International Forum

News and Stories from rest of the World
Serikali ya Nigeria imetishia kuweka vikwazo kwa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) na Trust TV kwa kile walichodai kutukuza ugaidi kutokana na kuonesha filamu kuhusu wababe wa kivita wa...
3 Reactions
2 Replies
898 Views
Toka Ussr iteteleke na kuvunjika mwaka 1991 mlifanya kuandikwa kwa historia mpya duniani, na kufanya Mataifa ya Dunia ya tatu yateseke Tanganyika ikiwa mojawapo. Mlifanya Dunia iwe na kutawaliwa...
10 Reactions
14 Replies
1K Views
Uingereza imetangaza visa vya kazi kwa wahitimu kutoka vyuo vikuu bora zaidi duniani katika upanuzi wa mfumo wake wa uhamiaji, ambao umeundwa kuvutia wafanyakazi lakini hakuna vyuo vikuu vya...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Macron akosoa 'unafiki' wa viongozi wa Afrika kuhusu vita vya Ukraine Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekosoa vikali mwitikio wa viongozi wa Afrika kuhusu vita vya Ukraine wakati wa mkutano na...
9 Reactions
57 Replies
3K Views
Maandamano dhidi ya Serikali ya Kijeshi na usimamizi wake wa mipango ya kurejesha Demokrasia yameripotiwa katika Mji Mkuu wa Guinea, Conakry na ripoti za awali zinadai mtu mmoja ameuawa na wengine...
1 Reactions
1 Replies
713 Views
Yuko live mida hii Washington DC Akiutangazia umma wa U.S kwamba ame recovery ugonjwa wa corona.anashukuru kwa maombi amewataka watu waendelee kuchukua tahadhari ili kupunguza kuenea kwa virus...
0 Reactions
5 Replies
587 Views
Utafiti kura za maoni ulifanywa na CNN umeonesha 75% ya Wamarekani wanataka chama cha Democratic kiteue mtu mwingine na sio Rais @JoeBiden uchaguzi wa 2024. Kura imefanyika wakati ambao...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakubwa huko US wanajadili kuiwekea vikwazo vikali sana Urusi, kama ikiuza makombora yake hatari ya kudungua makombora,Silaha hii ni ile inyoogopeka sana aina ya S400.Je Marekani inaogopa nini kwa...
4 Reactions
90 Replies
11K Views
Rais wa Marekani Joe Biden amemuonya mwenzake wa China Xi Jinping juu ya athari zitakazoikabili Beijing, endapo itatoa msaada wa vifaa kwa Urusi katika uvamizi wake nchini Ukraine. Biden ametoa...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Mwanaume mmoja katika maeneo ya Maryland huko Marekani amekutwa amekufa baada ya kung’atwa na nyoka aliokuwa akiwafuga. Polisi wamesema kuwa wamekuta mwili wa mwamba huyo ukiwa chini huku kukiwa...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
27 Jul, 2022 22:12 HomeWorld News German mayors want Nord Stream 2 opened Leaders of Germany’s largest island demand Berlin rethink Russia policy Berlin’s policy of trying to give up imports of...
4 Reactions
10 Replies
993 Views
Uingereza inatarajiwa kuwa na Nyuzi Joto 43C, kesho Jumanne Julai 19, 2022 ikiwa ni hali ya joto kali kuwahi kutokea katika historia ya Nchi hiyo. Mamlaka za hali ya hewa za Uingereza (MET)...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Moto wa mwituni kwenye jimbo la California, Marekani umechoma karibu kilomita za mraba 57 ndani ya siku tatu, hadi kufikia tarehe 24 asubuhi, moto huo bado haujaweza kudhibitiwa.
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Kuna nyumba nyingine sio za kuingia huko kwa Madiba. Katika eneo la Pretoria, wezi kwa jina la michomoko wamejikuta wakichapa usingizi mnono baada ya kuiba.
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Urusi wanasaka hizi silaha za HIMAS usiku na mchana maana zinawatesa zaidi ya balaa, na bado Marekani wanaendelea kuziongeza, ni aina ya silaha yenye uwezo wa maangamizi makubwa na ikipiga...
8 Reactions
47 Replies
4K Views
Putin hakutarajia haya yatafanyika alipoivamia Ukraine CHANZO CHA PICHA, REUTERS Tarehe 24 Februari 2022, Urusi iliivamia Ukraine katika hatua iliyozidisha mzozo wake nan chi hiyo Jirani...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Watetezi wa Binadamu wa Human Rights Watch( HRW) wamesema Morocco inawafunga waandishi wa habari kwa mashtaka yasiyo ya kisiasa ili kuwanyamazisha, baada ya Omar Radi na Soulaimane Raissouni...
0 Reactions
1 Replies
549 Views
Tunisia imepitisha katiba mpya, inayompa madaraka makubwa rais, baada ya kufanyika kwa kura ya maoni siku ya Jumatatu, ambayo idadi ndogo ya wapiga kura walijitokeza. Licha ya...
0 Reactions
1 Replies
578 Views
Majeshi ya Ukraine yamefanikiwa kufurusha makombora na kuharibu daraja muhimu linalotumiwa na Urusi kupeleka bidhaa muhimu kwenye jimbo waliloteka la Kherson. Lengo la mashambulizi hayo ni...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya Umma nchini humo, ambao kwa sasa wamegoma kutokana na mgogoro wa malipo yao, wamesema Sheria hiyo itajenga jamii bora kwa kuendeleza Taasisi za elimu za juu na...
0 Reactions
2 Replies
730 Views
Back
Top Bottom