International Forum

News and Stories from rest of the World
Walipua ghala la silaha wanatumia mfumo wa silaha aina ya HIMARS waliopewa na Marekani, ina uwezo wa kurusha mizinga ya masafa marefu na kutoweka kimya kimya. Ukianza kujibu pale shambulizi...
3 Reactions
9 Replies
924 Views
Waziri wa Ulinzi wa Ukraine amesema kuwa mfumo wa Ulinzi wa anga wa Israel maarufu kwa jina la Iron Dome hauwezi kuhimili kuzuia makombora ya Urusi nchini Ukraine. Waziri huyo aliyeshuhudia na...
21 Reactions
74 Replies
6K Views
Basil Rajapaksa ambaye pia ana Uraia wa Marekani amezuiwa na Maafisa wa Idara ya Uhamiaji kuondoka nje ya Sri Lanka. Bado haijafahamika alikuwa anaelekea wapi Rajapaksa alijiuzulu nafasi ya...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Huko Japan, kuna jamaa anaitwa Sun Myung Moon huyu mtu ndiye mwanzilishi wa Kanisa liitwalo Unification Church, al-maarufu kama Moonies church. Huyu jamaa na kanisa lake ndiye chanzo cha mauaji...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Hawa Warusi wamekua na commedies za ajabu, sijui wanatumia teknolojia gani hii ya hovyoo.... Kombora linarudisha salamu na kuua waliolifyatua. ===== A bizarre malfunction in mid-air lead to the...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Watu watano wameuawa, wakiwemo watoto wanne ambao walichomwa moto hadi kufa, na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo, ambao pia waliteka nyara watu wengine kadhaa katika shambulio mashariki mwa...
0 Reactions
3 Replies
647 Views
Urusi kwa mara ya kwanza imetumia bunduki maalumu ya kunasia drones. Bunduki hiyo iitwayo Stupor ukiielekeza kwenye drone na kisha kuibonyeza kizenji, inatoa mawimbi maalumu (electromagnetic...
28 Reactions
52 Replies
6K Views
Shindano la kutembea kwenye kamba angani limefanyika katika Bustani ya Kitaifa ya Misitu ya Huangshizhai huko Zhangjiajie, China. Watu 10 wameshindana kwa kutembea juu ya kamba kwa urefu wa juu wa...
1 Reactions
5 Replies
656 Views
[emoji298]️Iran to supply Russia with car parts and gas turbines in exchange for steel. Iranian Industry, Mining, and Trade Minister Reza Fatemi Amin said on May 26 that Iran would use barter...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Ukishika mpini we ndio mbabe🤣🤣🤣 Twende kazi👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 "Unfortunately, Canada succumbed to pressure and decided to return the turbine to Gazprom. This is a very bad precedent for an exemption from...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Kuanzia leo Urusi imeanza kutumia mbinu ya kivita ambayo haijawahi kutokea. Ameporomosha makombora ya masafa marefu na ya uhakika kupiga kambi kadhaa za kijeshi magharibi na kaskazini ya...
20 Reactions
103 Replies
9K Views
Afrika tunaweza Afrika kwangu ndiyo bara pekee likifanikiwa ndo tutakombowa nchi nyingine maskini kwenye mabara mengine. Haya ya kina Urusi sijui Marekani wote hawa wanapambana kwasababu ya...
0 Reactions
1 Replies
381 Views
Utajiri wa binti wa rais wa Angola Isabel Dos Santos ni binti wa kwanza wa Rais Jose Eduardo Dos Santos wa Angola na anamiliki utajiri wa kiasi dola bilioni 3.2 za Kimarekani, unaomfanya kuwa...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Rais wa zamani wa Angola, Jose Eduardo Dos Santos yuko katika hali mahututi hospitalini Jijini Barcelona Nchini Hispania, licha ya kuwa ugonjwa unaomsumbua haujawekwa wazi. Dos Santos, 79...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Watu wenye silaha wameshambulia na kuua watu 14 mapema leo, ikielezwa 12 walifariki papo hapo na wawili walipoteza maisha baada ya kufikishwa Hospitalini kwa matibabu. Vilevile, watu wengine 10...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Takriban watu 15 wameuawa na wengine takriban 20 wanahofiwa kufukiwa na vifusi baada ya roketi za Urusi kushambulia jengo la ghorofa huko Chasiv Yar, mji ulioko mashariki mwa Ukraine, maafisa...
1 Reactions
4 Replies
663 Views
José Eduardo dos Santos aliyeongoza Angola kwa takriban miaka 40, kuanzia mwaka 1979 - 2017 amefariki dunia akiwa na miaka 79 Taarifa ya kifo chake zimethibitishwa na Serikali ya Angola...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Wanakijiji wa wilaya ya Hejing mkoani Xinjiang, China walifanya sherehe ya Nadam kwa kusherehekea ufugaji bora ya mwaka huu. “Nadam” ni sikukuu ya kijadi ya kabila ya Wamongolia, maana yake kwa...
0 Reactions
1 Replies
523 Views
EU+NATO washindwa tena ktk kutekeleza vikwazo walivyokubaliana na kuviweka wao wenyewe juu ya kuminya matumizi ya gesi ya Urusi ili kuipunguzia Urusi pesa ipatazo toka kwenye biashara hiyo...
15 Reactions
29 Replies
3K Views
Mamlaka za Jiji la Macau ambapo ni Kitovu cha Kamari Duniani, imeamuru biashara zisizo muhimu, zinazojumuisha zaidi ya kasino 30, kufungwa kwa wiki moja, ikiwa visa 1,536 vya COVID19 vimerekodiwa...
0 Reactions
1 Replies
784 Views
Back
Top Bottom