International Forum

News and Stories from rest of the World
Mabaki ya kale 13,000 ya kitamaduni yamegunduliwa kutoka katika mashimo sita kwenye eneo jipya la kazi ya ufukuaji katika eneo la mabaki ya kale la Sanxingdui nchini China. Taasisi ya Utafiti wa...
2 Reactions
3 Replies
632 Views
Juan Guaidó ambaye aliungwa mkono na mataifa ya Ulaya mwaka baada ya kushindwa uchaguzi mkuu wa Urais na Nicolaus Maduro aliungwa mkono na mataifa yakimagharibi kuanzia Marekani na washirika wake...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Wananchi wameshauriwa kupunguza unywaji wa chai ili kusaidia Uchumi wa Nchi. Waziri wa Mipango na Maendeleo, Ahsan Iqbal ametoa wito huo akisema, "Tunakopa ili kuagiza Chai, kunywa vikombe...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
This is a one minute surveillance video (below) from a private home doorbell camera portraying some of the nearly 200 shots fired in NW Miami Dade,Florida. The shooters killed one and wounded...
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Afrika Mashariki lilifunguliwa mjini Addis Ababa, nchini Ethiopia. Tamasha hilo litafanyika kwa siku kadhaa na kuonesha thamani ya sanaa na utamaduni ya watu wa...
1 Reactions
8 Replies
641 Views
Rais wa China, Xi Jinping ameahidi kuendelea kumuunga mkono Rais wa Urusi, Vladimir Putin katika masuala ya msingi hasa Uhuru na Usalama. Kauli hiyo imetolewa baada ya viongozi hao kuzungumza kwa...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) wameidhinisha Uganda kutuma bidhaa za bangi barani Ulaya, gazeti la Daily Monitor linaripoti. Bangi itakayotumwa kwenye soko la Ulaya hata hivyo si kwa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani. Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri. Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya...
42 Reactions
346 Replies
24K Views
Serikali ya Malawi itaokoa TZS milioni 608.13 kutokana na kufutwa kwa safari mbili za Rais Lazarus Chakwera kama sehemu ya hatua za serikali za kubana matumizi. Rais Lazarus hatahudhuria mkutano...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Hali imezidi kuwa mbaya nchini India dhidi ya kitisho cha Ugaidi baada ya Putin Kuilaani India kutokana na kauli ya kiongozi wa chama tawala nchini humo dhidi ya Mtume Mohammad. Tunasemaga kila...
6 Reactions
53 Replies
6K Views
Mwanajeshi huyo aliyeenda pamoja na Sniper Wali anasema ilikuwa ni majanga matupu...ilikuwa kila siku rafiki zake wanajeshi wa kigeni wanauawa...yeye akaamua kuachana na kwenda front line...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Wizara ya ulinzi ya urusi imetoa saa 24 kufikia kesho June 15 wanajeshi Wa Ukraine waweke silaha chini na kujisalimisha. Ikumbukwe Hawa wanajeshi wanawashikilia raia 800 katika kiwanda na urusi...
21 Reactions
75 Replies
5K Views
Duniani kuna vituko. Huko Kansas Marekani, mhudumu mmoja wa kike (pichani) mwenye miaka 26 amefikishwa mahakamani kwa kosa la kufanya ngono na maiti alizotakiwa kuzifanyia uchunguzi, na...
0 Reactions
103 Replies
16K Views
Style ya Uchezaji wa Putin, haina utofauti na ya marehemu mzee wetu Magufuli. Cheki hii video
8 Reactions
68 Replies
5K Views
Watoto wanne kati ya watano wa Ukanda wa Gaza wanatatizo la msongo wa mawazo, huzuni na hofu ambayo imewatawala kwa miaka 15 waliyozungukwa na zuio la Israeli Ripoti ya Shirika la Save the...
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Ufaransa ilikuwa mwanachama wa NATO mpaka mwaka 1966 ilipoamua kujitoa na kubaki Neutral state huku wanachama wote wakibariki maamuzi hayo hatukuona Makombora ya Iskander yakivurumishwa Paris...
14 Reactions
78 Replies
5K Views
Tukio la kustaajabisha limetokea India ambapo tembo alimuua Maya Murmu, mwanamke wa miaka 70 aliyeenda kutafuta maji huko kijijini Raipal, Mashariki mwa India. Tembo huyo alitokea na kumshambulia...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Hangzhou: Mpishi roboti apika chakula kwa wateja
0 Reactions
3 Replies
580 Views
JUST IN: Iranian Air Force IRGC officer killed in a car accident during a mission. Is the Mossad behind it? I guess we will never know.
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Katika Kituo cha reli cha Brussels Kusini nchini Ubelgiji, abiria wanatumia baiskeli za kuchaji vifaa vya elektroniki vya mkononi kama vile simu za mkononi, kompyuta za mkononi au kompyuta ndogo
0 Reactions
0 Replies
492 Views
Back
Top Bottom