International Forum

News and Stories from rest of the World
Ndio nachelea kusema kwamba Urusi anamwaga damu zisizo na hatia kwenye nchi huru ya kidemokrasia Ukraine, anachofanya Putin ni sawa na alichotaka kufanya Iddi Amini dhidi ya Tanzania kule Kagera...
8 Reactions
63 Replies
3K Views
Shujaa na Mbabe wa kivita Ramzan Kadyrov amemuomba rais Putin amruhusu aingie Kyiv na vikosi vyake matata vya wachecheni wakamalizane na mabaki ya magaidi yaliyojificha Kyiv. =====
13 Reactions
41 Replies
5K Views
Rais Vladimir Putin ametoa hotuba kali kwa wabunge la Urusi, akithubutu nchi za Magharibi kujaribu kupambana na Moscow kwenye uwanja wa vita nchini Ukraine . "Unaweza kusema nini, waache...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
Russia imeshambulia jana kwa makombora maeneo muhimu ya jiji la Kharkiv. Jeshi la anga la Ukraine likatumia mifumo ya anga ya Ukraine kudungua makombora ya Russia. Makombora ya Urusi yalipofahamu...
24 Reactions
46 Replies
4K Views
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy amemuondoa Balozi wa taifa lake Nchini Ujerumani, Andriy Melnyk siku chache baada ya kutoa kauli yenye utata. Pamoja na kusema kuwa hayo ni mabadiliko ya...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Idadi ya waliofariki katika ajali ya boti katika mji wa biashara wa Nigeria Lagos imeongezeka na kufikia 15 huku miili zaidi ikiopolewa, maafisa wa dharura wamesema Jumapili. “Kulikuwa abiria 16...
0 Reactions
1 Replies
430 Views
Takriban watu 15 wameuawa na wengine takriban 20 wanahofiwa kufukiwa na vifusi baada ya roketi za Urusi kushambulia jengo la ghorofa huko Chasiv Yar, mji ulioko mashariki mwa Ukraine, maafisa...
1 Reactions
5 Replies
735 Views
Boris Johnson aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza ametangaza rasmi kujiuzulu Bwana Johnson amesema alijaribu kuendelea kuwa madarakani na inamuuma kuona hataweza kumalizia mipango yake...
8 Reactions
190 Replies
10K Views
Mzuka wanajamvi! Uhasama wa Wa China na Japan bado unaendelea. Baada ya kifo kilichotokea juzi ijumaa cha waziri mkuu wa zamani Japan Shinzo Abe ambaye aliuwawa kwa kupigwa risasi shangwe na...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Mashambulizi makali yametokea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) baina ya Jeshi la Serikali hiyo na wanamgambo wa M23, ikiwa ni nis aa chache tangu Rais wa DRC, Felix Tshisekedi...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Mkuu wa polisi wa mkoa wa Nara nchini Japan alisema "anachukua jukumu" la mauaji ya Shinzo Abe, waziri mkuu wa zamani wa Japan, ambaye aliuawa siku ya Ijumaa wakati wa hotuba. Chifu Tomoaki...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Turkey's inflation soars to 36%, setting a new record for Erdogan era. Istanbul (CNN Business)Turkey's annual rate of inflation has hit a 19-year high as a currency collapse sends the cost of...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimeona Warusi wamefurahia sana Mr Boris kujiuzulu wengine wanamtania wanasema akawe Governor wa Snake island kule Ukraine.
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Moscow imekamilisha maandalizi yake ya hatua za kukabiliana na Lithuania na Umoja wa Ulaya kuhusiana na kuzuia usafiri wa kwenda Kaliningrad na itaanza kuzitekeleza ikiwa hali haitakuwa sawa...
6 Reactions
29 Replies
3K Views
Leo nilikuwa zangu uko Facebook si ndo nikakutana na post hii. Naona watu wanalalamika na sio hiyo tu ni post nyingi nimekutana nazo za kuhusu huyu Moise Katumbi Watu wanalalamika kwanini Moise...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Rais wa Sri Lanka kakimbia baada ya kutangaza nchi yake imefirisika Maelfu ya Waandamaji katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Colombo wamevamia Makazi rasmi ya Rais Gotabaya Rajapaksa. Maandamano hayo...
9 Reactions
61 Replies
4K Views
Hii ilifanyika 2021 The Russian president has signed legislation that gives him the right to run for two more consecutive terms. The constitutional amendment was approved by referendum last year...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Huko Canada, kuna ubunifu mpya ambapo mtu anaweza kuchagua aina ya mti au maua yatakayooteshwa juu ya masalia ya mwili wake baada ya kifo. Kampuni moja imebuni makasha maalum biodegradable ambayo...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Mtuhumiwa wa mauaji ya Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe, amedai kuwa silaha aliyotumia aliitengeneza nyumbani na alitengeneza nyingine kadhaa za aina hiyo. Polisi wa Nara Nishi wamesema...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa kifupi Biden hajaropoka TU,Bali amejikuta akitoa Siri kwa kukosa kifua. Ni kama yule Rais alosema wanajeshi wakiwa vitani halafu akatokea msaliti wanajeshi humshughulikia.mda mfupi baadae...
14 Reactions
41 Replies
4K Views
Back
Top Bottom