Trump 'aliiba' nyaraka za siri za serikali alipohama Ikulu ya White House
Idara ya Hifadhi ya Nyaraka na Kumbukumbu za Taifa ya Marekani imetangaza kuwa, nyaraka za taarifa za siri zimepatikana...
Nadhani hili ni dili! Ukraine inapewa silaha hewa halafu wajanja wanaweka fedha mfukoni!! Kuna taarifa ilitoka kuwa ni asilimia 30 tu ya silaha zinazotolewa na nchi za magharibi kwenda ukraine...
Akiwa na watoto wake 3, Kamanda wa Kipalestina wa Kundi la Al-Aqsa Brigade, Ibrahim al-Nabulsi mwenye umri wa miaka 30 aliuawa kwa shambulizi la Anga la Jeshi la Israel akiwa Nyumbani kwake...
Biden ameidhinisha kifurushi kingine cha Silaha Kwa Ukraine cha Dola bilioni moja ($1 billion). Kifurushi hiki ni kikubwa tangu Urusi ivamie Ukraine miezi mitano iliyopita.
Kifurushi hiki kina...
Kuna kitu nimekifikiria sana
Hili Congo tupate amani kwanza inahitaji tupate kiongozi anayependwa na raia wake na kusikilizwa na raia wake maana huyo hatatufanya tuwe pamoja na kufanya shughuli...
Brittney Griner ni nyota wa kike kwenye kwenye mpira wa vikapu/basket ball huko marekani. Alikamatwa huko Urusi akiwa na madawa ya kulevya na amehukumiwa jela kifungo cha miaka kumi. Rais Biden...
Vyanzo mbalimbali vya habari wanaripoti, kutokana na vikwazo vya EU dhidi ya Russia lakini nchi hizo bado zinanunua mafuta kutoka Russia kwa siri na kadri siku zinavyokwenda ndo wanazidi kuongeza...
Waziri wa mambo ya nje wa South Afrika kamchana Blinken kuwa South Afrika na Afrika kwa ujumla hawataki siasa za kipumb2vu za Marekani za kulazimisha kuchaguliana maadui au marafiki.
Maneno hayo...
U.S.A na China ndio super power kwa sasa huku nchi hizo zikiwa ni washirika wakubwa na wawekezaji wakubwa katika Dunia karibu 80% ya uwekezaji mkubwa duniani ni kutoka nchi hizi mbili. huku...
Nigeria inadai kuwa Watumishi kutoka nchini humo wanatengwa katika nafasi mbalimbali za kazi na kupandishwa vyeo, na kulalamikia upendeleo kwa ndugu na Jamaa wa Viongozi wa Jumuiya hiyo
Kufuatia...
Ni mwendo wa kutishiana misuli na mikwara, Mchina amepiga piga mabomu kwenye bahari, ila sasa amesogezewa meli za Taiwan ole wake aguse moja, leo ndio siku ya mwisho Mchina anageuza...
Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetoa taarifa kwamba,Rais Joe Biden amepitisha msaada wa $ 1B kwa Ukraine siku ya Jumatatu. Msaada huo unajumuisha Mifumo mipya ya Maroketi (HIMARS),Maroketi 4,000 ya...
Zelesky alivyowafuta wa kwake mapro_Russia walishangilia na kumponda sana ,hawajui haya mambo ni kawaida jeshini
Kama ilivyo ada, Wizara ya Ulinzi ya Uingereza na inayosimamia ujasusi imezungumza...
08 August 2022
Havana, Cuba
Moto mkubwa, katika ghala ya kuhifadhia mafuta unaendelea kwa siku ya pili baada ya moja ya matenki ktk ghala hiyo ya mafuta kupingwa na radi.
Autoridades cubanas...
Hivi karibuni kulikuwa na mjadala mkali sana kwenye baraza la seneti. Kwenye baraza walitaka kuainisha ni watu gani hasa wana uwezo wa kupata mimba ili wanapopanga bajeti ihusianayo na masuala ya...
Vyombo mbalilmbali leo asubuhi vimereport taarifa ya uvamizi wa FBI katika jumba la aliekuwa Rais wa marekani Donald Trump. Kupitia vyanzo mbalimbali vya taarifa vimebainisha kuwa Rais huyo...
Balozi wa Myanmar Nchini China afariki Dunia, anakuwa Balozi wanne kufariki ndani ya mwaka
Balozi wa Myanmar Nchini China, U Myo Thant Pe amefikwa na mauti wakati alipokuwa katika Mji wa Kunming...
Rais Museven wa Uganda kaitolea nje Marekani baada ya rais Biden kumtuma balozi wa Marekani wa Umoja wa Mataifa, Linda Thomas-Greenfield, kwenda Uganda kumbembeleza na kumpigia magoti Museven ili...
Radi Yapiga Nje ya White House na Kuuwa Watu Wawili Hapo Hapo
Siku ya jana Radi ilishuka Nje ya White House, Ikulu ya Marekani, na kuua Watu wawili ambao ni Wanandoa walijulikana kwa majina yao...
Agosti 8, 2022 watoto huko Nantong mkoani Jiangsu China walijifunza ujuzi kuhusu kilimo katika uwanja wa mazoezi wa “shamba la furaha” katika kijiji cha Hangqiao mjini Rugao. Kwenye mapumziko hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.