International Forum

News and Stories from rest of the World
Champ na Major ambao ni mbwa wa Rais Joe Biden, wamehamishwa kutoka White House na kupelekwa Delaware kwenye makazi binafsi ya Joe Biden. Hii ni baada ya mbwa mmoja (Major) kumng'ata afisa wa CIA...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito juhudi zifanyike kutokomeza unyanyasaji dhidi ya wanawake Guterres ameyasema hayo jana siku ya kwanza ya mkutano wa kimataifa kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
466 Views
Huku Virusi vya Corona ukiendelea kushika kasi Nchini humo, Rais Jair Bolsonaro ametangaza kumteua Waziri mpya wa Afya, akiwa mtu wa nne kushika nafasi hiyo tangu kuanza kwa mlipuko. Marcelo...
0 Reactions
1 Replies
770 Views
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa wito kwa Mataifa kutositisha Chanjo za Virusi vya Corona. Wataalamu wa Shirika hilo wanatarajiwa kukutana leo kuzungumzia Chanjo ya Oxford-AstraZeneca WHO...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii ni kwa mujibu wa tweet ya Zitto Kabwe. Ameichagiza BAKWATA kuishikiniza serekali ya awamu ya 5 iruhusu chanjo kwa Watanzania ili waweze kutekeleza hii nguzo muhimu sana kwa Waislamu. Hili ni...
8 Reactions
171 Replies
15K Views
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeahirisha kampeni ya kutoa chanjo ya AstraZeneca. Taifa hilo limepokea dozi milioni 1.7 ya chanjo hiyo dhidi ya Covid-19 na ilitarajiwa kuanza zoezi...
3 Reactions
55 Replies
4K Views
Facebook imesema itaanza kuwekea alama mabandiko yote kuhusu Chanjo. Mtandao huo umekuwa ukikosolewa watunga Sheria pamoja na Watafiti kwa kuruhusu taarifa potofu kusambazwa katika jukwaa lake...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Baada ya subira ya muda mrefu, hatimaye ripoti ya timu ya wataalamu wa Shirika la Afya Duniani, WHO iliyopewa kazi ya kuchunguza chanzo cha maambukizi ya virusi vya corona inatarajiwa kutolewa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Miaka 10 tangu kuanza kwa mapigano nchini Syria, Mke wa dikteta na rais wa Syria, Bashar al-Assad, Asma al-Assad anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadamu na kushawishi uhalifu dhidi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Maelfu ya watu wameandamana kupinga unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya Wanawake. Maandamano hayo yamechochewa na shutuma kadhaa ambazo zimehusisha Bunge la Nchi hiyo Miongoni mwa shutuma hizo ni...
0 Reactions
1 Replies
805 Views
Uholanzi nayo imeamua kusitisha matumizi ya chanjo ya corona ya Oxford-AstraZeneca kwa kuhofia kuwa na madhara. Serikali ya Uholanzi imeamua kuchukua hatua hiyo mpaka Machi 29 ili kuchukua...
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Polisi ya Urusi imewakamata leo kiasi wanasiasa 200 wa upinzani na viongozi wa manispaa waliokuwa wakihudhuria mkutano mjini Moscow katika wakati utawala nchini humo unazidisha mbinyo dhidi ya...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Denmark suspends AstraZeneca COVID shots for two weeks after blood clot reports Denmark has put using AstraZeneca’s COVID-19 vaccine shots on hold for two weeks after reports of cases of blood...
8 Reactions
117 Replies
8K Views
Mfalme wa Wazulu wa Afrika Kusini, Goodwill Zwelithini amefariki katika Hospitali ya KwaZulu-Natal alipokuwa anatibiwa kisukari Mfalme Zwelithini ameugua kwa takribani kabla ya umauti kumkuta...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Rais wa North Korea Kim Jong-Un hatimaye kaibuka kwenye media baada ya kuzuliswa habari za kifo na kwamba mamlaka yake ya kuiongoza NK yameshakabidhiwa kwa dada yake. Kim kaonekana akiwa fiti...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Idadi ya watu waliokufa kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria imekaribia laki nne tangu vilipoanza muongo mmoja uliopita, na hadi sasa hakuna ishara ya lini vitamalizika. Kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shirika la Marekani la Utafiti wa Anga (NASA) limesema ndege yake ya utafiti imefanikiwa kutua katika Sayari ya Mirihi (Mars) imefanikiwa kutua salama na kushusha kifaa cha utafiti kilichopewa...
44 Reactions
740 Replies
46K Views
Mwanamke wa miaka 57 huko Bulgaria amefariki mara tu baada ya kupewa chanjo ya astrazeneca. Serikali ya nchi hiyo imesitisha utoaji wa hiyo chanjo mpaka ipate uhakikisho wa kimaandisho kutoka...
1 Reactions
2 Replies
801 Views
Hamed Bakayoko enzi za uhai wake Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Hamed Bakayoko, amefariki dunia katika hospitali moja nchini Ujerumani, mamlaka imesema. Bakayoko, aliyekuwa akipata matibabu ya...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Rouhani amwambia Johnson: Kama si Jenerali Soleimani hii leo London isingekuwa na amani Jan 09, 2020 13:33 UTC Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaka serikali ya Uingereza...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom