International Forum

News and Stories from rest of the World
Mkutano wa 15 wa kilele wa viongozi wa nchi zilizosaini makubaliano ya bioanuwai (COP 15) umefanyika hivi karibuni katika mji wa Kunming, mkoani Yunnan, China. Rais Xi Jinping wa China alishiriki...
1 Reactions
2 Replies
655 Views
Makundi yanayotetea demokrasia katika taifa la kusini mwa Afrika, Eswatini, yanaeleza kwamba serikali imepeleka wanajeshi na polisi katika shule ambazo wanafunzi wamekuwa wakiendelea na maandamano...
3 Reactions
36 Replies
3K Views
Mamlaka za Afya Mashariki mwa Taifa hilo zimeaza kampeni ya utoaji wa Chanjo ya Ebola baada ya kifo cha Mtoto wa miaka miwili kuibua hofu ya kutokea Mlipuko mwingine mkubwa. Watumishi wa Afya...
0 Reactions
0 Replies
927 Views
King Mswati III wa eSwatini amewazawadia wakeze (zaidi ya 10) magari mapya aina ya Rolls-Royce. Hatua hiyo imekosolewa kutokana na nchi hiyo kuwa na hali mbaya kiuchumi. Mwaka 2009 Forbes ilimtaja...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari mpya kutoka kwa POPE Francis kuhusu scandals zinazoendelea huko . Tumeona mengi na tutaendelea kuona mengi zaidi. ======= Pope Francis has admitted that clerics have sexually abused nuns...
5 Reactions
78 Replies
10K Views
Raisi wa mpito wa Guinea aliyetwaa madaraka baada ya kufanya mapinduzi nchini Guinea, ameanza kutoa masomo ya kizalendo kwa taifa hilo, Afrika na duniani kote. Siku ya Ijumaa, Kanali Doumbouya na...
15 Reactions
29 Replies
2K Views
Marekani imesema itafungua Mpaka wake wa Ardhi na Mataifa ya Mexico na Canada kuanzia Novemba kwa Wasafiri waliopata Chanjo dhidi ya CoronaVirus. Taifa hilo lilibana masharti ya kusafiri kutoka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nigerian doctor, Dr. Richard Okoye rejected an offer of 20 million US dollars from a corporate group in Dubai in 2012 who wanted to take over his “Save A Life” mission in 2012 and yet went on to...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Baada ya kuchezea kipigo cha Wapalestina Gaza, Israel iliiomba Marekani iingilie kati Jun 06, 2021 02:31 UTC Gazeti moja la Kizayuni limefichua kuwa, utawala haramu wa Israel uliiangukia miguuni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
56 Reactions
424 Replies
85K Views
Mzuka wanajamvi! Hizi ajali za ndege binafsi na Helicopter zinaua sana matajiri sasa hivi. Ajali mbaya ya ndege binafsi The single-engine Cessna P210N ilianguka DeKalb-Peachtree Airport...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Washington Post: Ukoo wa Aal Saud ulimpa zawadi 'feki' Donald Trump Oct 12, 2021 02:30 UTC Gazeti la Washington Post la nchini Marekani limefichua kuwa, familia ya kifalme ya Saudi Arabia ilimpa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Hawa taliban walifikiri kuongoza nchi ni sawa na kuvaa kanzu, vilemba, kubeba bunduki na kupiga hovyo? Unambiwa sasa wanadaiwa mabilioni yanayotokana na malipo ya bill ya kununu umeme toka kwa...
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Israeli Government on Monday approved the appointment of the clandestine security agency Shin Bet new Director, Ronen Bar. Ronen Bar, 55, holds a Bachelor’s Degree in Political Science and...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Antonio Guterres amekosoa ahadi hewa zilizotolewa na Taliban kwa Wanawake na Wasichana wa Afghanistan, akihimiza Mataifa kutoa fedha kwa Nchi hiyo ili kuepusha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika Ripoti iliyotolewa leo, Wabunge wameikosoa Serikali kwa namna ilivyoshughulikia mlipuko wa CoronaVirus katika hatua za mwanzo, ikisema ilishindwa kuchukua hatua za haraka na kupelekea...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Mkutano wa mwaka 2021 wa Shirika la fedha la Kimataifa IMF na Benki ya dunia unafanyika wiki hii (Oktoba 11 - Oktoba17) mjini Washington nchini Marekani. Kama kawaida mkutano huu unakutanisha...
0 Reactions
0 Replies
473 Views
Gavana wa jimbo la California Gavin Newsom amesaini sheria inayopiga marufuku utoaji wa mipira ya kondomu bila makubaliano iliyowasilishwakatika muswada ulioitwa "stealthing". Sheri ampya...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Takriban Wiki 11 baada ya Rais Kais Saied kumfukuza kazi Waziri Mkuu na kusitisha shughuli za Bunge, kitendo kilichofanya ashikilie Madaraka yote, Taifa hilo limetangaza Serikali mpya Waziri Mkuu...
0 Reactions
1 Replies
823 Views
Muqawama wa Palestina wafanyia majaribio kombora jipya Chaneli ya televisheni ya Quds imetangaza kuwa muqawama wa Palestina umefanyia majaribio kombora jipya katika kujizatiti na kuimarisha zaidi...
0 Reactions
0 Replies
588 Views
Back
Top Bottom