International Forum

News and Stories from rest of the World
However disturbing it might be,Australia Health Minister has openly said, ‘we’ve got to accept that the the New World Order is here.He said this as harsh COVID lockdowns are being imposed in...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtaalamu wa Masaji (anayewafanyia Watu massage) Julian Roddis wa Uingereza amehukumiwa miaka minne Jela kwa kosa la kutumia camera ya siri iliyofichwa kwenye saa yake kuwarekodi Wateja Wanawake...
8 Reactions
70 Replies
8K Views
Kukamatwa kwa mfanyabiashara mwenye uraia wa Haiti ambaye anaishi Florida ambaye vyombo vya usalama vinadai kwamba ni mhusika mkuu wa mauaji ya aliyekuwa raisi wa Haiti, kunazidi kuongeza maswali...
7 Reactions
10 Replies
2K Views
Polisi nchini Ethiopia imesema imegundua kaburi la watu wengi lililokuwa na miili ya watu takriban mia mbili karibu na mpaka kati ya majimbo ya Oromia na Somali. Mamia kwa maelfu ya watu...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Maandalizi ya kuizika miili ya takribani watu 832 waliofariki baada ya nchi ya Indonesia kukumbwa na tetemeko la rdhi pamoja na Tsunami yaanza > Hapo awali kikosi maalumu kilielekezwa kuandaa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Shughuli imeanza kutokome magaidi
2 Reactions
57 Replies
5K Views
Mke wa Rais wa Ghana, Nana Akufo-Addo, Rebecca Akufo-Addo, amesema atarudisha kiasi chote cha fedha alichowahi kupokea kama posho tangu mumewe aingie madarakani mwaka 2017. Hatua yake hiyo...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadukuzi wanaodhaniwa kuhusika na shambulio la kimtandao wamedai malipo ya dola milioni 70 (sawa na Tsh. bilioni 162 na milioni 330) ili kufungulia mifumo waliyodukua. Madai yao yaliwekwa wazi...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Takriban watu 38 wamefariki dunia kwa kupigwa na radi ambapo 11 kati yao walikuwa wakipiga picha (Selfie) katika jengo la Kitalii la Amber Fort wakati mvua inanyesha Katika matukio mengine, watu...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Russian armored vehicles managed to besiege an American military patrol in the Al-Hasakah countryside of northeastern Syria after a hot pursuit, while a Russian officer addressed the U.S. military...
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Mheshimiwa Rais Joseph Biden wa Marekani amemteua Bibi Kilolo Kijakazi kuwa Kaimu Kamishna wa Shirika la Hifadhi ya Jamii, Social Security Administration. Uteuzi wa Mama Kijakazi unafuatia...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Rais wa Haiti, Jovenel Moïse ameuawa katika shambulio lililotokea kwenye makazi yake huku ikielezwa Mkewe amejeruhiwa Taarifa za kifo chake zimetolewa na Waziri Mkuu wa Mpito, Claude Joseph...
8 Reactions
65 Replies
9K Views
Wanajamvi habari za weekend Maafisa wa karibu ya ikulu Haiti Wako kizuizini wakihojiwa. Ni Jean Liguel Civil. Huyu alikuwa mkuu wa Rais Jovenel Moise security Coordinator. Anabinywa sasa hivi...
9 Reactions
23 Replies
4K Views
Deal done,SADC mpooo? Mpompo tu kama popo!!
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameongeza wiki mbili nyingine za “lockdown” kama njia mojawapo ya kupunguza maambukizi ya Covid- 19 nchini humo. Hatua hiyo imekuja kutokana na kuongezeka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tanzania imeridhia Mkataba huu wa mwaka 1976, na hivyo kama ilivyo kwa Mataifa mengine inawajibika kisheria kufuata masharti ya Mkataba huo Aidha, Kifungu cha 19 cha Mkataba huo kinazungumzia...
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Hatimaye mamlaka ya udhibiti wa dawa nchini Cuba imetoa ruhusa ya dharura kwa matumizi ya Chanjo iliyozalishwa locally nchini Cuba. Hongera kwa kujitambua CUBA! ===== Cuba begins mass Covid-19...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Ofisi ya Waziri Mkuu nchini Rwanda imeamuru kufungwa kwa shule na vyuo vikuu na kuzuia mikutano na mikusanyiko yote ya kijamii, kuanzia Julai 1. Zuio la kutotoka nje kuanzia saa 1 jioni hadi saa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Polisi nchini Bangladesh wamemkamata mfanyibiashara anayemiliki kiwanda cha kutenengeneza juisi, siku moja baada ya familia za waathiriwa wa moto uliosababisha vifo vya watu 52 kwenye kiwanda...
1 Reactions
3 Replies
856 Views
Nchi ya China imesema mpango wake wa kutumia mwezi wake binafsi (Chinese's moon) 🌕 Mpango wa China kuanza kutengeneza mwezi wake binafsi ushaanza na China inategemea mwezi huo utakamilika mwaka...
13 Reactions
128 Replies
10K Views
Back
Top Bottom