamani Najib Razak la kubatilisha hukumu ya kifungo chake cha miaka 12 jela kwa tuhuma za...
0 Reactions
0 Replies
483 Views
Back
Top Bottom