Signs of the time (Left to Right): Ghana Vice President Kwesi Amissah-Arthur, Ethiopian Prime Minister Desalegn (2nd left), President Kagame (C) Mrs Jeannette Kagame, and Azeb Mesfin Haile, former...
Huko mwanzoni mwa vita Putin alikuwa anatoa sababu mbalimbali zikiwemo kuiondoa madarakani serikali ya watumia madawa ya kulevya, wanazi, na kuizuia Ukrain isijiunge Nato + EU nk.
Imeripotiwa...
Marekani yasema kuwa Russia inatumia silaha za siri za kielectroniki ambazo zinaingilia mifumo ya kielectroniki ya mawasiliano, GPS n.k. ya majeshi ya Ukraine na hatimaye mifumo hiyo yashindwa...
Vita vimeiharibu vibaya Ukraine, sasa Poland imeikatia mafuta ya bure.
Wakati nchi za Ulaya zikiendelea kudai kuwa ziko pamoja na Ukraine kwa hali na mali na kwamba ziko tayari kuisaidia nchi...
Huyu sasa ndio supa power achana na russia alie tuvunja mioyo yetu. ....
katika tukio la kuonesha ubavu wakati kuna wasiwasi kwamba Korea Kaskazini inajitayarisha kufanya jaribio la nyuklia...
Wanasayansi wanasema mvua katika Mji wa Mariupol inaweza kusababisha mlipuko wa kipindupindu kutokana na Mifumo ya maji kuharibiwa kutokana na mapigano yanayoendelea kati ya Ukraine na Urusi
Meya...
Kramatorsk. Vikosi vya Russia vinavyohusika katika mapigano makali mashariki mwa Ukraine vimeuteka mji wa kimkakati wa Lyman na kuzingira kituo kikuu cha viwanda, Moscow imedai.
Hata hivyo Ofisa...
Vikosi vya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) vimeishutumu Rwanda kwa kutuma vikosi maalum kwa kujificha katika ardhi ya nchi hiyo, huku mzozo unaoendelea baina ya nchi hizo...
Jeshi la ukraine jana limefanya shambulio baya sana kwenye mji wa luhansk na kuua wagner mercenaries 250-300
Huku akibakia mmoja tu ambae amechukua video hii huku akilia
video yao kabla...
Jameni Warusi wanalo, ni mwendo wa nchi kusimamiwa kijeshi, ujikune uone.
Kule Ukraine wanajeshi Warusi wanauawa kwenye vita visivyokua na umuhimu wowote kwa nchi, huku ugumu wa maisha ndani ya...
Hawa jamaa hawataki utani kabisa, baada ya Cocacola kususa na kusepa wakaanzisha yao.
Sasa wameanzisha MacDonald food chain yao na inafanya poa sana, hii inareplace MacDnald ya US iliyosepa...
Hofu imetanda kuwa Wa Afghan waliokimbilia UK kwa kuukimbia utawala wa kiisalm wa TALIBAN ndi watakuwa mstari wa mbele kupelekwa Kigali. Hii inaweza kuashiria kuwa Uk inahofia uwepo wa watu hawa...
Aliyekuwa Jenerali wa jeshi la Ethiopia ambaye alikamatwa katika oparesheni ya kutekeleza sheria, mnamo mwezi uliopita, kwa kuwa polisi walimshuku kwa kujaribu kutengua utaratibu wa kikatiba...
Utawala wa Rais Joe Biden utaondoa Kanuni ya upimaji wa COVID-19 kwa Wasafiri wa Anga wanaoingia kutoka nje ya Nchi kuanzia Juni 12, 2022. Hatua hiyo itaondoa moja ya vizuizi vya muda mrefu vya...
Waingereza wawili na mwanamume mmoja wa Morocco waliokamatwa na vikosi vya Urusi nchini Ukraine wamehukumiwa kifo, shirika la habari linalomilikiwa na Urusi RIA Novosti linaripoti.
Aiden Aslin...
A Bizarre Episode in Recent History
On Nov 21, 1979, thousands of people surrounded the American Embassy in Islamabad and eventually destroyed the entire compound, killing a number of civilians...
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeichagua Msumbiji kuwa mwanachama asiye wa kudumu wa Baraza hilo kwa muhula wa miaka miwili kuanzia Januari 2023
Nchi nyingine zilizochaguliwa ni pamoja na...
Hali ya COVID 19 Kwa kiwango kikubwa imeendelea kupungua. Na ndio maana wenye kukumbwa sana na janga hili wameendekea kutafiti na kuweka kumbukumbu mzuri zinazowasaidia kuwa na maamuzi.
Kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.