Habari!
Marekani imeiondolea Korea Kusini vizuizi ama ukipenda waweza kuita vikwazo vya muda mrefu (miaka 42) juu ya uwezo wake wa kutengeneza makombora. Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in...
Aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasilisha kesi dhidi ya Kampuni kubwa za Teknolojia za Google, Twitter na #Facebook pamoja na Watendaji Wakuu wake kutokana na marufuku aliyowekewa...
Thousands of jubilant England fans gave up on wearing face masks and caring about social distancing in the fight against Covid last night as they poured out of Wembley following the Three Lions’...
ilifeli Vietnam, Iraq, na sasa Afghanistan
Over 1,000 Afghan troops flee Taliban into Tajikistan
More than 1,000 Afghan troops fled into neighbouring Tajikistan on Monday following clashes with...
Burundi ambayo inatarajia kufanya Uchaguzi Mkuu Mei, 20 mwaka huu imeonya kuwa kama Jumuiya ya Afrika Mashariki itatuma Wachunguzi, watawekwa karantini ya lazima kwa siku 14
Hii inamaanisha...
Wakati hali ya joto ambayo imetajwa kuvunja rekodi ikiendelea Nchini Canada, Polisi huko British Columbia imepokea ripoti za takriban vifo 70 vilivyotokea ghafla tangu Jumatatu.
Imeelezwa, wengi...
Habari hii hapa chini kuhusu ongezeko la maambukizi mpya ya corona huko Israeli, nchi iliyochanja raia wake wengi kiasilimia kuliko nchi nyingine yeyote duniani, inaonesha jinsi ambavyo Magufuli...
Twitter is in uncharted waters in one of its largest markets.
The social media company no longer has immunity over content posted on its platform by third parties in India, according to a court...
Waziri Mkuu wa Haiti Joseph Jouthe alijiuzulu kutoka wadhifa wake ambapo maandamano ya ghasia yamekuwa yakiendelea kwa kipindi cha miezi 6 iliyopita.
Kulingana na ripoti ya Sputnik, wakati Jouthe...
Bidhaa 20 za sayansi na teknolojia kutoka Iran zasajiliwa Kenya
Bidhaa 20 za sekta za sayansi na teknolojia kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimesajiliwa nchini Kenya na hivyo zinaweza kuuzwa...
PICHA: Waziri wa zamani wa DR Kongo Matata Ponyo Mapon
Seneti huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemuondolea kinga ya kushtakiwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Matata Ponyo Mapon, hatua...
PICHA: Karim Keita Mtoto wa Rais wa zamani wa Mali
Shirika la Interpol limetoa hati ya kimataifa ya kumkamata Karim Keita, mtoto wa rais wa zamani wa Mali, Ibrahim Boubacar Keita, akihusishwa na...
Mpinzani wa zamani wa Urais wa Taifa hilo, Viktor Babaryko, amehukumiwa kifungo cha miaka 14 jela baada ya kukutwa na hatia kwenye mashtaka ya kupokea rushwa na utakatishaji fedha.
Babaryko ni...
Waandaaji wa Olimpiki walitangaza watawaruhusu watu 10,000 tu au asilimia 50 ya uwezo wa ukumbi kuingiza watu katika hafla zote
Idadi ya watazamaji katika hafla ya ufunguzi wa Olimpiki ya Tokyo...
Wizara ya Ulinzi ya Ukraine imetetea uamuzi wake wa kuwavalisha wanajeshi wa kike viatu vya mchuchumio (vyenye visigino virefu) katika gwaride la kusherehekea miaka 30 ya kujitenga na Umoja wa...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuhusu Serikali ulimwenguni kote kulegeza masharti ya Ugonjwa wa COVID19 mapema ikisema wanaofanya hivyo wapo hatarini kulipa gharama kubwa kwa kutaka maisha...
Ndege ya Urusi iliyowabeba Watu 28 imepoteza mawasiliano leo na kuangukia Baharini umbali wa KM 15 hadi 25 kutoka Airport na taarifa zinadai Watu wote 28 waliokuwa kwenye ndege hiyo wamefariki...
Moto umelipuka katika kanisa la TB Joshua wakati wa mazishi wa kiongozi huyo wa dini aliyefariki dunia Juni 5 mwaka huu.
Mjane wa kiongozi huyo, Evelyn Joshua aliongoza zaidi ya waombolezaji...
Tuna mambo ya kujifunza kwa yanayotokea duniani kwa namna nyingi. King Muswati, wa Eswatini, amekimbia nchi baada ya kuona nguvu ya wanaodai demokrasia imeongezeka. Lakini tukumbuke, Waswatzi...
Maelfu ya watu wameandamana wakitaka Serikali kuchukua hatua kali dhidi ya matukio ya mashambulizi na mauaji ambayo yameyumbisha Taifa hilo miaka ya hivi karibuni.
Shinikizo limeongezeka kwa Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.