International Forum

News and Stories from rest of the World
Afrika imekumbwa na msururu wa mapinduzi ambayo yanatishia kuirudisha nyuma miaka ya 1980 na enzi za utawala wa kijeshi. Burkina Faso, Chad, Guinea, Sudan na Mali zote zimeshuhudia serikali...
1 Reactions
4 Replies
621 Views
Nimetafakari na kugundua silaha zinazopelekwa Ukraine ni nyingi sana. Nimesoma Ujerumani wanasitisha kuendelea kumsaidia maana wataishiwa silaha wamebakiza akiba. Mchambuzi mwingine anasema hats...
6 Reactions
45 Replies
3K Views
Hapa Ukraine ajiulize mara mbili anasaidiwa au anaangamizwa ,haiingii akilini mtu anakula mboga saba alafu anakupa kipande cha silesi eti kakupenda , Kwa kamsaada hako usitegemee utamshinda Russia...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Tokea ipate uhuru Pakistan hakuna waziri mkuu aliyedumu kwa mda wa miaka 5, wengi wao ni miaka 4, 3 au siku kadhaa tu, hii inatokana na mfumo wao wa bunge ambao Mara nyingi unamuwih vigumu kwa...
2 Reactions
7 Replies
793 Views
Serikali ya India ipo katika mchakato wa kuweka utaratibu utakaoiwezesha kulipia nishati ya mafuta moja kwa moja kutoka urusi kwa kutumia sarafu yake (rupee) na sarafu ya Urusi (ruble) ili kuweza...
16 Reactions
84 Replies
8K Views
Mgonjwa wa pili aliyekuwa anaugua Ugonjwa wa Ebola amefariki dunia huko Kaskazini Magharibi mwa DRC. Taarifa hiyo imetolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO), ikiwa ni siku chache baada ya mlipuko...
1 Reactions
0 Replies
593 Views
Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amemwambia mwenzake Volodymir Zelensk wa Ukraine kwamba taifa lake lipo tayari kutoa kila usaidizi katika mchakato wa majadiliano kati ya Urusi na Ukraine...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Jumuiya ya kimataifa imeelezea wasiwasi mkubwa juu ya ghasia zinazoendelea mjini Jerusalem, siku moja baada ya makabiliano baina ya polisi wa Israel na Waplestina kujeruhi watu zaidi ya 200...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Msemaji wa chama cha Tigray People's Liberation Front (TPLF),alikaririwa na vyombo vya habari akidai Aprili 25, 2022 majeshi yao yaliondoka Mkoani Afar, akiongeza kuwa anatumai kwamba msaada wa...
2 Reactions
1 Replies
559 Views
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amemueleza Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz kuwa nchi yake haitaki vita barani Ulaya. Viongozi hao wawili walikutana jana mjini Moscow ikiwa ni juhudi za hivi...
6 Reactions
34 Replies
3K Views
Wengi uwenda hawato amini na uwenda wengi watafikiri ni uchawi ila jambo zito kutoka ndani ya Russia Federation lita iyacha dunia midomo wazi na vita kusimama. Habari ambazo sio Rasmi upo...
15 Reactions
176 Replies
11K Views
SAN FRANCISCO, April 25, 2022 /PRNewswire/ -- Twitter, Inc. (NYSE: TWTR) today announced that it has entered into a definitive agreement to be acquired by an entity wholly owned by Elon Musk, for...
1 Reactions
4 Replies
552 Views
Urusi iko Ulaya kwanini huwa haitaki kujiunga na Jumuiya ya Ulaya? Sababu nchi za kiafrika hujiunga jumuiya ya Umoja wa nchi za kiafrika za kiarabu hivyo hivyo nk kuliko Urusi? Wajuzi njooni mjibu
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Report ya kinacho endelea huko ukrine kwa mheshimiwa zelensky Ni siku kadhaa tangu kuanza kwa operation phase ii .... Huko Ikulu ya Kremlin , ambapo amezuru waziri wa Ulinzi Jenerali Shoigu na...
17 Reactions
37 Replies
3K Views
Inasikitisha sn nchi iliyokuwa na bandari yake wanalima wana export nje mazao leo kuanza maisha bila bandari, maana nnasikia puttin anataka kuunganisha huo mji wenye bandari uwe sehemu ya donbass.
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa kweli Urusi imefikia kiwango kipya cha aibu, mpaka wanapokea misaada ya silaha kutoka kwa waasi, kainchi kadogo Ukraine kamekua mfupa uliomshinda fisi.... Iranian networks have been working...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Read and see photos below: If you think eating pig is strange, you've never been to Cameroon, Nigeria, Ghana, or Gabon, where people market and buy bushmeat for human consumption and other...
1 Reactions
3 Replies
869 Views
Wasalaam, Nahitaji kujua kwanini Ukraine haishambulii moja kwa moja kwa makombora yake na kupiga maeneo mbalimbali ya Russia! Asanteni.
5 Reactions
109 Replies
6K Views
Serikali ya shirikisho la Urusi inaandaa kura ya maoni itakayolifanya jimbo la Kherson kuwa nchi kamili Mpaka sasa kura hiyo inatarajiwa kuungwa mkono na wapiga kura zaidi ya 95% kutokana na...
29 Reactions
140 Replies
10K Views
Kura za awali na matarajio yaliyopo yanaonyesha Rais Emmanuek Macron anaekekea kutetea kiti chake kwa ushindi unaotegemewa kufikia 58.2% dhidi ya Marine Le Pen. Source: BBC
2 Reactions
5 Replies
697 Views
Back
Top Bottom