Nilichogundua hoja za vita ya Russia na Ukraine kwa Tanzania hatuna watu wengi wajuzi wa siasa za kimataifa wala upinzani wanaweza local politics tu.
Huoni Tundu Lissu au Mbowe wala Godbless...
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amezishutumu nchi za Magharibi kwa woga, wakati ambapo nchi yake inapambana kuzuia uvamizi wa Urusi.
Akilihutubia taifa jana usiku baada ya Rais wa Marekani...
Ukraine ni Taifa kubwa kwa eneo uk ilinganisha na mataifa mengine ndani ya Ulaya, Ispokuwa Urusi ambayo Nusu ni Ulaya na Nusu ni Asia,
Ukraine ni nchi miongoni Mwa zenye wasichana warembo zaid...
Marekani imesema itatoa kiasi cha hadi dola milioni 10 kwa atakaetoa habari kuhusu watu 6 wanaotambulishwa kuwa ni maafisa wa ujasusi wa Jeshi la Urusi, wanaodaiwa kuwa waliendesha mashambulizi ya...
Baada ya figisu figisu za muda mfupi kumzuia mkurugenzi mkuu wa kampuni ya space X na mtu tajiri zaidi duniani kwa paper assets bwana Elon Musk hatimaye amefanikiwa kuununua mtandao wa twitter...
Marekani na Nato wamemponza mwenzao, utampelekeaje Zelensky silaha na mindege! Ona sasa kilichomkuta huyu Comedian....hapa BlackPanther anahesabu siku za kuimega ukraine,
Nawasubiri pro...
Poland ramps up reverse gas supplies from Germany
Russia’s Gazprom closed taps after Warsaw refused to pay for deliveries in rubles
Underground gas storage belonging to PGNiG company in Kosakowo...
Poland ramps up reverse gas supplies from Germany
Russia’s Gazprom closed taps after Warsaw refused to pay for deliveries in rubles
Underground gas storage belonging to PGNiG company in Kosakowo...
Waumini 20 wa Kiislamu wameuawa katika eneo la Amhara nchini Ethiopia katika matukio tofauti, moja likiwa kuviziwa na watu wasiojulikana wenye silaha, wakitoka msibani Aprili 26, 2022
Inaelezwa...
Kuna msemo maarufu wa waingireza usemao "history repeats itself"
kwa ninavyoona majeshi ya Urusi huko Ukraine huenda yakatumia miaka 40 kwenda Kyiv kama wana wa Israel walivyotumia miaka 40...
Japo watu wengi walikuwa wanafahamu kuwa lengo la Urusi tangu mwanzo ilikuwa ni kuidhoofisha Urusi kiuchumi na kijeshi Walikuwa wanafanya kama siri fulani. Kwa sasa wanasema kwa wazi lengo hilo...
Huwezi kuwaelewa wanasiasa! Jana Bulgaria iliamua kuachana na gesi toka urusi ambayo kimsingi ina bei ndogo na kuamua kutumia gesi toka Azerbaijan ambayo kimsingi inauzwa kwa bei ya juu zaidi...
Hii inamaana itakuwa rahisi kwa Maadui wa Urusi kuingia na kutoka Urusi kwa wakati wote.
Kituo Cha Siri cha Jeshi la Urusi kinachohusika utafiti wa Makombora kimeungua na moto watu 5 wakifariki...
Makamu wa Rais wa USA Kamala Harris tests positive with Corona virus …
=======
(CNN)Vice President Kamala Harris tested positive for Covid-19 on Tuesday after returning from a weeklong trip...
Kampuni ya usafirishaji ya Uber imekubali kulipa faini ya dola milioni 26 za Australia ($19m) kwa kuwahadaa wateja wao, kwa kuonya kwamba wanaweza kutozwa ada ya kughairi ‘cancellation fee’ na kwa...
KISSINGER AMEONEKANA CHUMBANI KWENYE MITAMBO YA VITA YA MAREKANI AKICHEKAA
🔷 Kissinger: World War III will come and Muslims will turn to ashes ...
Former US Secretary of State Henry Kissinger...
Hebu piga mahesabu wewe ndio Rais wa nchi yoyote ile halafu itokee nchi nyingine jirani inataka kuchukua maeneno yako kwa lazima I mean Vita.
Yaani assume hapa Tanzania nchi majirani mojawapo...
Shirika la misaada katika eneo lenye vita la Darfur, limesema Aprili 24 2022 yaliibuka mapigano kati ya waarabu na wasikuwa waarabu magharibi mwa Darfur, na kusababisha vifo na majeruhi...
Mzuka wanajamvi.
Mods usiunganishe uzi.
Ukraine, Georgia na Moldova ni mataifa ulaya ambayo yalikuwa kwenye mchakato wa kujiunga na European union.
Licha ya bado kutojiunga lakini Raia wake...
Umoja wa mataifa UN mara nyingi umeomba vita baina ya Urusi na Ukraine visitishwe haraka.Papo hapo kila leo Marekani na Uiengereza wanatoa ahadi za wazi wazi za kupeleka silaha kwa Ukraine ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.